Unajua mimi ni mtu mwema sana,nilivyokuwa O' Level nilikuwa natamani sana nije kuwa daktari lakini nikawaza suala la kuwatafuna watoto wa watu,nikasema ngoja nishirikishe halmashauri ya akili yangu.
Tokeo la O Level kwenda A Level lilinikuta nimeshakuwa sio yule wa mawazo ya udaktari maana nilikuwa na mawazo ya Zinaa ni deni na mimi sipendi kulipa madeni yenye kuambatana na maumivu. Nikaamua kuanza kuwaza masomo ambayo hayatakuwa na muongiliano na watoto wa kike kila mara.
Ila ole wenu,ningekuwa dr ................!