Jodoki Kalimilo
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 12,559
- 11,180
Hivi ukiuza kete ndio ushakuwa celebrity???
Kibongobongo wanajiona Celebrity simply becoz wanakuwa wanavisent vya kujichanganya na watu mbalimbali ambao wengi wao wanasindikiza maisha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi ukiuza kete ndio ushakuwa celebrity???
Labda kwa kuwika mjiniiii chezea sembee
ni wanawake wa aina gani ambao huenda kwenye hizo semina zake?
Wasomi wenye shahada na walio exposed kama akina modesta mahiga au wale wamiliki vi boutique vya mjini kama dida?
Binadamu hunishindi Mimi yani nilikua namuonaga Dada decent shoga kuna Siku nilikutana nae sehemu mh kwelii tangu awe high class amekua Ana dharau alinipotozea coz mie sikua nafit in wanataka matawi wenzao mh Dnt judge a book by its cover hata Kama is hu itazimwa tushajua bembwe za eve collections zote za sembe mjiniyaani nilivyokua namheshimu shamim kumbe hana lolote na yeye
Msukuma wako hauzi sembe?
Ni wanawake wa aina gani ambao huenda kwenye hizo semina zake?
Wasomi wenye shahada na walio exposed kama akina Modesta Mahiga au wale wamiliki vi boutique vya mjini kama Dida?
Niliwahi kumwona kwenye runinga siku moja akifanya mahojiano na wala sikuvutiwa kabisa na upeo wake pamoja na uwezo wake wa kujieleza.
Halafu hiyo sembe wanamuuzia nani hasa?
Maana mateja wengi wamefulia tu. Sasa hizo hela wanazotengeneza kwenye hiyo biashara zinatoka kwa nani?
Na urembo hakukuvutia?? Yale macho ya kikombe mantashallahh
aiseee hii nchi ina wenyewe
ndio hvyo mkulu analist yao ila kapiga kimya cz ndio wadhamini w chama hao unaambiwa no 1 don eac mpka sauz ni rost tamu
Kwa amsha amsha yuko poa kiasi flani....
Ila kichwani hakidhi viwango vyangu hata kidogo!
Niambie Diva Beyoncé...upo poa ...nikweli kabisa vijana hawana uthubutu, wanataka shortcut ili waishi maisha mazuri haraka haraka
mzima mamii?
Pole yaani akakunyanyapaa hivi hivi, unajua wengi husahau kwamba unapopata pesa au umaarufu kutokana na shughuli flani utapata marafiki wengi lakini wengi wao huwa wamekuja kwa sababu ya kile unachokifanya hivyo unatakiwa kuwa nao makini sana pia usiwasahau hata wale unaowafahamu tangu upo chini yaani mlikuwa mnaongea nao vizuri (ikitokea mmekutana bahati mbaya mnasalimiana alafu unaendelea na mambo yako kwani siku zote unapohama class moja ya maisha kwenda class nyingine automatically kuna kundi lingine ulilokuwa nalo chini unaweza ukalipoteza kutokana na mishemishe zako lakini haina maana ikitokea umeonana nao kama ajali ukawachunia)Binadamu hunishindi Mimi yani nilikua namuonaga Dada decent shoga kuna Siku nilikutana nae sehemu mh kwelii tangu awe high class amekua Ana dharau alinipotozea coz mie sikua nafit in wanataka matawi wenzao mh Dnt judge a book by its cover hata Kama is hu itazimwa tushajua bembwe za eve collections zote za sembe mjini