gfsonwin
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 18,272
- 20,692
mimi nimechoka gold sasa nataka nitoke na unique charter lol!!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ha haaa, hii naona hawajaitendea haki.......
ha haaa, umeona eeehhhh!
mambo iko huku......
nimeona nihamie kwenye tanzanite, lol! kipende chako....
cc Nyamayao, mimisa, Chocs, Arabela, Nyamayao, ladyfurahia, Lady doctor (msalimu shem), Preta (huyu wifi yangu sijui kapotelea wapi?), Nivea my twin upo?
Unasemaje Madame B kuhusu Zahra White?Huyo Zahra White anajitafutia majanga tuu....
Umeona eeee...........
Waume zangu yaani ni wagwasu, sijapata kuona.
Mpaka siku nikifurahi ndio nitapiga huo utepe.
Siku zinahesabika mdada vipi mzima kimya au nawewe umefunga tusitembeleane??hata wewe jina kubwa lakini holaaaaaaa weka kautepe urudishe heshima yako mjini !!kwiwkwiwkwiwkwiwkwi hujambo lakini
Changia JF basi Mrs Bishanga
ha haaa, umeona eeehhhh!
mambo iko huku......
nimeona nihamie kwenye tanzanite, lol! kipende chako....
cc Nyamayao, mimisa, Chocs, Arabela, Nyamayao, ladyfurahia, Lady doctor (msalimu shem), Preta (huyu wifi yangu sijui kapotelea wapi?), Nivea my twin upo?
changamka my dearest.....Fixed Point umentia wivuuu...lols
Na kweli, hebu nijitahidi sasachangamka my dearest.....
unaachwa hivi hivi, lol!
all the bestNa kweli, hebu nijitahidi sasa
utakuja na celica naogopa mie kuasutwa mie .Siku zinahesabika mdada vipi mzima kimya au nawewe umefunga tusitembeleane??
utakuja na celica naogopa mie kuasutwa mie .
Shemeji,....nichangie kidogo.