Madaktari wa Bongo washindwa kutema yai

Madaktari wa Bongo washindwa kutema yai

Mwisho wa mwaka 2023 Wanafunzi wa masoma ya udaktari kutoka Sudan, wanao fadhiliwa masomo Yao na serikali ya tz 🇹🇿, hapa Nchi

Walisambazwa kwenye hospital za hapa Dar es salaam, wakitokea muhimbili, Kwa ajili ya kufanya practical training . Ili kuwapa sehemu zingine Sio wote wakae Tu muhimbili.

Katika hospital walizopelekwa ni mwananyamala, Temeke, ubungo, kigamboni etc.

Waka kabidhiwa Kwa wakuu wa idara mbalimbali Katika hospital hizo.

Cha kushanga wakuu wa idara wakashindwa kuwapa ushirikiano wa kutosha , wakawa Wana kula Kona, wengine wanakuwa wakali ili wasiulizwe maswali.

Shida kubwa ni Kwamba ma daktari walishindwa kuongea Nao English, kama taifa tumeingia matopeni Tena coz masoma wanayosoma ni Kwa lugha ya English.

Kwa hiyo hawa wanafunzi wakawa Wana lalamika kukosa ushirikiano report ikaja kuwa kuna language berrier. Na hawawezi Endelea Tena na practical training Yao, coz hakuna wanaoweza kufanya Nao communication.

So mwanzoni wa February 2024 ikabidi warudishwe muhimbili wakamalizie practical training Yao.

Ushauri: Kiswahili hakina tija Kwa taifa kifutwe mashuleni kabisa.

View attachment 2918900

Bro huo ni ushamba tu. Kuna maisha ya hayo mambo.
 
"Ushauri: Kiswahili hakina tija Kwa taifa kifutwe mashuleni kabisa."

☝☝☝ nadhani njia nzuri ni kubadili namna wanavyofundisha somo la kiingereza mashuleni somo lisiwe kwa ajili ya kujibia mtihani bali liwe linafundishwa kama full course ya lugha ya kiingereza yaani wawe wanasoma theory, kisha kuwe na session za communications na hizi ziwe ndefu , wawe na midahalo , na ikiwezekama wawe pia na interschool english language competitions n.k

Hii itawasaidia wanafunzi kujifunza lugha hiyo mapeema ndani ya miaka minne anatoka anajua kuwasiliana ,kusoma na kuandika kiingereza fasaha.
Gharama zitaongeza kwenye wizara,
Tunaingia gharama kubwa kufundisha lugha mbili ambazo hazileti matokeo Mazur kwanini?

Tuwe na lugha mmoja Tu kama ni Kiswahili AU English,
Baadaye MTU atajifunza lugha anayotaka mwenyewe
 
Mwisho wa mwaka 2023 Wanafunzi wa masoma ya udaktari kutoka Sudan, wanao fadhiliwa masomo Yao na serikali ya tz 🇹🇿, hapa Nchi

Walisambazwa kwenye hospital za hapa Dar es salaam, wakitokea muhimbili, Kwa ajili ya kufanya practical training . Ili kuwapa sehemu zingine Sio wote wakae Tu muhimbili.

Katika hospital walizopelekwa ni mwananyamala, Temeke, ubungo, kigamboni etc.

Waka kabidhiwa Kwa wakuu wa idara mbalimbali Katika hospital hizo.

Cha kushanga wakuu wa idara wakashindwa kuwapa ushirikiano wa kutosha , wakawa Wana kula Kona, wengine wanakuwa wakali ili wasiulizwe maswali.

Shida kubwa ni Kwamba ma daktari walishindwa kuongea Nao English, kama taifa tumeingia matopeni Tena coz masoma wanayosoma ni Kwa lugha ya English.

Kwa hiyo hawa wanafunzi wakawa Wana lalamika kukosa ushirikiano report ikaja kuwa kuna language berrier. Na hawawezi Endelea Tena na practical training Yao, coz hakuna wanaoweza kufanya Nao communication.

So mwanzoni wa February 2024 ikabidi warudishwe muhimbili wakamalizie practical training Yao.

Ushauri: Kiswahili hakina tija Kwa taifa kifutwe mashuleni kabisa.

View attachment 2918900
Tabia ya ukimbelembele isiyo na maana yoyote ile, nao hao masudani yamejitakia why hayakwenda Kenya au Uganda acha yakome tu
 
Mkuu iyo contracts zitakuwa ni za Kiswahili AU English,na lizama bidhaa unayo iyuza iwe na maelezo ya kutosha , ili mnunuzi anunue
Kwamba tranlators wamekufa, sasa kwanini niishie tu kwenye kujua lugha ili nisome mkataba kwanini nisisome kabisa Sheria ? Kwahio niuza Russia nijifunze niongee Kirusi na German niongee Kijerumani ? Narua Lugha ni Nyenzo muhimu ila haupunguzi umahili wa mtu katika their core skill...; Mfano naenda kwa doctor fulani sababu anaongea sana kisukuma lakini utabibu wake una mashaka,,,
 
Inategemea na tasnia for sure, kama ni mfanya biashara au mkulima for sure lugha haiplay major role.
Lugha ina maana sana ni communication bila ku-communicate ni tatizo kwahio hata mabubu wana lugha za alama; wafanya biashara kuna lugha yao, na wakulima pia kuna lugha zao (jargon n.k.) hata madaktari wana lugha zao ambao mtu wa kawaida huenda usielewe...

That said huwezi kuja kwangu mimi wewe ndio una shida alafu unasema hunielewi sababu sijui lugha unayojua wewe (jifunze ili unielewe) na mimi nikija kwako tafanya hima nikuelewe
 
Kwamba tranlators wamekufa, sasa kwanini niishie tu kwenye kujua lugha ili nisome mkataba kwanini nisisome kabisa Sheria ? Kwahio niuza Russia nijifunze niongee Kirusi na German niongee Kijerumani ? Narua Lugha ni Nyenzo muhimu ila haupunguzi umahili wa mtu katika their core skill...; Mfano naenda kwa doctor fulani sababu anaongea sana kisukuma lakini utabibu wake una mashaka,,,
Hata Russia na Germany wanajifunza English,
Tena Germany vyuo vyao vinataka international students wanajua English fluently kabisa
 
Lugha ina maana sana ni communication bila ku-communicate ni tatizo kwahio hata mabubu wana lugha za alama; wafanya biashara kuna lugha yao, na wakulima pia kuna lugha zao (jargon n.k.) hata madaktari wana lugha zao ambao mtu wa kawaida huenda usielewe...

That said huwezi kuja kwangu mimi wewe ndio una shida alafu unasema hunielewi sababu sijui lugha unayojua wewe (jifunze ili unielewe) na mimi nikija kwako tafanya hima nikuelewe
We mzee unataka kuwaponza watu , waje kupata aibu ukubwani
 
N
Mkulima wa parachichi huko mbeya Kwa kina chichi akiwa na anafanya mawasiliano na wateja wa nje ya Nchi, mfano wateja wa south Africa atazungumza lugha Gani ?
Nn kaz ya technology na Artificial intelligence? Hapo hamna nguv kubwa kuwasiliana. Ndo maan bidhaa za china zimetapakaa ulimwenguni!
 
N

Nn kaz ya technology na Artificial intelligence? Hapo hamna nguv kubwa kuwasiliana. Ndo maan bidhaa za china zimetapakaa ulimwenguni!
Kumbe ndio maana munaleta bidhaa feki kutoka china coz munatumia AI na translater
 
Viongozi wengi wanaosema kiswahili kitumike hadi chuo kikuu wana roho mbaya na wana nia ovu ya kuhakikisha vizazi vyao vinaendelea kufaidi keki ya taifa. Kiswahili hakina ubavu wowote kwenye ishu za kuleta hela. Wakongo na waburundi ukikutana nao wanakuambia kifaransa ni lugha ya kimaskini wako bize kujifunza kiingereza. Kama una mtoto mwepushe na hizo siasa za kuwa kiswahili ni lugha ya kufundishia hadi chuo kikuu
Mkuu Asante 🤝
 
Mkuu wa idara anajifanya bubu
Mkuu Bora hata MD rika la wastani 45,
Ila above hawa ila 45> ni kichekesho Sana,
Sijui walifoji vyeti
Sijui ni madeni ya mikopo inawachanganya akili
Mkuu wa idara wapi Temeke au.
Mbna wako Vizuri wote na wote ni Vijana na hata Ubungo.Pia...
Mayb kuna tatizo mahali ambalo hawakuliweka wazi
 
Back
Top Bottom