DOKEZO Madai ya Mlinzi wa Kanisa Katoliki Sinza kumlawiti Mwanafunzi, mama wa Mtoto aomba Serikali imsaidie

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Kasema hajapewa ushirikiano na kanisa wakati ni fellow wa hapo sasa huoni ni ubaguzi wa kanisa kwenye matatizo binafsi tena yamesabibshwa na mliz wao ambaye analipwa kupitia sadaka zenu
Kwenye katiba ya Tanzania na sheria za jinai hakuna sehemu ambapo kunahitajika ushiriki wa kanisa kwenye kumkamata mtuhumiwa, kufuatilia, kupeleleza au kutoa hukumu. Kesi za mapadre kumwagiwa tindikali, makanisa kuchomwa na nyinginezo nazo huwa kanisa halihusiki pasipo mahala pake.

Kwenye kesi hii kanisa sio mshitaki wala mshtakiwa, wala sio shahidi. Ni muajiri tu. Sasa ukiajiliwa na Vodacom alafu ukaibia mtu ukiwa geti la ofisini umevaa sare za kazi, kampuni yako itahusika vipi mahakamani?
 
KANISA KATOLIKI kutoingilia suala hili ina maana tayari maagizo YA PAPA-PAPAI yameshaanza kufanyiwa kazi bila shaka!!!!.....mtasikia PAROKO wa hilo PAROKIA anapewa UASKOFU!!!...WAKATOLIKI noma sana MAN!! da!!!
 
Kasema hajapewa ushirikiano na kanisa wakati ni fellow wa hapo sasa huoni ni ubaguzi wa kanisa kwenye matatizo binafsi tena yamesabibshwa na mliz wao ambaye analipwa kupitia sadaka zenu
Sasa kanisa lifanye Nini wakati kesi ipo polisi chini ya uchunguzi wa DPP?
Hapo ni kumsaidia mtoto kisaikolojia tu akae sawa wakati wakisubiri kesi ianze mahakamani.
 
Si mitag waziri wa jinsia na watoto si yuko humu

Ova
 
Hate huu umaku kanisa linamtetea mbakaji daaah uyoo alitakiwa apigwe mawe live kwenye ibada
Walinzi wa makanisani huaga sio waumini wa hapo and hence kanisa halina uhusiano nae wa moja kwa moja, kuna sababu yeyote ya kumtetea? Nonsense
Halafu Sinza?😉🙃 pale si kuna hadi mademu wa buku buku? Pumbafu kabisa huyo mlinzi
 
Mama mtoto anasema Toka tukio litokee sio kwenye jumuiya ama kanisan kwenyewe amewahi kuitwa walau kupewa pole na kutiwa moyo wakati ni muumini mzuri tu, hapa ndipo ninapoina usanii wa hizi dini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…