Etugrul Bey
JF-Expert Member
- Aug 6, 2020
- 6,514
- 15,247
- Thread starter
-
- #41
NumbisaKama kweli huyo mke yupo ni mpumbavu. Ni aina ya wale wanawake wanaoamukizwa magonjwa ya zinaa ndoani na kupigwa na waume zao kuwa wao ndio wamecheat mpaka kuleta magonjwa ndani ya nyumba. Vile vile ni aina ya wale wanawake wanaofiwa na waume zao kwa magonjwa makubwa na kuishia kulaumiwa na ndugu wa mume kwani nini hajaanza kufa yeye huku akiitwa muuaji
MadamMkuu acha niishie hapa nisiendelee zaidi.
Ila kikubwa acheni uhuni.
Acheni uzinzi.
😂😂😂Jiwe gizani ngumu kumeza ila ndio ukweli hata kwa mwanaumeMwanamke Msaliti pekee ndio anaweza kuvumilia.
😂😂😂 Huyu anatushaurije ma FBI?yaani mama J kajimilikisha kiulainiii kabisa! Hapana jamani tuendelee na u FBI wetu,au unasemaje my wangu?
[emoji257][emoji257][emoji257][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji3531][emoji3531][emoji3590][emoji3590][emoji3590][emoji3590][emoji3590][emoji3590][emoji3590][emoji3590]Unasema nini wewe?
Yaani nimwamini mwanaume na private parts zangu halafu niogope kushika na kukagua simu yake?
Kwa kifupi wanaume acheni umalaya na sio eti "mwanamke mjinga huvunja ndoa yake na blah blah".
Hamna upendo na heshima kama anazini nje ya ndoa. Upendo hapo upo wapi? Heshima ipo wapi? Echeni uzinzi na kutafuta visingizio vya ajabu.
Mwanaume ni mnyama kama ilivyo dume la simba, impala, fisi, mbwa koko, mbuzi n.k hivyo lazima amiliki pride ya wanawake. Sisi sio njiwa..Unasema nini wewe?
Yaani nimwamini mwanaume na private parts zangu halafu niogope kushika na kukagua simu yake?
Kwa kifupi wanaume acheni umalaya na sio eti "mwanamke mjinga huvunja ndoa yake na blah blah".
Hamna upendo na heshima kama anazini nje ya ndoa. Upendo hapo upo wapi? Heshima ipo wapi? Echeni uzinzi na kutafuta visingizio vya ajabu.
Uhakika my wangu ni kuchunguza hadi msg za PATAPATA😂😂😂 Huyu anatushaurije ma FBI?yaani mama J kajimilikisha kiulainiii kabisa! Hapana jamani tuendelee na u FBI wetu,au unasemaje my wangu?
Vyema💯✔️✔️✔️...Mke wa yule jamaa ni kama hana pa kwenda.....hivyo kuwa zoba inamfaa.....mi simu yako siangaiki nayo ila niliona viashiria vya dharau zilizopitiliza ndoa navunja hata kama ilifungwa Kwa mnyororo
Na kwamaelezo ya jamaa Mara kadhaa anatenda kosa yeye ila kibao anageuziwa mwanamke Na vikao vya familia juu,..kifupi siku huyo mwanamke akichoka tutashuhudia mauaji .Mke wa yule jamaa ni kama hana pa kwenda.....hivyo kuwa zoba inamfaa.....mi simu yako siangaiki nayo ila nikiona viashiria vya dharau zilizopitiliza ndoa navunja hata kama ilifungwa Kwa mnyororo
Halafu huenda hajui kusoma si alisemaga alimwokota uswahilini huko,manzese sijui kwenye ule uswaz haswa hadi mamake hakupenda auoe
Mke wa deep pond ni mama wa nyumbani aso mwelekeo deep pond ndo anamweka mjini😅ikitokea jamaa akadanja huyo mama atadata 😅Pengine mkewe hua anaogopa kufungiwa mtaa si unakumbuka hicho kisa kwahiyo akaona abaki anatazama mambo hata kama ya hovyo.
Kabisa japo jamaa alikiri kuwa hajawahi mpenda huyo mwanamke before sijajua ndani ya ndoaNa kwamaelezo ya jamaa Mara kadhaa anatenda kosa yeye ila kibao anageuziwa mwanamke Na vikao vya familia juu,..kifupi siku huyo mwanamke akichoka tutashuhudia mauaji .
Ndio ndo maana hata hastukiHalafu huenda hajui kusoma si alisemaga alimwokota uswahilini huko,manzese sijui kwenye ule uswaz haswa hadi mamake hakupenda auoe
At least umekuwa mkweliShukran mkuu,
MamaG Japo nae ana mapungufu yake ya kibinadamu ila Sijawahi kujutia kuoa.
Kwenye kile chama Cha wakataa ndoa Mimi sipo kabisa, wife hanipi stress.
siwez kumlaumu stress najitaftia mwnyw kwa kina mamaJ kwa minyeg yangu[emoji4]