DOKEZO Madaktari wa kizazi hiki mnatia aibu sana

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Tuweke utaratibu wa kupima miili yetu, FBP, ECHO, STOOL, URINE ANALYSIS
Angalau kila baada ya miezi 3-6

Tupunguze unywaji na ulaji wa hovyo.

Tulale kwa muda sahihi

Tuwekeze katika maombi
Mkuu mimi kila miezi 6 nafanya physical checkup, sasa nikaenda hospital tofauti safari hii. Kupima wakasema mkojo mchafu nikauliza kwanini mkojo mchafu wakasema kunywa maji mengi. Na wakanipa madawa nikatumia yale madawa ya kawa yananizidi nguvu wiki 2 sijatoka ndani. Nikaanza kufanya ganzi mkono mara ganzi ya mguu sijui kiuno kimeganda. Nikaona acha nitoke nje ya nchi nimekwenda huko nimeambiwa nina protein nyingi kwenye mkojo, kwahio niangaliwe liver na kidney naam hilo ndio lilikuwa tatizo. Lakini huku nyumbani nimeambiwa mkojo mchafu tena ninywe maji tu🤣🤣
 
level ipi ya hospital mkuu uliyotibiwa hapa? mkojo mchafu? how?
 
Utakuwaje Prof wa Medicine na hujasoma MMED au MSc huko na PhD!??
Ndivyo ilivyo kwenye Medical schools nyingi za Tanzania; ukihesabu maprofesa wa mwedicine ambao wana Ph.D unaweza usipate hata mmoja. Wenye masters pia ni wachache sana. Kuna mtu aliwahi kutoa takwimu zao halsi hapa hata mimi nikashangaa; nimandika hivi kwa kufuata takwimu hizo.
 
mzee heshima yako ni kubwa humu JF ... pls check source yako .. then rekebisha.
 
mzee heshima yako ni kubwa humu JF ... pls check source yako .. then rekebisha.
Hii topiki iliwahi kujadiliwa hapa JF siku nyingi sana sisi wengine tukiwa spectators, na takwimu zikawekwa kavu kavu ambazo zilinitisha hata mimi. Nobody disputed the validity of those arguments then, hivyo they are still valid. Wale wachache wenye Ph.D ni viongozi kama vile Deans na Directors hasa waliostaafu kutoka Muhimbili College of Medicine ya Wakati huo; ile wanaofundisha madarasani wengi ni MD tu.

Hata hivyo nitachukua muda kutajitafutia facts zaidi ya kukubaliana na arguments hizo tu.
 
Ma MD wengi wa miaka hii, wako substandard na wamejaa ego ya kishamba.

Kwa kifupi ni ma CO waliochangamka tu, uwezo wao unatia shaka sana.


Ukiweza katibiwe na specialist tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pole sana mkuu..imenisikitisha hii!
 
Hawa matabibu vijana hata akijuchukua damu labda ya typhoid, anachomachoma anarudia Mara nyingi, alafu unasikia maimivu, Ila ukichomwa na watu wazima Mara moja tu na maumivu hakuna.
 
Shida ya kumeza Viagra halafu demu asije ingeweza kukuletea tatizo kubwa sana la moyo.
 
Pole sana mkuu,hii ndio aina ya Wasomi tulionao nchini mwetu.
 
Jana nilikutana na classmate wangu mmoja MD pale Kinyerezi Park anakula bia kama hana akili, totoz ndo usiseme.

kila mtu ashinde mechi zake.
Kama anakula bia mda sio wa kazi haina noma
 
Hayo unayoyafanya huna tofauti na waganga wa kienyeji

Ungekuwa una ABC za taaluma hyo ungeelewa haraka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…