Father of All
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 7,672
- 9,039
Dogo spika kanikuna kweli.Nadhani Kikwete na Samia wamepata vidonge vyaoWasalaam
Madam Speaker ameshauri watu wakasome, wasinunue PhD nitaweka video.
Nchi hii ina vitu ya ajabu sana wanataka kuchezea mpaka taaluma bila haya.
Wakasome, narudia, wakasome