Madaktari wa Bongo washindwa kutema yai

Madaktari wa Bongo washindwa kutema yai

Wadau naomba faida ya lugha ya Kiswahili Nchi Tanzania?
 
Nchi za nje, unapewa mwaka mmoja wa lugha, hapa tumewapa kipindi gani?
Yes dkt hapimwi kwa lugha, but kuna scenarios unafanya kazi na dkts wa nje? Unadhani universal language ni ipi? English. Am sorry dunia imechange sana, hata wenzetu wana lugha zao, but wana kuwa recommended kufaham zaidi ya lugha moja, miaka ya kukarir only single language inaisha
Ukipewa mwaka unasoma bure ? Ni choice yako ili uelewe vizuri unachukua language haulazimishwi kusoma...; Hayo mambo ya lugha ni ni vizuri hakuna aliyebisha na sio English tu hata kama unaweza kujua lugha zote za duniani poa tu..., ila kama haujui hata neno moja halikupunguzii umahili wako... Duniani madaktari magwiji na wa kutosha wapo huko Cuba ingawa umahili wao sio kwenye lugha kwahio wewe ukiwaleta hata kama hawajui kiswahili au english utawapa translator (its cheaper that way)
 
Nchi za nje, unapewa mwaka mmoja wa lugha, hapa tumewapa kipindi gani?
Yes dkt hapimwi kwa lugha, but kuna scenarios unafanya kazi na dkts wa nje? Unadhani universal language ni ipi? English. Am sorry dunia imechange sana, hata wenzetu wana lugha zao, but wana kuwa recommended kufaham zaidi ya lugha moja, miaka ya kukarir only single language inaisha
Kwani tz 🇹🇿 lugha ya kimaitaifa ni ipi?
 
BICHWA KOMWE - and DR Mambo Jambo mje mtoe muongozo kwenye hili.
Hawa ndio wale makanjanja wanaotudunga machanjo ya ajabu ajabu kwa kukurupuka!

Ukimgusa kidogo, ooooh mimi ni mwanasayansi!! Kingereza hajuiiiii, ni majangaaaa!

Huko chuoni wanasomaje kama lugha ya kufundishia hawaielewi??

Hawa ndio watu unawaokabidhi mwili wako jumla jumla ili wakutibu huku wao wenyewe hawaelewi wanachotibu!

Cc: DR Mambo Jambo
 
Bila kiswahili unadhani hii Tanzania si ungekuwa ukitoka mkoa mmoja kwenda mwingine ni kama umesafiri kwenda nchi nyingine ?

Tanzania tuna bahati sana Africa (Kiswahili kinatuunganisha)
Si wangetumia English kuwa ndio lugha kuwaunganisha wa tz 🇹🇿 wote
 
Ukiniuliza mimi Ntakwambia kuna Shida nyingine tofauti na Language barrier..
Kwanini..
Kwanza Daktari ndo translator Mkubwa kwenye tasnia..

Kwa sababu anasikiliza Hostoria ya Mgonjwa kwa Kiswahili anaiandika maelezo kwa kingereza..
Halafu akishaiandika anaelezea kwa kiswahili kwa mgonjwa..

Pili sitaki kuamini kwamba Daktari akiwa Muhimbili anakuwa anaongea Kingereza vizuri ila akiwa Temeke,Mwananyamala na Ubongo kingereza kinamponyoka...

Maana yake ni kwamba Daktari akipata ajira mubimbili anaingiwa na pepo la kingereza anaongea.kingereza fresh kabisa....

Daktari huyo huyo akiajiriwa Temeke au Kigamboni pepo la kingereza linamtoka anakuwa hajui kingereza na anakuwa mkali..

Kuna kitu ambacho kinafichwa nyuma ya pazia..

Anywei..
Mafunzo ya Udaktari yote MD mpaka Zaidi ya hapo yanafundishwa kwa lugha ya kingereza hata Practical.zake zote hufundishwa kwa kingereza Presentation za wagonjwa Wodini plus mitihani ya Wagonjwa na clinical yote ni kwa lugha ya kingereza hata akiwa wodini ni hivyo hivyo...

Sasa ghafla mtu ambaye kasoma kingereza miaka 6 bila Chembe ya kiswahili ghalfa anasahau kingereza????
Hawa ni makanjanja, wakiwa chuoni wanasoma kiujanja ujanja mpaka wanatoboa.

Ukifika hospitali badala ya kupona unaongezewa tatizo lingine jipya, anaweza kukung'oa hata maini yote nje! Maini nje maini ndanii!!

Kanjanja linabukua hadi linakuwa dokta, usiombe ukumbane nae! Maini huna!!

Au kutokana na ujinga wake na akili ndogo isiyoweza kuhoji, anakudunga machanjo ya corona unapata NEUROPATHY au PERIPHERAL NEURAL DAMAGE unakufilia mbalii.
 
Hatar sana, Sio tu madaktar hata mavyouni malecture hoihai. Nao Wana English ya kumeza tu. English itabak kua changamoto Kwa taifa. Na ukiangalia wenzetu Kenya wako vzr pamoja na kua ni nchi mdogo kupita ss economy Yao Iko juu. Lugha ndo kichocheo!
 
Si wangetumia English kuwa ndio lugha kuwaunganisha wa tz 🇹🇿 wote
Kwanini ? Hivi kwa Mtanzania kujua English au Swahili kipi ni rahisi (kutokana na mother tongue kwa mtoto ni rahisi kujua kingereza) hilo ni moja; Mbili hivi unajua lugha mpaka kufika hapa ni asset kubwa sana, ikikosa waongeaji si itakuwa dead language kama kilatini ?

By the way the Pan Africanist of the Past kina Kwame walitaka Kiswahili kizungumzwe Afrika nzima sio Tanzania tu...;
 
Hatar sana, Sio tu madaktar hata mavyouni malecture hoihai. Nao Wana English ya kumeza tu. English itabak kua changamoto Kwa taifa. Na ukiangalia wenzetu Kenya wako vzr pamoja na kua ni nchi mdogo kupita ss economy Yao Iko juu. Lugha ndo kichocheo!
Vipi wachina na wajapan, wafaransa na wajerumani umahili wao kwenye English ?
 
Hawa ni makanjanja, wakiwa chuoni wanasoma kiujanja ujanja mpaka wanatoboa.

Ukifika hospitali badala ya kupona unaongezewa tatizo lingine jipya, anaweza kukung'oa hata maini yote nje! Maini nje maini ndanii!!

Kanjanja linabukua hadi linakuwa dokta, usiombe ukumbane nae! Maini huna!!

Au kutokana na ujinga wake na akili ndogo isiyoweza kuhoji, anakudunga machanjo ya corona unapata NEUROPATHY au PERIPHERAL NEURAL DAMAGE unakufilia mbalii.
😅😅😅🤣🤣
Nilimisi Kucheka
 
Kiswahili hakijitoshelezi katika nahau na maneno ya medical terms.

Ni serikali isisitize kupata waalimu wa kiingereza wazuri kuanzia primary hadi A Level.

Serikali isione haya kuagiza waalimu wa kufundisha somo la kiingereza kwa unahiri ngazi ya primary, secondary school kutoka Malawi, Zambia, Zimbabwe, Uganda na Kenya.
5v
Baada ya miaka 10 - 15 tutakuwa na waalimu wetu mahiri wa kufundisha somo la kiingereza na pia watu mtaani, ofisini, sokoni, mnadani n.k watakuwa inapobidi wanazungumza kiingereza cha ufasaha kwa wingi hadi vijijini
 
Vipi wachina na wajapan, wafaransa na wajerumani umahili wao kwenye English ?

Vipi wachina na wajapan, wafaransa na wajerumani umahili wao kwenye English ?
Ukifatilia vzr hawa walikuza economy zao kupita industrial revolution, capitalism na wengine wakati wa slavery! Sasa hvi dunia imebadilika. Kuna decentralization!
 
Kiswahili hakijitoshelezi katika nahau na maneno ya medical terms.

Ni serikali isisitize kupata waalimu wa kiingereza wazuri kuanzia primary hadi A Level.

Serikali isione haya kuagiza waalimu wa kufundisha somo la kiingereza kwa unahiri ngazi ya primary, secondary school kutoka Malawi, Zambia, Zimbabwe, Uganda na Kenya.
5v
Baada ya miaka 10 - 15 tutakuwa na waalimu wetu mahiri wa kufundisha somo la kiingereza na pia watu mtaani, ofisini, sokoni, mnadani n.k watakuwa inapobidi wanazungumza kiingereza cha ufasaha kwa wingi hadi vijijini
Facts kabsa hiz mkuu, tatzo linakuja kwenye utekelezaj🤣
 
Facts kabsa hiz mkuu, tatzo linakuja kwenye utekelezaj🤣

Tena hili halihitaji fedha za kigeni, waalimu toka nchi jirani mahiri wa kingereza waliofanyiwa usaili interview na waTanzania wabobezi wa lugha ya kiingereza watakuja wengi kulipwa hela za madafu.
 
Ukifatilia vzr hawa walikuza economy zao kupita industrial revolution, capitalism na wengine wakati wa slavery! Sasa hvi dunia imebadilika. Kuna decentralization!
Dunia sasa hivi imebadilika ukitaka kuongea na wachina unachat nao wao wanaongea wanachojua wewe unaweza kuweka english yako ya kuunga unga lakini chat ina-translate mnaelewana

Kwanza nikwambia jambo moja Waingereza wamepitwa sana sasa hivi wao wanajiona lugha nyingine hazifai kila mtu atajifunza English wenzao France, Germany na hata wachina wanajifunza zote.... Lugha ni Skill kwahio wewe ukijua zaidi ni kwamba umeongeza ujuzi (ni jambo jema) lakini wewe kama ni mkulima utapimwa kwanza kwa ukulima wako (kujua kongea na kuuzia wateja hio ni ziada) core skill yako ni kulima.... Thus I had rather have competent Doctors who cant utter a word of English than otherwise...
 
Ukweli hausemwi, ukweli unazungukwa, lugha mtu anajifunza vizuri akiwa mdogo, Masomo yote ya primary yalitakiwa yafundishwe kwa kiingereza, ndio suluhisho pekee, vitoto vya English medium vinajitahidi sana bila kujali ufaulu wao.

Shule za Kata mtu ana division one Ila hawezi kuongea sentensi yoyote ya kiingereza, madaktari terminology za madawa na magonjwa wanazijua, ila mawasiliano sasa zero
 
Back
Top Bottom