Anawashwa sana huyu jamaaPunguza kimbelembele wewe chawa wa Mbowe. Pesa hujatoa wewe ila maneno ni mengi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anawashwa sana huyu jamaaPunguza kimbelembele wewe chawa wa Mbowe. Pesa hujatoa wewe ila maneno ni mengi.
Hakuna kitu mwana CCM anawaza kama uchaguzi. Hizi nguvu mnazotumia kutaka kubaki madarakani mkizielekeza kwenye maendeleo na utawala bora hakika msingetumia nguvu hivi.Naona maroboti wa mbowe mmeamua kufungua akaunti mbili mbili ili mumtetee mbo-we
Eti mwakani mnakuja kutuambia sijui ccm imechoka na blah blah kibao
Mkuu "kiuni" ndo Nini?Hik chama cha kiuni
Au bora angejitambulisha kuwa yeye ndiye mke wa Lisu. Usikute anatumika kama chawa wa bosi kumchafua LisuWewe ndiye sativa? Hakika chadema safari hii watu wamejua rangi yenu halisi
Hata akishawishiwa na Nchimbi hakuna shida. Mbowe amechokwa na hana mbinu mpya. Tunataka mtu mpya na mawazo mapya yatakayoijenga chadema mpya.Kama ni sativa yericko nyerere yupo sahihi huyo ni mariah sarungi ndio kamshawishi kuuwa chadema maana Sativa anakaa kinyumba na mariah huko nairobi!
Punguza porojoTundu Lissu leo amechukua fomu na amedai fomu hiyo amelipiwa na Sativa.Kwanini amemtaja Sativa? amemtaja Sativa ili wanachadema waone namna anavyopendwa na wahanga wa matukio ya utekaji, hizo ni mbinu za siasa za kutafuta sympathy kutoka kwa wapiga kura, hata hiyo hoja ya kupigiwa simu na mtu mzito ama mzee maarufu kuwa anataka kuuawa ni kutaka kutrend tu ili awashike wanachama, Lissu kwa kweli mbinu hizi unazotumia umefanikiwa kwa kiasi kikubwa mno kupata prominence lakini am sure Mbowe hawezi kukuachia uenyekiti, by hooks or crooks.
Tafuta kura kwa njia za halali sio kuzusha mambo ya uongo kuwa umechangiwa sijui umepigiwa simu utamalizwa, shame on u
Duuu wewe utakuwa unashilia PEMBE wakati SATIVA anakula UTAMU😀😀🤣🤣, inakuuma eheeeee 🤣😀🤣😀Kama ni sativa yericko nyerere yupo sahihi huyo ni mariah sarungi ndio kamshawishi kuuwa chadema maana Sativa anakaa kinyumba na mariah huko nairobi!
Amelipiwa fomu na mumeo wako, how about that?Tundu Lissu leo amechukua fomu na amedai fomu hiyo amelipiwa na Sativa.Kwanini amemtaja Sativa? amemtaja Sativa ili wanachadema waone namna anavyopendwa na wahanga wa matukio ya utekaji, hizo ni mbinu za siasa za kutafuta sympathy kutoka kwa wapiga kura, hata hiyo hoja ya kupigiwa simu na mtu mzito ama mzee maarufu kuwa anataka kuuawa ni kutaka kutrend tu ili awashike wanachama, Lissu kwa kweli mbinu hizi unazotumia umefanikiwa kwa kiasi kikubwa mno kupata prominence lakini am sure Mbowe hawezi kukuachia uenyekiti, by hooks or crooks.
Tafuta kura kwa njia za halali sio kuzusha mambo ya uongo kuwa umechangiwa sijui umepigiwa simu utamalizwa, shame on u
Wewe mke wa msigwa akaunti yako mbona umefungua kumpa Bacup mumeoNaona maroboti wa mbowe mmeamua kufungua akaunti mbili mbili ili mumtetee mbo-we
Eti mwakani mnakuja kutuambia sijui ccm imechoka na blah blah kibao
Umefungua acc nov 30 2024 ili kumfurahisha mumeo peter msigwaNaona maroboti wa mbowe mmeamua kufungua akaunti mbili mbili ili mumtetee mbo-we
Eti mwakani mnakuja kutuambia sijui ccm imechoka na blah blah kibao
Wewe yote haya ume yajuaje?Tundu Lissu leo amechukua fomu na amedai fomu hiyo amelipiwa na Sativa.Kwanini amemtaja Sativa? amemtaja Sativa ili wanachadema waone namna anavyopendwa na wahanga wa matukio ya utekaji, hizo ni mbinu za siasa za kutafuta sympathy kutoka kwa wapiga kura, hata hiyo hoja ya kupigiwa simu na mtu mzito ama mzee maarufu kuwa anataka kuuawa ni kutaka kutrend tu ili awashike wanachama, Lissu kwa kweli mbinu hizi unazotumia umefanikiwa kwa kiasi kikubwa mno kupata prominence lakini am sure Mbowe hawezi kukuachia uenyekiti, by hooks or crooks.