makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Yaani lazima wafumuliwe marinda hahaha unachezea unaenda sehemu kijinga. Kwa Diamond naamini walikuwa na maisha mazuri ya kitajiri mno kuzidi huko kwenye kufumuliwa marinda. Wewe ndiye choko usijejua nchi za watu.We mjinga kwelikweli..!!!
Kwenda Marekani ndio kufumuliwa marinda?
Acha kuingiza uchoko wako kwenye thread zisizo husiana.
Damn Fool...
"watoto"Unataka niikatae asili yangu?
Walitumia FursaMadansa 3 wa Diamond Platnumz (Hbaajuni, Emma Platnumz na Rama Tosser) wamezamia Marekani kinyemela kwa kutumia Visa za WCB.
Inasemekana mara ya mwisho Diamond Platnumz alivyoenda Marekani aliwakatia Visa za mwaka mmoja mmoja, walivyomaliza kazi na kurudi bongo wakakata ticket za kurudi Marekani kimyakimya.
Diamond Platnumz alienda ubalozi wa Marekani ili kushtaki vijana wawe deported, lakini vijana nao wakajitetea kuwa walikuwa wanafanyishwa shughuli haramu za upunda, na kwa kusema hivyo wanaogopa kurudi bongo kuhofia usalama wao.
View attachment 2813100
Sawa sawa dada yangu kipenziMradi kisharipoti awaache wajitafutie maisha kivyao. Asifatilie habari zao.
Madansa 3 wa Diamond Platnumz (Hbaajuni, Emma Platnumz na Rama Tosser) wamezamia Marekani kinyemela kwa kutumia Visa za WCB.
Inasemekana mara ya mwisho Diamond Platnumz alivyoenda Marekani aliwakatia Visa za mwaka mmoja mmoja, walivyomaliza kazi na kurudi bongo wakakata ticket za kurudi Marekani kimyakimya.
Diamond Platnumz alienda ubalozi wa Marekani ili kushtaki vijana wawe deported, lakini vijana nao wakajitetea kuwa walikuwa wanafanyishwa shughuli haramu za upunda, na kwa kusema hivyo wanaogopa kurudi bongo kuhofia usalama wao.
View attachment 2813100
Madansa wanalipwa hela ndogo sana. Sio kwa Diamond tu hata kina Koffi Olomide na wanamuziki wengine wa DRC hulalamikiwa na madansa. Majuzi madansa wawili wa JB Mpiana walizamia USA ila kwa baraka zote za Mpiana. Aliwaruhusu wabaki. Ni jambo la kawaida kwa wakongo ila kwa Tanzania bado ni ishu ngeni.Inaamana mondi alikuwa hawalipi jamaa hela ya maana mpaka wakimbie au
La maana sana. Tatizo wabongo bado tuna uoga. Wenzetu wakishagusa Ulaya ndo imeisha hiyo hatakaa arudi kwenye dhiki.Basi in that case wamefanya jambo la maana sana,waangalie future yao tu muhimu.
Duuhh, Tanzania bwanaAisee yaani hao marinda yatakoma. Watafanya kazi gani? Yaani kama walikuwa na uwezo wa kujikatia ticket kwa hela ya Diamond maana yake wanakipato kizuri kuzidi wamarekani wengi.
Acha negative thoughts, USA inapokea illegal migrants zaidi 1 million,2022-2023 👈 Sasa hawa wote wanaenda kufumuliwa marindaYaani lazima wafumuliwe marinda hahaha unachezea unaenda sehemu kijinga. Kwa Diamond naamini walikuwa na maisha mazuri ya kitajiri mno kuzidi huko kwenye kufumuliwa marinda. Wewe ndiye choko usijejua nchi za watu.
Atleast wanaakili sio mbaya.La maana sana. Tatizo wabongo bado tuna uoga. Wenzetu wakishagusa Ulaya ndo imeisha hiyo hatakaa arudi kwenye dhiki.
Hao marinda yanawahusu maana hawajui chochoteAcha negative thoughts, USA inapokea illegal migrants zaidi 1 million,2022-2023 👈 Sasa hawa wote wanaenda kufumuliwa marinda
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Ilihusu watoto kutahiriwa kienyeji.
Aisee yaani hao marinda yatakoma. Watafanya kazi gani? Yaani kama walikuwa na uwezo wa kujikatia ticket kwa hela ya Diamond maana yake wanakipato kizuri kuzidi wamarekani wengi.