Madawa ya Kulevya: Aisha Bui (mke mwenza na Amina chifupa) nae akamatwa Brazil

Madawa ya Kulevya: Aisha Bui (mke mwenza na Amina chifupa) nae akamatwa Brazil

Jamani acheni kumzushia dada wa watu, nimetoka kuongea nae jana wala hajakamatwa au kufungwa
 
wanatumia wanawake wazuri ili wasishtukiwe
 
ndiyo maana hizi hela ni za laana unapiga sana ila one day zero , si bora hata biashara ya nyanya zikioza unaweza hata ukawapa kuku na bata ukawa hujala hasara mifugo inashiba . ama kweli rahisi daima ina gharama kubwa
 
Mimi nilimzimikia sana huyu dada kwa uzuri wake, wala hakuonekana mwenye kujikweza wala kutaka makuu, kwani sikuwahi kusikia kama ana kashfa yoyote ile. Kwa kweli, kama amekamatwa Brazil kwa sababu ya mihadarati, nimehuzunika. Nilikuwa ninamweka mahala pa pekee, na kama angekuwa mvumilivu, angefika mbali.

Huu u-Masogange ukomeshwe jamani. Tuwaonye hawa akinadada wenzetu, kwamba HAKUNA MAISHA YA MKATO! Kila mtu afanye kazi kwa bidii na uadilifu, Mungu atamwona, atampa riziki yake halali. Hizo pesa za Shetani zinawaumbua watu kila uchao.

Pole Aisha. Pole. Waliokudanganya wako wapi? Wao wanapeta, wewe uko jela!
 
Wallah hicho kinaenda kuwa chakla cha mabwana jela.mtoto mashallah.
 
Mzee biashara hii wakisha kuingiza hauruhusiwi kutoka. Ukilazimisha waweza kupoteza uhai. Nafikiri ndiyo maana wanawaita punda, kwani punda hana maamuzi isipokuwa boss wake.

mafia rule: ONCE YOU ARE IN, YOU CAN'T BE OUT UNLESS YOU ARE DEAD!
 
watu mnakereka na hiyo ishu ya Ngada...
Siku hizi kila mtu na maisha yake kila mtu na starehe yake.
anaekula unga ndio Kilevi alichochagua atumie, mwenye kuvuta Bange nae ndo alichoamua, kuna wengine walevi wa Pombe na wengine umalaya upo kwenye Damu.
Kama ni kufa basi kila mtu atakufa na kifo ndo haki ya msingi ya mwanadamu.

Full stop
 
hawa huwa hawakomi. akili zao sijui ziko sehem gani ya mwili. Pamoja na wote hawa kukamatwa bado kuna wengine wanapaki mzigo waanze safari. wengine tayar wapo airport na mzigo.

Ndugu yangu unajua huwa najiuliza sana wanasikia kila siku watu wanakamatwa na bado unajipeleka hivi hii nini? kweli binadamu aisee! au ndo ule usemi wa mwl kwamba ukishaonja pesa haramu huwezi acha!
 
attachment.php

https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-lugha/2830-~-and-~-kula-tunda-kwa-kuiba-~-and-~.html

Sasa huyu mbona yamini haikumshika!

Aliwahi kuomba msamahaa kwa baba ake,wenzie walikataa ndio maana yamini haikumshika
 
ndiyo maana hizi hela ni za laana unapiga sana ila one day zero , si bora hata biashara ya nyanya zikioza unaweza hata ukawapa kuku na bata ukawa hujala hasara mifugo inashiba . ama kweli rahisi daima ina gharama kubwa

Kweli kabisa mkuu,rahisi ni gharama
 
Back
Top Bottom