mwaibile
JF-Expert Member
- Nov 16, 2022
- 727
- 2,004
Kanisa ndo kituo chake cha kazi watanzania sijui katuloga nani tuko very slow sana kwenye mambo muhimu kazi ya polisi ni kumshika mtuhumiwa ili taratibu za kwenda mahakamani zifatie sasa baada kesi apeleke mahakamani anakaa kulialia na polisi ambao hawata msaidia kwa lolote maana wao siyo watoa hukumuKuna ulazima gani kusema mlinzi wa kanisa, ungesema mlinzi tu haitoshi?