Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 13,481
- 28,116
Na hapo ndipo wakenya wanapopata pa kututania,nishakutana na wakenya wengi nje ya afrika wakiwa hawajui kiingereza wakati wa TZ tumehaminishwa kila mkenya anajua kiingerezaMtu ambae hajawahi kuishi nje akisikia foreigner tu anahisi ni bingwa wa Kiingereza.
Kwa hiyo mkuu, mkulima wa parachichi huko mbeya Kwa kina chichi , akiwa na anafanya mawasiliano na wateja wa nje kama South Africa, inabidi atumie translate app unafikiri ni rahisi hivyo, na ndio maana makulima wa Bongo kila mwaka ni vilio Tu π, wanapigwa na madalaliUkipewa mwaka unasoma bure ? Ni choice yako ili uelewe vizuri unachukua language haulazimishwi kusoma...; Hayo mambo ya lugha ni ni vizuri hakuna aliyebisha na sio English tu hata kama unaweza kujua lugha zote za duniani poa tu..., ila kama haujui hata neno moja halikupunguzii umahili wako... Duniani madaktari magwiji na wa kutosha wapo huko Cuba ingawa umahili wao sio kwenye lugha kwahio wewe ukiwaleta hata kama hawajui kiswahili au english utawapa translator (its cheaper that way)
Hayo ni mawazo yako tu,ila nikwambie tu umekuja kwangu kama mgeni wangu utaishi kama mimi na kufuata utaratibu wangu na sio mimi nijifunze utaratibu wakoUsidanganye watu wewe,wewe kama una watoto unawasomesha kwenye hizo shule zinazofundisha Kiswahili tupu? Halafu katika hizo nchi ulizozitaja hapo kuna nchi ombaomba hapo! Ni nani anamuhitaji mwenzie zaidi kati yetu na wao.
Bado tuna uhitaji wa kujua lugha za kigeni hasa Kiingereza.
Na walitakiwa waongee nao kila mgonjwa anapojieleza wao watafsiri. Shughuli ilikuwa ngumu. Cha ajabu mgonjwa akijieleza, wao taarifa wanaiandika katika Kiingereza!Ila Kiingereza bado ni changamoto kubwa sana Kwa wasomi wetu.
Ajabu wale waliosoma miaka ya 60/70/80 wanatema Lugha barabara sijui sisi wengine tunaferi wapi.
Nina rafiki yangu Mzungu anaishi London, weekend hii alinipigia simu Whatsapp, niliongea naye dakika 15 hivi baada ya kumaliza kuongea naye nikawahi Panadol faster maana kichwa kilishaanza kuniuma
Imagine sasa hao Madaktari wenyeji walipaswa kuongea nao Kila Siku masaa 7 ama 8 Kwa Siku [emoji119]
Sema baadhi wewe wako wengi tu kingereza hadi kifaransa kinapanda wamesona kuanzia chekechea English and French medium .Wako kibao .Ma daktari wetu wameshinda hata kuchukua number za sim za watoto wa Sudan, daa Noma sana π€£
Siyo msafala mkuu! Ni msafara.Cha ajabu ni nini? Rais Magufuli na msafala wake Zimbabwe walishindwa kutema yai mpaka rais wa Zimbabwe aliyewhi kuishi hapa akawasaidia kutafsiri kwa kiingereza.
Mkuu umeongea ukweli,Kuna watu tena wengine ndiyo hao wanaojiita wasomi wanadai lugha ya kufundishia iwe Kiswahili kuanzia chekechea hadi chuo kikuu sasa ndiyo tujiulize hali ikiwa hivyo itakuwaje kama leo watu waliosoma English kidogo kwenye masomo yao mambo yapo hivyo! Eti English libaki kuwa somo tu! Lakini cha ajabu hao wanaoshauri hivyo watoto zao wanawapeleka ulaya na Marekani kuanzia chekechea ndiyo ujue viongozi wa nchi hii walivyo na roho mbaya wanatamani sisi na watoto wetu tuendelee kuwa wapiga kura wao tu na sio kushiriki katika uongozi.
Mkuu kunywa maji Kwanza..Sema baadhi wewe wako wengi tu kingereza hadi kifaransa kinapanda wamesona kuanzia chekechea English and French medium .Wako kibao .
Hata mleta kwa kichwa tu cha habari alichoweka unaona wazi kabisa kuwa akili hana alitakiwa kuandika baadhi ya madaktari
Lakini kwa kichwa cha mada alichoweka na yeye kichwani nusu kaputi.Hahitajiki nabii kuthibitisha hilo.Kichwani na yeye hazimo kabisa
AMO ni kitu gani mkuu?Labda hao ni AMO mkuu
Assistant Medical Officers..AMO ni kitu gani mkuu?
Madaktari wanatumia "jargon" zao kama wanasheria ,kusema kwamba hawajui sidhani ila hawakutaka tu kuwapa ushirikiano.Ukiniuliza mimi Ntakwambia kuna Shida nyingine tofauti na Language barrier..
Kwanini..
Kwanza Daktari ndo translator Mkubwa kwenye tasnia..
Kwa sababu anasikiliza Hostoria ya Mgonjwa kwa Kiswahili anaiandika maelezo kwa kingereza..
Halafu akishaiandika anaelezea kwa kiswahili kwa mgonjwa..
Pili sitaki kuamini kwamba Daktari akiwa Muhimbili anakuwa anaongea Kingereza vizuri ila akiwa Temeke,Mwananyamala na Ubongo kingereza kinamponyoka...
Maana yake ni kwamba Daktari akipata ajira mubimbili anaingiwa na pepo la kingereza anaongea.kingereza fresh kabisa....
Daktari huyo huyo akiajiriwa Temeke au Kigamboni pepo la kingereza linamtoka anakuwa hajui kingereza na anakuwa mkali..
Kuna kitu ambacho kinafichwa nyuma ya pazia..
Anywei..
Mafunzo ya Udaktari yote MD mpaka Zaidi ya hapo yanafundishwa kwa lugha ya kingereza hata Practical.zake zote hufundishwa kwa kingereza Presentation za wagonjwa Wodini plus mitihani ya Wagonjwa na clinical yote ni kwa lugha ya kingereza hata akiwa wodini ni hivyo hivyo...
Sasa ghafla mtu ambaye kasoma kingereza miaka 6 bila Chembe ya kiswahili ghalfa anasahau kingereza????
Madaktari
Yeah na hili ndo nimeliona huenda kulikuwa na tatizo mahali..Madaktari wanatumia "jargon" zao kama wanasheria ,kusema kwamba hawajui sidhani ila hawakutaka tu kuwapa ushirikiano.
Kingereza ni kipana sana yupo mtu anayejua kingereza ila ukimpa asome hukumu kuna maneno lazima atafute dictionary.
Kiufupi hawakutaka ushirikiano na hao ,sudan kweny kingereza weupe huwezi kufananisha hata na Uganda .
Kwa kumbukumbu enzi za o level kwamba watu wa sayansi ndio kioo cha shule ,kweny ufaulu hata wakija wageni wa kizungu wanaongea nao .
Point yangu π Hawakutaka ushirikiano nao kabisa ,yaani walijuweka mbali kabisa ,wabongo ni cheap labors kweny makampuni ya wageni ila wanatoa ushirikina kwa ma'supervisors wao wanaongea kingereza.
Lugha inawekwa kama njia ya kufundishia na sio njia ya maongezi.Mwisho wa mwaka 2023 Wanafunzi wa masoma ya udaktari kutoka Sudan, wanao fadhiliwa masomo Yao na serikali ya tz πΉπΏ, hapa Nchi
Walisambazwa kwenye hospital za hapa Dar es salaam, wakitokea muhimbili, Kwa ajili ya kufanya practical training . Ili kuwapa sehemu zingine Sio wote wakae Tu muhimbili.
Katika hospital walizopelekwa ni mwananyamala, Temeke, ubungo, kigamboni etc.
Waka kabidhiwa Kwa wakuu wa idara mbalimbali Katika hospital hizo.
Cha kushanga wakuu wa idara wakashindwa kuwapa ushirikiano wa kutosha , wakawa Wana kula Kona, wengine wanakuwa wakali ili wasiulizwe maswali.
Shida kubwa ni Kwamba ma daktari walishindwa kuongea Nao English, kama taifa tumeingia matopeni Tena coz masoma wanayosoma ni Kwa lugha ya English.
Kwa hiyo hawa wanafunzi wakawa Wana lalamika kukosa ushirikiano report ikaja kuwa kuna language berrier. Na hawawezi Endelea Tena na practical training Yao, coz hakuna wanaoweza kufanya Nao communication.
So mwanzoni wa February 2024 ikabidi warudishwe muhimbili wakamalizie practical training Yao.
Ushauri: Kiswahili hakina tija Kwa taifa kifutwe mashuleni kabisa.
View attachment 2918900
Mkuu wa idara anajifanya bubuAssistant Medical Officers..
Madaktari wasaidizi..
WNa level ya Advance Diploma in Clinical medicine..
Wanasoma Diploma miaka 3 plus 2 ya kufanya kazi plus 2 ya Advance diploma..
Point yangu π Hawakutaka ushirikiano nao kabisa ,yaani walijuweka mbali kabisa.Madaktari wanatumia "jargon" zao kama wanasheria ,kusema kwamba hawajui sidhani ila hawakutaka tu kuwapa ushirikiano.
Kingereza ni kipana sana yupo mtu anayejua kingereza ila ukimpa asome hukumu kuna maneno lazima atafute dictionary.
Kiufupi hawakutaka ushirikiano na hao ,sudan kweny kingereza weupe huwezi kufananisha hata na Uganda .
Kwa kumbukumbu enzi za o level kwamba watu wa sayansi ndio kioo cha shule ,kweny ufaulu hata wakija wageni wa kizungu wanaongea nao .
Point yangu π Hawakutaka ushirikiano nao kabisa ,yaani walijuweka mbali kabisa ,wabongo ni cheap labors kweny makampuni ya wageni ila wanatoa ushirikina kwa ma'supervisors wao wanaongea kingereza.
Ni kwamba wala ganja wanajikuta wajuaji sanaπ€£Mkuu Unataka waimbe rege