Madai kwamba Magufuli alimpiga Ben Saanane risasi pale Ikulu isichukiliwe kihisia; hizi hapa ni sababu za msingi kuamini kwamba ni ukweli

Madai kwamba Magufuli alimpiga Ben Saanane risasi pale Ikulu isichukiliwe kihisia; hizi hapa ni sababu za msingi kuamini kwamba ni ukweli

Sawa Erick Kabendera ameandika kwamba raisi Magufuli alimpiga risasi ya kichwa Ben Saanane pale Ikulu Dar es Salaam.

Sasa ukitaka kujua umbumbumbu wa watu, ni pale mtu anaibuka tu na kusema Kabendera mwongo! Watu hata hawataki kuhoji taarifa hii Kabendera kaitoa wapi - japo ametaja wazi kuwa source yake inatia watu walioko serikalini. Wengine hata wanadiriki kusema Kabendera akamatwe na kutiwa ndani kwa kuandika jambo hili!

Watu wote wanaopinga hii taarifa ya Kabendera wanapaswa kutambua yafuatayo;
  • ikiwa unashupalia Kabendera ni muongo, basi wewe unapaswa kujua ukweli juu ya kupotea kwa Ben Saanane au yuko wapi kama yupo hai, au unamjua aliemuua. Kama una akili sawasawa, huwezi kubisha alichosema Kabendera bila wewe kuwa na taarifa kamili tofauti na aliyosema Kabendera
  • kwamba Kabendera hawezi hata siku moja kufumuka tu na kuandika kitu kama hicho kwenye kitabu. Ni wazi ana uhakika na anachokisema, na kwamba ana ushahidi zaidi na serikali haitamchukulia hatua kwa sababu wakimpeleka mahakamani watakuwa wamempa ukumbi wa kumwaga ukweli wa jambo hili na serikali ya CCM haitaki kabisa hilo litokee (sawa na Marekani waliposema Makonda ni muuaji, ulisikia serikali ikipinga au kuishutumu Marekani? Unafikiri kwa nini serikali iliufyata?)
  • Magufuli kama raisi angeweza kumpiga mtu yeyote risasi na kumuua bila kushitakiwa au kufanywa lolote kwa sababu Katiba yetu inampa uhuru raisi kumuua mtu na raisi asifanywe lolote! Hata Raisi Samia leo akifanya hivyo hutamfanya chochote na ataendelea kuwa raisi
  • kwamba Magufuli alipompiga risasi Ben Saanane kuna watu walikuwapo na walishuhudia hilo na hawa ndio waliompa taarifa Kabendera, wao hawawezi kuzitoa hadharani, na huenda wengine walioliona hilo tukio "walishapotezewa"
  • kwamba Magufuli alikuwa anawachukia wapinzani kwa kiwango kisicho kawaida, chuki ya kiwango cha kuwa "kichaa", cha kufikia kuwaadhibu CCM waliowapa pole wapinzani wakiumwa, na hata kumwona Samia na wengine kuwa ni wasaliti walipomtembelea Lisu hospitali (the most intense level on the emotional scale of anger toward opposition parties' members, and this became animosity that was deeply entrenched towards specific individuals like Tundu Lissu, Ben Saanane etc, and he developed personal vendettas against them).
  • kwamba Magufuli alikuwa na tabia ya kutembea na bastora akiwa tayari kuua mtu, hata pale alipokuwa akikagua miradi yake alishikilia bastora mkononi. Kuua mtu kwa bastora ni rahisi mno, hasa kwa mtu mwenye chuki ya juu kwa wapinzani kama ya Magufuli. Hivyo kumuua Ben Saanane kuna-fit attitude profile ya Magufuli
  • kwamba kwa wanaomfahamu Magufuli watakuambia wazi alikuwa hayuko sawa kichwani na kuua mtu kwa risasi ingewezekana kabisa kwake. Huyu ni Magufuli ambae alimpiga sana mtoto wake karibu kumuua kwa kosa la kufeli mitihani tu; huyu ni Magufuli aliemkana binti yake na kusema sio binti yake tena kwa sababu aliokoka na kuolewa na mlokole; na huyu ni Magufuli aliekuwa akimpiga mkewe hadi hatua ya kukaribia kufa na kulazwa hospitali; sasa sembuse Ben Saanane ambae alikuwa sio ndugu yake na alikuwa na hasira nae ya kukosolewa? Magufuli hakuwa sawa kichwani, hilo ni wazi sana
  • kama Marekani walikuwa na ushahidi juu ya Makonda kuua watu waliopinga serikali, ni wazi alifanya hivyo kwa kibali cha Magufuli, na kama Magufuli alimruhusu Makonda kuua watu basi kwa nini yeye binafsi asindwe kumuua mmojawapo wa aiana ya watu aliomruhusu Makonda kuwaua?
  • kigugumizi cha polisi katika kupeleleza na kukamata watu waliopotea au kuuwawa, hasa wapinzani wa serikali, ni wazi kwamba vifo hivi ninahusisha watu wakubwa walioko serikalini, kutia ndani mtu kama Magufuli, au kwamba viliidhinishwa na Magufuli, pamoja na jaribio la kumuua Tundu Lisu
Conclusion: Kwamba Magufuli alimpiga Ben Saanane risasi ya kichwa point-blank ina fit vizuri kabisa profile ya Magufuli. Alikuwa mtu wa namna hiyo, upende usipende, na huo ndio ukweli. Kichaa alipewa rungu.
Kuna mtu ana swali tena? Mkuu umemaliza kila kitu, aliyeonewa aende Mahakamani.
 
Unapotoa tuhuma nzito kama hizi unalazimika kuweka credible evidence. Sasa ushahidi wa Kabendera ni maneno ya kuambiwa na "maofisa wa serikali na watu kutoka vyama vya upinzani" Sasa tujiulize, ni mtu gani wa upinzani angeweza kuwepo wakati wa tukio hapo Ikulu?
Ukimpeleka mahakamani atawataja, mpeleke sasa
 
Hatuwezi kuvumilia uongo na ulipizaji visasi na kuzusha madai bila ushahidi. Kesho, ataibuka mwingine na utopolo kama huu. Sheria iko wazi kuwa anayedai lazima athibitishe. Ni rahisi na wazi hivyo mwanangu.
Akathibitishie wapi, maana vyombo vya kimamlaka ndio sehemu ya huo uovu.
 
Huna hoja zaidi ya kufanyakile kile unachoshauri wenzako wasifanye. Mwache Kabendera ajitetee mwenywe kw akuleta ushahidi. Vinginevyo unatupotezea muda au kutafuta kiki tu. kwa kuanzisha uzi huu
Mpeleke Kabendera mahakamani ili alete ushahidi kama hamjavuliwa nguo!
 
Ukimpeleka mahakamani atawataja, mpeleke sasa
Kama wewe hajakutaja wala kukutuhumu una locus standi gani ya kumpeleka mahakamani huyo Kabendera?

To bring a suit you have to at least meet the minimal constitutional standing requirement.

Huwezi kumburuza mtu yeyote tu mahakamani kiholela.
 
Ni kweli siwezi elewa na hata sheria sijui, lakini ninachofahamu tuhuma zozote lazima ziwe na ushahidi, je ushahidi wenu wewe na kabendera juu ya tuhuma hizi ni upi?

NB:sitaki maelezo matupu
Screenshot_20250103-034034~2.png


Mimi si mwanasheria ila kwa kesi kama hii ambapo mlalamikaji na mtuhumiwa wote hawako hai, ushahidi utakaotumiwa ni ushahidi wa kimazingira. Hivyo wale wote waliokuwa pamoja katika eneo la tukio wataitwa kutoa ushahidi.
 
Kama wewe hajakutaja wala kukutuhumu una locus standi gani ya kumpeleka mahakamani huyo Kabendera?

To bring a suit you have to at least meet the minimal constitutional standing requirement.

Huwezi kumburuza mtu yeyote tu mahakamani kiholela.
Si amechafua SHUJAA wako? Anzia hapo
 
Wakati magufuli anampiga mke wake ulikua nae?wakati anapiga watoto wake ulikuepo???hakua mkamilifu ila kuchafua legacy yake haitatosha,huyu mwamba ana legacy nzuri kwa taifa hili,alifanya alivyojaaliwa kufanya,aliwaamiisha africa tunaweza.ilikua magufulisation of africa hukuona?ona sasa mali,niger na burkina fapo wamejimagufuli mambo yanaenda.kwahio magufuli na huyu mama yako tukiweka kwenye minzani si utainama upande mmoja.muache mwamba amelala alifanya alichofanya kwan vp
Huu unaopewa ni upande wa pili wa Magufuli, na ni ukweli mtupu. Usitake kuonyesha kuwa alikuwa na upande mmoja tu.
 
Tuhuma hizi alizopewa Magufuli ni kubwa sana hata kama hayupo duniani. Kutokana na nafasi aliyokuwa nayo marehemu kuwa kubwa ni vema Erik akatoe ushahidi mahakamani vinginevyo hizo ni porojo za kuuza kitabu chake. Hii ya kuvaa pajama na kutaka kubaka najua ni porojo mimi najua marehemu alikuwa anapenda vitu vizuri pamoja na yote huyo aliyetaka kubakwa ana mume
Huyo aliyetaka kubakwa ana mume ni kweli, kwani yeye ni mke wa ngapi kwa huyo mume? Je alitaka kumbaka mbele ya huyo mume wake?
 
Kama kuna watu wanasema Kabendera ni muongo, wamshitaki akatetee maneno yake mahakamani, mashahidi pia waitwe mahakamani kuhojiwa chini ya kiapo at the possible penalty of perjury.

Kwa mfano, Kabendera kasema Magufuli alikwenda kwa Samia na pajama akitaka kumbaka, Samia mpaka akataka kujiuzulu u Makamu wa Rais.

Samia aitwe mahakamani kuhojiwa kuhusu suala hili.
Naanza kuamini huyu mzee wali mfix au ali be dealt with au taken care na watu wenye akili.
 
kinachonifanya nisikubali ni common sense ya kawaida tu, simtetei Magufuli au yoyote yule, lkn hili hali make sense hata kidogo, Magufuli mpaka anakufa alikuwa na maadui nje na ndani ya nchi, sababu ya corona politics zake, iweje amuuwe mtu tena kwa risasi halafu sijui bendera ajue lkn secret services zote za wazungu zisijue?
Kabendera kasema kabisa kuna watu walimpigia simu na wanafahamika. Tuchukulie hajauliwa na Magufuli, yuko wapo hadi sasa?
 
Swali la kujiuliza ni moja Tu

Je Ben saa nane alikuwa na madhara makubwa Kwa serikali?

Je beni saa nane angeweza kupindua utawala wa magufuli?

Je Ben saa nane alikuwa na madhara yoyote Kwa Rais Personal?

If not then Magu hawez kumuua Kwa kumpiga risasi trust me

Kabendera ana history mbovu na magufuli so anaweza kusema anything

Ila nitakuwa wa mwisho kuamini magu alimshoot Ben saa nane
If yes what you will do?
 
Back
Top Bottom