Madawa ya Kulevya: Mfanyabiashara Mharami Mohamed na wenzake 4 wakamatwa na kilo 7 za Heroin

Madawa ya Kulevya: Mfanyabiashara Mharami Mohamed na wenzake 4 wakamatwa na kilo 7 za Heroin

ni wanawake wa aina gani ambao huenda kwenye hizo semina zake?

Wasomi wenye shahada na walio exposed kama akina modesta mahiga au wale wamiliki vi boutique vya mjini kama dida?

mpaka wasomi anawaalika mfano last year aliandaa event moja siku ya wanawake ilikusanya wanawake wa aina zote
mwaka juzi kuna event moja aliandaa ni kubwa tu nimesahau jina iliitwaje
ila huwa anafanya vitu ambavyo mdada yeyote mwenye mtazamo chanya anakuinspire
kumbe mumewe drugs dealer
 
yaani nilivyokua namheshimu shamim kumbe hana lolote na yeye
Binadamu hunishindi Mimi yani nilikua namuonaga Dada decent shoga kuna Siku nilikutana nae sehemu mh kwelii tangu awe high class amekua Ana dharau alinipotozea coz mie sikua nafit in wanataka matawi wenzao mh Dnt judge a book by its cover hata Kama is hu itazimwa tushajua bembwe za eve collections zote za sembe mjini
 
Ni wanawake wa aina gani ambao huenda kwenye hizo semina zake?

Wasomi wenye shahada na walio exposed kama akina Modesta Mahiga au wale wamiliki vi boutique vya mjini kama Dida?

Niliwahi kumwona kwenye runinga siku moja akifanya mahojiano na wala sikuvutiwa kabisa na upeo wake pamoja na uwezo wake wa kujieleza.

Na urembo hakukuvutia?? Yale macho ya kikombe mantashallahh
 
Halafu hiyo sembe wanamuuzia nani hasa?

Maana mateja wengi wamefulia tu. Sasa hizo hela wanazotengeneza kwenye hiyo biashara zinatoka kwa nani?

Soko kubwa lipo kusini mwa Afrika haswa Afrika kusini ndio maana wanaojidai watabe wa mjini kila kukicha safari zao kwa Zuma tu.
 
hizi biashara haziwezi kwisha ila na hao wauzaji wawe na decipline syo wanauza kama wanalipa kodi.....wanajiachia kupitiliza
lazima wafahamu kila kitu kina mwanzo na mwisho
 
.. ROBERT MICHAEL tz ni kama transit ....biashara hii watu wanajisahau sana wanatka kuuza milele itatokea siku utakamatwa watakupumzsha
 
Last edited by a moderator:
kama hawa madon wauza unga wanabaka wanaume wenzao kinyume na maumbile je kwa wake zao si ndio kila siku?
 
Niambie Diva Beyoncé...upo poa ...nikweli kabisa vijana hawana uthubutu, wanataka shortcut ili waishi maisha mazuri haraka haraka

Huwa inashangaza aisee unakuta mtu ana 40 years wengine hata 40 hawajafika wana hela za kufa mtu alafu shughuli wanazozifanya hazionekani na contribution anayolipa TRA haiendani na mali anazomilki. (hapa ndio shida maana bora hata angekuwa mzee utasema alizidunduliza tangu enzi za ujana wake)
 
Binadamu hunishindi Mimi yani nilikua namuonaga Dada decent shoga kuna Siku nilikutana nae sehemu mh kwelii tangu awe high class amekua Ana dharau alinipotozea coz mie sikua nafit in wanataka matawi wenzao mh Dnt judge a book by its cover hata Kama is hu itazimwa tushajua bembwe za eve collections zote za sembe mjini
Pole yaani akakunyanyapaa hivi hivi, unajua wengi husahau kwamba unapopata pesa au umaarufu kutokana na shughuli flani utapata marafiki wengi lakini wengi wao huwa wamekuja kwa sababu ya kile unachokifanya hivyo unatakiwa kuwa nao makini sana pia usiwasahau hata wale unaowafahamu tangu upo chini yaani mlikuwa mnaongea nao vizuri (ikitokea mmekutana bahati mbaya mnasalimiana alafu unaendelea na mambo yako kwani siku zote unapohama class moja ya maisha kwenda class nyingine automatically kuna kundi lingine ulilokuwa nalo chini unaweza ukalipoteza kutokana na mishemishe zako lakini haina maana ikitokea umeonana nao kama ajali ukawachunia)
 
Back
Top Bottom