Madaktari wa Bongo washindwa kutema yai

Madaktari wa Bongo washindwa kutema yai

Mwisho wa mwaka 2023 Wanafunzi wa masoma ya udaktari kutoka Sudan, wanao fadhiliwa masomo Yao na serikali ya tz 🇹🇿, hapa Nchi

Walisambazwa kwenye hospital za hapa Dar es salaam, wakitokea muhimbili, Kwa ajili ya kufanya practical training . Ili kuwapa sehemu zingine Sio wote wakae Tu muhimbili.

Katika hospital walizopelekwa ni mwananyamala, Temeke, ubungo, kigamboni etc.

Waka kabidhiwa Kwa wakuu wa idara mbalimbali Katika hospital hizo.

Cha kushanga wakuu wa idara wakashindwa kuwapa ushirikiano wa kutosha , wakawa Wana kula Kona, wengine wanakuwa wakali ili wasiulizwe maswali.

Shida kubwa ni Kwamba ma daktari walishindwa kuongea Nao English, kama taifa tumeingia matopeni Tena coz masoma wanayosoma ni Kwa lugha ya English.

Kwa hiyo hawa wanafunzi wakawa Wana lalamika kukosa ushirikiano report ikaja kuwa kuna language berrier. Na hawawezi Endelea Tena na practical training Yao, coz hakuna wanaoweza kufanya Nao communication.

So mwanzoni wa February 2024 ikabidi warudishwe muhimbili wakamalizie practical training Yao.

Ushauri: Kiswahili hakina tija Kwa taifa kifutwe mashuleni kabisa.

View attachment 2918900

Wewe unayejua kiingereza hebu uandike huu uzi kwa lugha ya malkia basi...
 
Hicho ndo ninachokijua Boss, make nimeishi nao kwa miaka kadhaa enzi tunatoka Arusha na mabasi ya Taqwa unapanda basi SAA kumi jioni, make basi lilikuwa linaanzia sAFARI DAR, then Namanga mpaka NRD, NRB Lodwar, Kakuma JUBA.
Unakaa JUBA visa ikiisha unarudi mpakani unagonga unarudi tena maisha yanaendelea. Enzi hizo bado ukikutwa unachepuka na tayari uko kwenye ndoa shimo linakuhusu mpaka shingoni alafu mawe mpaka ufe. Kama wewe ni balehe viboko 100. Kama sijakosea make ni siku nyingi nimetoka huko. Sisi tulikuwa tunaponea kwa wajasiriamali kutoka Uganda tofauti na hapo utapigwa upwiru mpaka uchakae.
Sasa mbona tumewaletea watoto wa Ki Sudan, mmewakimbia, mmetutia aibu sana
 
Hawa ni makanjanja, wakiwa chuoni wanasoma kiujanja ujanja mpaka wanatoboa.

Ukifika hospitali badala ya kupona unaongezewa tatizo lingine jipya, anaweza kukung'oa hata maini yote nje! Maini nje maini ndanii!!

Kanjanja linabukua hadi linakuwa dokta, usiombe ukumbane nae! Maini huna!!

Au kutokana na ujinga wake na akili ndogo isiyoweza kuhoji, anakudunga machanjo ya corona unapata NEUROPATHY au PERIPHERAL NEURAL DAMAGE unakufilia mbalii.
Ndio maana viongozi wa tz 🇹🇿 wakajiwekea hospital Yao ya mzena , mpaka upate Kazi ujue wewe unajua na Sio MTU wa kukariri madesa
 
Ni English haikwepek sababu ndo world wide inabidi madakatari wetu wawe wanasoma English course... Kiswahili Ni Tanzania tu nchi zinginezo kama Kenya Uganda Rwanda Burundi hawakijui wanajua maneno machache Sana Ila kingereza kila Taifa duniani linafahamu
 
Wakati nasoma Masters mwaka juzi tulikuwa na foreigners kadhaa darasani. Wale jamaa walikuwa wanapata taabu sana, lecturers wengi wao walikuwa wanafundisha kwa kiswahili. Discussion tunafanya kiswahili. Kwenye magroup matangazo ni Kiswahili. Bongo English kwa wasomi ni shida
 
Ila Kiingereza bado ni changamoto kubwa sana Kwa wasomi wetu.

Ajabu wale waliosoma miaka ya 60/70/80 wanatema Lugha barabara sijui sisi wengine tunaferi wapi.

Nina rafiki yangu Mzungu anaishi London, weekend hii alinipigia simu Whatsapp, niliongea naye dakika 15 hivi baada ya kumaliza kuongea naye nikawahi Panadol faster maana kichwa kilishaanza kuniuma

Imagine sasa hao Madaktari wenyeji walipaswa kuongea nao Kila Siku masaa 7 ama 8 Kwa Siku 🙌
😀😀😀Mimi ningemjibu ok continue
 
Wana faulu coz wanakariri terminology mpaka nukta.
Hebu niambie biology, chemistry unafauli vipi bila kukariri ?
Science is all about understanding fact, from there wewe hata mwenyewe unaweza jenga hoja zako. But then yes wana kariri only few of them wanaelewa. It seems tuna teain doctors ili wafaulu sio wawe efficient. Nchi iko kwenye trouble
 
Science is all about understanding fact, from there wewe hata mwenyewe unaweza jenga hoja zako. But then yes wana kariri only few of them wanaelewa. It seems tuna teain doctors ili wafaulu sio wawe efficient. Nchi iko kwenye trouble
Ni Kweli mkuu.
Jana kwenye taarifa ya habari,
Niliona Arusha mdada kaambiwa na daktari ana ugonjwa wa Moyo , wa kaanza kummezesha vidonge.

Walivyokuja Team toka jakaya cardiac, wakagundua dada Ana ugonjwa mwingine na Sio Moyo.

Na ndipo ma daktari toka jakaya cardiac wakssema kama daktari kuna kitu Una mashaka basi uliza Kwa wezio🥺
 
Ngoja madaktari tutoe utetezi kwenye hili DR Mambo Jambo Dr Restart DR HAYA LAND
Mna kipi cha kuongeza hapa. Ila mimi nadhani madaktari walijaribu kurusha vocal wakachemsha 😃😃 siamini kwamba lugha ndio tatizo


Kuongea kiingereza na kuwa daktari ni mambo mawili tofauti.

Watz wengi na wasomi tunaandika kiingereza ,tunasoma kiingereza Ila kuongea hatuwezi we are not proficiency in speaking .

Na la mwisho mtoa mada amelikuza jambo kuliko uhalisia wake .
 
Science is all about understanding fact, from there wewe hata mwenyewe unaweza jenga hoja zako. But then yes wana kariri only few of them wanaelewa. It seems tuna teain doctors ili wafaulu sio wawe efficient. Nchi iko kwenye trouble
Nacte wameifanya elimu kuwa ni biashara huria,
Mzumbe ifunda , kilakala, tosamaganga, etc Sasa ivi ni kama zimekufa kabisa.
Zilitupa wataalamu kama DK Shaba, pro sarungi , dr Kasambala etc.
 
On top of that kuna lugha ya kidaktari ambayo sis health practitioners tunaiongea, na haitaki bra bra nyingi 😀😀 unaweza ukaongea short and clear na mkaelewana
Kuongea kiingereza na kuwa daktari ni mambo mawili tofauti.

Watz wengi na wasomi tunaandika kiingereza ,tunasoma kiingereza Ila kuongea hatuwezi we are not proficiency in speaking .

Na la mwisho mtoa mada amelikuza jambo kuliko uhalisia wake .
 
Kuongea kiingereza na kuwa daktari ni mambo mawili tofauti.

Watz wengi na wasomi tunaandika kiingereza ,tunasoma kiingereza Ila kuongea hatuwezi we are not proficiency in speaking .

Na la mwisho mtoa mada amelikuza jambo kuliko uhalisia wake .
Kutema Yai, ndio kukoleza
 
Point yangu 👉 Hawakutaka ushirikiano nao kabisa ,yaani walijuweka mbali kabisa.
👆.
Unakabidhiwa mtoto wa Ki Sudan, unaamuna kujiweka mbali huu si mzaha.
Daktari unaogopa Nini kutoka Kwa mwanafunzi wako
Kama ingekuwa wanapenda kampani yao wangekuwa karibu nao.... Kingereza kitu hapo sudan kwa kingereza gani basi?
 
Back
Top Bottom