Madaktari wa Bongo washindwa kutema yai

Madaktari wa Bongo washindwa kutema yai

Ni Kweli mkuu.
Jana kwenye taarifa ya habari,
Niliona Arusha mdada kaambiwa na daktari ana ugonjwa wa Moyo , wa kaanza kummezesha vidonge.

Walivyokuja Team toka jakaya cardiac, wakagundua dada Ana ugonjwa mwingine na Sio Moyo.

Na ndipo ma daktari toka jakaya cardiac wakssema kama daktari kuna kitu Una mashaka basi uliza Kwa wezio🥺
Haya sasa.

Hawa makanjanja ukicheza vibaya wanakung'oa maini unakuwa toinyo!
 
On top of that kuna lugha ya kidaktari ambayo sis health practitioners tunaiongea, na haitaki bra bra nyingi 😀😀 unaweza ukaongea short and clear na mkaelewana
Urongo mtupu!

Shuleni mlisomaje udaktari wakati Kingereza hamkijui?

Mlikuwa mnakariri tu ndio maana kumezuka makanjanja wanaotudunga machanjo ya mwendokasi.
 
Mwisho wa mwaka 2023 Wanafunzi wa masoma ya udaktari kutoka Sudan, wanao fadhiliwa masomo Yao na serikali ya tz 🇹🇿, hapa Nchi

Walisambazwa kwenye hospital za hapa Dar es salaam, wakitokea muhimbili, Kwa ajili ya kufanya practical training . Ili kuwapa sehemu zingine Sio wote wakae Tu muhimbili.

Katika hospital walizopelekwa ni mwananyamala, Temeke, ubungo, kigamboni etc.

Waka kabidhiwa Kwa wakuu wa idara mbalimbali Katika hospital hizo.

Cha kushanga wakuu wa idara wakashindwa kuwapa ushirikiano wa kutosha , wakawa Wana kula Kona, wengine wanakuwa wakali ili wasiulizwe maswali.

Shida kubwa ni Kwamba ma daktari walishindwa kuongea Nao English, kama taifa tumeingia matopeni Tena coz masoma wanayosoma ni Kwa lugha ya English.

Kwa hiyo hawa wanafunzi wakawa Wana lalamika kukosa ushirikiano report ikaja kuwa kuna language berrier. Na hawawezi Endelea Tena na practical training Yao, coz hakuna wanaoweza kufanya Nao communication.

So mwanzoni wa February 2024 ikabidi warudishwe muhimbili wakamalizie practical training Yao.

Ushauri: Kiswahili hakina tija Kwa taifa kifutwe mashuleni kabisa.

View attachment 2918900
CHAI
 
Ila Kiingereza bado ni changamoto kubwa sana Kwa wasomi wetu.

Ajabu wale waliosoma miaka ya 60/70/80 wanatema Lugha barabara sijui sisi wengine tunaferi wapi.

Nina rafiki yangu Mzungu anaishi London, weekend hii alinipigia simu Whatsapp, niliongea naye dakika 15 hivi baada ya kumaliza kuongea naye nikawahi Panadol faster maana kichwa kilishaanza kuniuma

Imagine sasa hao Madaktari wenyeji walipaswa kuongea nao Kila Siku masaa 7 ama 8 Kwa Siku [emoji119]
Hapa umenena TUJIFUNZE LUGHA YETU KIBANGA AMPIGA MKOLONI NDIO KABURI LA LUGHA YA KIMATAIFA HAPA TANZANIA.
 
Mwisho wa mwaka 2023 Wanafunzi wa masoma ya udaktari kutoka Sudan, wanao fadhiliwa masomo Yao na serikali ya tz 🇹🇿, hapa Nchi

Walisambazwa kwenye hospital za hapa Dar es salaam, wakitokea muhimbili, Kwa ajili ya kufanya practical training . Ili kuwapa sehemu zingine Sio wote wakae Tu muhimbili.

Katika hospital walizopelekwa ni mwananyamala, Temeke, ubungo, kigamboni etc.

Waka kabidhiwa Kwa wakuu wa idara mbalimbali Katika hospital hizo.

Cha kushanga wakuu wa idara wakashindwa kuwapa ushirikiano wa kutosha , wakawa Wana kula Kona, wengine wanakuwa wakali ili wasiulizwe maswali.

Shida kubwa ni Kwamba ma daktari walishindwa kuongea Nao English, kama taifa tumeingia matopeni Tena coz masoma wanayosoma ni Kwa lugha ya English.

Kwa hiyo hawa wanafunzi wakawa Wana lalamika kukosa ushirikiano report ikaja kuwa kuna language berrier. Na hawawezi Endelea Tena na practical training Yao, coz hakuna wanaoweza kufanya Nao communication.

So mwanzoni wa February 2024 ikabidi warudishwe muhimbili wakamalizie practical training Yao.

Ushauri: Kiswahili hakina tija Kwa taifa kifutwe mashuleni kabisa.

View attachment 2918900
Hap ndipo mnapofeli Watanzania.

Hivi kati ya mwenyeji na mgeni nani anapaswa kujua lugha ya mwenzake ili mzungumze? Nani anapaswa kufuata utaratibu uliopo ,je ni jukumu la mgeni au mwenyeji?

Je wewe ukienda kwenye zao utawalazimisha wajue lugha Yako ili muwasiliane au wewe utajifunza lugha ya kwao?

Kuna baadhi ya nchi mfano Algeria ili usome kule lazima usome mwaka mzima lugha yao kisha ndipo uendelee na kozi yako.
 
An advice, for a graduate, before receiving your paper, one has to pass through an intensive course in English, if he / she fails then "no degree ".
Naunga mkono hoja.

Hii ianze mara moja ili kuwadhibiti makanjanja.

Mtu ana DEGREE halafu hajui kuongea hata sentensi moja ya kizungu!!

Hiyo degree yake itakuwa ya kubabaisha tu!
 
Acha upuuzi mtoa mada, kwanini wao wasijifinze kiswahili. Nyie ndio mnaowapigia magoti mabeberu kwakila jambo. Leo hii unaona lugha yako ni takataka haifai kufundishia? Mpuuzi kweli wewe
 
Kuna watu tena wengine ndiyo hao wanaojiita wasomi wanadai lugha ya kufundishia iwe Kiswahili kuanzia chekechea hadi chuo kikuu sasa ndiyo tujiulize hali ikiwa hivyo itakuwaje kama leo watu waliosoma English kidogo kwenye masomo yao mambo yapo hivyo! Eti English libaki kuwa somo tu! Lakini cha ajabu hao wanaoshauri hivyo watoto zao wanawapeleka ulaya na Marekani kuanzia chekechea ndiyo ujue viongozi wa nchi hii walivyo na roho mbaya wanatamani sisi na watoto wetu tuendelee kuwa wapiga kura wao tu na sio kushiriki katika uongozi.
Siku wakifanya huu upuuzi. Watoto wangu watasoma kenya.
 
Hap ndipo mnapofeli Watanzania.

Hivi kati ya mwenyeji na mgeni nani anapaswa kujua lugha ya mwenzake ili mzungumze? Nani anapaswa kufuata utaratibu uliopo ,je ni jukumu la mgeni au mwenyeji?

Je wewe ukienda kwenye zao utawalazimisha wajue lugha Yako ili muwasiliane au wewe utajifunza lugha ya kwao?

Kuna baadhi ya nchi mfano Algeria ili usome kule lazima usome mwaka mzima lugha yao kisha ndipo uendelee na kozi yako.
Sasa Kiswahili ni lugha ya kimaitaifa? Mpaka MTU ajifunze.
Kiswahili ni kiluga kama kilivyokuwa kisukuma
 
Kama kuna language barrier si wangejifunza kiswahili ?; Sasa wewe umekwenda China au Japan huko alafu unashangaa wewe na Kiswahili chako wachina English inawasumbua...

Anyway unaweza ukawa hata bubu; ukatumia lugha ya alama lakini bado ukatibu au kufanya surgery
[emoji16][emoji16]

Kuna rafiki yangu alienda china kusoma udaktari wa wanyama.Baada ya kupata scholarship. Ila mwaka wa kwanza wote alitumia kusoma kichina ili kuondoa language barrier, ukishindwa kukielewa kichina hauendelei na course unayotaka.

Nashangaa hapa watu wanaona mtu kujua English ndo akili
 
Acha upuuzi mtoa mada, kwanini wao wasijifinze kiswahili. Nyie ndio mnaowapigia magoti mabeberu kwakila jambo. Leo hii unaona lugha yako ni takataka haifai kufundishia? Mpuuzi kweli wewe
Kiswahili ni local language kama kilivyo kisukuma,kigogo, kipare , Sasa msudani akijifunza Kiswahili akirudi kwao Sudan, ataongea na nani Kiswahili?
 
[emoji16][emoji16]

Kuna rafiki yangu alienda china kusoma udaktari wa wanyama.Baada ya kupata scholarship. Ila mwaka wa kwanza wote alitumia kusoma kichina ili kuondoa language barrier, ukishindwa kukielewa kichina hauendelei na course unayotaka.

Nashangaa hapa watu wanaona mtu kujua English ndo akili
Kuweni Makini kupeleka watoto wenu China, vyuo vingi mnavyowapeleka havitambuliki duniani.

Wakati china anapeleka watu wake marekani, sisi tuko bize kupeleka watoto wenu China, ivi nyie mnajielewa Kweli.
 
Kwa asilimia kubwa huu uzi una uongo kwa asilimia 100,..hospital kuna kada tofauti hakuna madaktari peke yake,pale kuna levels za Medical attendant,Nurses,wataalam wa maabara,wataalamu wa Mionzi,Wataalam wa meno,Clinical officers, AMO, MD na madaktari bingwa,..mwanafunzi yoyote anayesoma kada ya Afya lazima azunguke kwenye vitengo hivyo na hao wataalam atakutana nao,..mfano daktari anaweza asiwe fluently kwenye lugha lakini hawezi shindwa kuwasiliana na daktari yoyote Duniani kwa sababu kuna medical terminologies ambazo zinauwanganisha kwenye tiba...Watanzania tumekua na tabia za kupenda kusambaza uongo na kuponda vya kwetu na kuvisifia vya wengine,tuache hizi tabia..kwenye ukanda wa Afrika mashariki kwenye suala la Tiba Tanzania tuko juu kwa sasa,na hawa wataalamu tunzalisha kwenye vyuo vyetu vya ndani.
 
Back
Top Bottom