Madame B, mbona husomeki...?

Madame B, mbona husomeki...?

Mtambuzi

Platinum Member
Joined
Oct 29, 2008
Posts
8,809
Reaction score
15,421
bronze.png

Madame B, hata haka kautepe ka BRONZE jamani kanakushinda....!

7638390034_619c7dc483.jpg


Jina kuubwa, lakini unatuangusha bana, hebu sema na shemeji akuondolee hii aibu....... LOL

Copy to: Paloma, amu, Asprin, na Kipaji Halisi.....
 
Hapo umetusema wengi, ...
Wewe tu na roho yako, mie nimeongea na afki yangu wa kufa na kuzikana Madame B maana nashangaa hasomeki..
Hata mwenyewe anajua, maana mkakati wa kujitwalia utepe tuliujadili pale LEO TUPO HAPA PUB na takriban wajumbe wote waliokuwepo kwenye hicho kikao wametimiza ndoto zao isipokuwa yeye, na ndio maana namkumbusha tu kiroho safi
 
Last edited by a moderator:
Madame B, hata haka kautepe ka BRONZE jamani kanakushinda....!

7638390034_619c7dc483.jpg


Jina kuubwa, lakini unatuangusha bana, hebu sema na shemeji akuondolee hii aibu....... LOL

Copy to: Paloma, amu, Asprin, na Kipaji Halisi.....

A cleavage or a placket seems now to define a subtle way of a woman's femininity power........oozing out from her boobs! A heavy, reddish lower lip has acquired a different meaning in our medical nomenclature signifying.....................
 
bronze.png

Madame B, hata haka kautepe ka BRONZE jamani kanakushinda....!

7638390034_619c7dc483.jpg


Jina kuubwa, lakini unatuangusha bana, hebu sema na shemeji akuondolee hii aibu....... LOL

Copy to: Paloma, amu, Asprin, na Kipaji Halisi.....

Mzee-kijana Mtambuzi we acha tu.
Hawa waume zangu nuksi kweli............wananipenda wanione tu ninavyowawapeti peti jukwaani, lakini kunilipia pesa hawataki.
Sasa nitafanya mpango wakuwaacha wote, mmoja baada ya mwingine.
 
Last edited by a moderator:
kumbe wanakuangusha sasa na nyie wanaume si mchange hata buku mbilimbili nini maana ya saccoss
Mzee-kijana Mtambuzi we acha tu.
Hawa waume zangu nuksi kweli............wananipenda wanione tu ninavyowawapeti peti jukwaani, lakini kunilipia pesa hawataki.
Sasa nitafanya mpango wakuwaacha wote, mmoja baada ya mwingine.
 
Last edited by a moderator:
Annual Membership Subscriptions

JF Bronze Member 20,000 - 99,000

JF Gold Member 100,000 - 249,000

JF Platinum Member 250,000 - 490,000

JF Tanzanite Member 500,000 - Na zaidi...

attachment.php
 
Wewe tu na roho yako, mie nimeongea na afki yangu wa kufa na kuzikana Madame B maana nashangaa hasomeki..
Hata mwenyewe anajua, maana mkakati wa kujitwalia utepe tuliujadili pale LEO TUPO HAPA PUB na takriban wajumbe wote waliokuwepo kwenye hicho kikao wametimiza ndoto zao isipokuwa yeye, na ndio maana namkumbusha tu kiroho safi

We acha tu...........
Ndio maana mie kila kukicha nachange motion sababu kila mwanaume namuona chenga.
Alianza Ruhazwe JR.......hakunichangia.
Akaja @Ruttsshobolwa.........hakunichangia.
wakaja akina Bonny,... Chilli,.... Chimbuvu,... Ben Saanane,... tedo,... Arushaone,... CHAI CHUNGU,... matumbo,... Chibolo,... Remote..............hao woote nimeambulia pakavu.

Jamani SACCOS yangu imenishinda.
Naigawa......

Wilmington10AI.jpg
 
Back
Top Bottom