Madame B, mbona husomeki...?

Madame B, mbona husomeki...?

gfsonwin mbona Gold ni cha mtoto...
Mambo iko hapa bana,........
medal-platinum.png

mimi nimechoka gold sasa nataka nitoke na unique charter lol!!!!
 
Last edited by a moderator:
Ngoja niende vikoba nikakope nilipe jf najua Bishanga atanilipia hilo deni.
 
Last edited by a moderator:
utakuja na celica naogopa mie kuasutwa mie .

ohoo "Kosea njia utaelekezwa,lakini usikosee mtu wakuoa /kuolewa naye,vinginevyo majuto yatakuwa sehemu ya maisha yako.tuliza kichwa unapochagua mwenzi wa maisha."
 
Madame B hao wanaume zako hawana hela shauri zako,
mwenzio nimeopoa
keshanipa kibandiko,
Ila nataka kile cha kiume
Ngoja niombe ombe ili nibadilishe niweke cha blue,

Piga chini tafuta wenye pesa zao mwaya.
Aisee!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom