tweenty4seven
JF-Expert Member
- Sep 21, 2013
- 15,863
- 19,626
Wanadai ndugu wa jamaa aliyefanyiwa kitu mbaya ndo wamegmhangaika kuwachomea.
Nasikia simu za Chonja zilikuwa zinafuatiliwa na kusikilizwa na Polisi masaa 24...ndo wakawadaka.
Jua kua madon w sembe wengi soko lao sauz hpa ni transit tu tena wanasafirisha kwa barabara kwenda sauz mana safe kuliko ndege,istoshe chagonja nae walewale abdul yupo atamaliza huu msala tu cunajua mukulu analist yao kaikalia cz wpo wanasiasa,mawaziri,manabii we2 n muda w kampeni umefika ndio wafadhili we2 hao