Madeama ni kama timu ya Mashujaa ya Kigoma: Hamasa kubwa, kujituma kwingi, mwisho wa siku kubaki karibu mkiani

Madeama ni kama timu ya Mashujaa ya Kigoma: Hamasa kubwa, kujituma kwingi, mwisho wa siku kubaki karibu mkiani

mbingunikwetu

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2015
Posts
13,897
Reaction score
18,477
Timu ya Madeama haina chochote kiufundi, lakini hamasa yao ni kujaribu kuzidindia timu kubwa!! Nawalinganisha na Mashujaa wa Kigoma!! Yanga kesho washindwe wenyewe tu!! Kiufundi hamna timu pale zaidi ya jihad!!

Sitarajii mtu ajisifu kufunga kitimu hicho ambacho hata kwenye 30 bora ya Afrika hakimo!! Ila ukikilegezea kinakuadhibu!! Mkishinda hamna cha kujisifia!! Huwezi kujisifu kwa kumwangusha mlevi!! Mkitaka sifa mfungeni Al Ahly ya Misri!!

Nitakuwa wa kwanza kuwasifu, japo nyie mmetubania baada ya kukiangusha kigogo cha Afrika!! Ni nani asiyejua Wydad ni mmoja wa vigogo watatu wa Afrika? Al Ahly, Wydad, na Mamelod!!​
 
Timu ya Madeama haina chochote kiufundi, lakini hamasa yao ni kujaribu kuzidindia timu kubwa!! Nawalinganisha na Mashujaa wa kigoma!! Yanga kesho washindwe wenyewe tu!! Kiufundi hamna timu pale zaidi ya jihad!! Sitarajii mtu ajisifu kufunga kitimu hicho ambacho hata kwenye 30 bora ya afrika hakimo!! Ila ukikilegezea kinakuadhibu!! Mkishinda hamna cha kujisifia!! Huwezio kujisifu kwa kumwangusha mlevi!! Mkitaka sifa mfungeni Al Ahly ya Misri!! Nitakuwa wa kwanza kuwasifu, japo nyie mmetubania baada ya kukiangusha kigogo cha Afrika!! Ni nani asiyejua Wydad ni mmoja wa vigogo watatu wa Afrika? Al Ahly, Wydad, na Mamelod!!​
Wydad kafungwa na kila timu kwenye kundi lenu la kichovu
 
Timu ya Madeama haina chochote kiufundi, lakini hamasa yao ni kujaribu kuzidindia timu kubwa!! Nawalinganisha na Mashujaa wa kigoma!! Yanga kesho washindwe wenyewe tu!! Kiufundi hamna timu pale zaidi ya jihad!! Sitarajii mtu ajisifu kufunga kitimu hicho ambacho hata kwenye 30 bora ya afrika hakimo!! Ila ukikilegezea kinakuadhibu!! Mkishinda hamna cha kujisifia!! Huwezio kujisifu kwa kumwangusha mlevi!! Mkitaka sifa mfungeni Al Ahly ya Misri!! Nitakuwa wa kwanza kuwasifu, japo nyie mmetubania baada ya kukiangusha kigogo cha Afrika!! Ni nani asiyejua Wydad ni mmoja wa vigogo watatu wa Afrika? Al Ahly, Wydad, na Mamelod!!​
Sitarajii mtu ajisifu kufunga kitimu hicho ambacho hata kwenye 30 bora ya afrika hakimo!! Ila ukikilegezea kinakuadhibu!! Mkishinda hamna cha kujisifia!! Huwezio kujisifu kwa kumwangusha mlevi!! Mkitaka sifa mfungeni Al Ahly ya Misri!! Nitakuwa wa kwanza kuwasifu,[emoji419][emoji375]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uto hata akishinda hata 10 leo, mtihani wake mkubwa ni dhidi ya CR B, anatakiwa ashinde kwa goal 3 kwa sababu dalili zinaonyesha watakuja kufungana point, kinacho angaliwa ni H2H na sio goal difference, ukiwa na goal difference ya 5+ ila H2H CR B amemzidi Yanga nje, kuku wa shamba lazima ataonekana tu.
 
Yanga Anashinda Kwa Goli Nyingi Leo Na Kufufua Matumaini Upya
 
Uto hata akishinda hata 10 leo, mtihani wake mkubwa ni dhidi ya CR B, anatakiwa ashinde kwa goal 3 kwa sababu dalili zinaonyesha watakuja kufungana point, kinacho angaliwa ni H2H na sio goal difference, ukiwa na goal difference ya 5+ ila H2H CR B amemzidi Yanga nje, kuku wa shamba lazima ataonekana tu.
Ili Yanga Afuzu ni lazima Kwanza Al ahly amfunge CR B, tofauti na hapo n kazi bure maana kama CR B atashinda au kudroo mbele ya Al ahly mambo yatakua magumu sana...
 
Timu ya Madeama haina chochote kiufundi, lakini hamasa yao ni kujaribu kuzidindia timu kubwa!! Nawalinganisha na Mashujaa wa kigoma!! Yanga kesho washindwe wenyewe tu!! Kiufundi hamna timu pale zaidi ya jihad!! Sitarajii mtu ajisifu kufunga kitimu hicho ambacho hata kwenye 30 bora ya afrika hakimo!! Ila ukikilegezea kinakuadhibu!! Mkishinda hamna cha kujisifia!! Huwezio kujisifu kwa kumwangusha mlevi!! Mkitaka sifa mfungeni Al Ahly ya Misri!! Nitakuwa wa kwanza kuwasifu, japo nyie mmetubania baada ya kukiangusha kigogo cha Afrika!! Ni nani asiyejua Wydad ni mmoja wa vigogo watatu wa Afrika? Al Ahly, Wydad, na Mamelod!!​
Sikia hii nyumbu ya Serengeti, hiyo Medeama unayosema ni mashujaa timu yako ya Simba haiwezi kupata hata point moja mbele yake! Unapotaka kulinganisha vitu basi usiwe umevuta bangi kwanza ndio ujenge hoja yako vizuri.

Medeama ni bingwa wa Ghana wewe ni bingwa wa wapi? Umecheza na Wydad ambayo imefungwa mpaka na Jwaneng galaxi kwenye uwanja wao hapo unajisifu umekutana na timu imara ama umekutana na friends rangers ya Ilala?
 
Sikia hii nyumbu ya Serengeti, hiyo Medeama unayosema ni mashujaa timu yako ya Simba haiwezi kupata hata point moja mbele yake! Unapotaka kulinganisha vitu basi usiwe umevuta bangi kwanza ndio ujenge hoja yako vizuri.

Medeama ni bingwa wa Ghana wewe ni bingwa wa wapi? Umecheza na Wydad ambayo imefungwa mpaka na Jwaneng galaxi kwenye uwanja wao hapo unajisifu umekutana na timu imara ama umekutana na friends rangers ya Ilala?
Kati ya Wydad na Medeama ni ipi iliyo bora kwa ushahidi wa rekodi yake Afrika? Medeama haipo hata kwenye timu 30 bora hapa Afrika!! Walipokuwa wanapanga makundi, kati ya Wydad na Medeama ipi ilikuwa kwenye Pot 1? Samahani sina uhakika kama unajua nini maana ya kuwekwa kwenye Pot 1!! Medeama ina tajki lipi hapa Afrika? Inabidi mtu awe na kichwa kama cha mwendawazimu kuweza kuibeza Wydad!!!
 
Wydad kafungwa na kila timu kwenye kundi lenu la kichovu
Mkeka huu wa CAF wakati makundi yanapangwa!! Nitafutie hapo Medeama hata kwa tochi kama unaweza!! Jitahidi kufumba macho ili USIIONE hapo Wydad!!

Top 10 Best Teams in Africa 2023 CAF Clubs Ranking​

Top 𝟏𝟎 CAF clubs ranking before the start of the 2023/24 CAF Champions League and Confederation Cup group stage games:

1. Al Ahly
🇪🇬
— 83 points.
2. Wydad AC
🇲🇦
— 74 points
3. ES Tunis
🇹🇳
— 56 points
4. Mamelodi Sundowns
🇿🇦
— 51 points
5. Raja Club Athletic
🇲🇦
— 51 points
6. Zamalek SC
🇪🇬
— 39 points
7. RS Berkane
🇲🇦
— 37 points
8. CR Belouizdad
🇩🇿
— 36 points
9. Simba SC
🇹🇿
— 35 points
10. Pyramids FC
🇪🇬
— 35 points
 
Medeama haina kitu cha maana kiufundi kama timu!! Japo ina wachezaji baadhi wenye kipaji na wanaongozwa na hamasa, jihad kuliko ufundi wa saoka la kisasa!! Sitanii!!! Haina tofauti kubwa na timu ya mashujaa ya kigoma!! Wote tulishuhudia mashujaa walivyoianza ligi kwa hamasa kubwa ikitokea kupanda daraja!! Leo wako wapi?? Hao ndio Medeama!! Hawana chochote zaidi ya kukamia kuzisumbua timu kubwa!! Waliikomalia Al Ahly kwa zaidi ya dk 70!! Waliingia mafundi watatu na Medeama akafa goli tatu na hakujua kilichotokea!! Wangekuwa kwenye mashindano ya losers (kama "wananchi" msimu uliopita) huko wangefika mbali! Lakini kwenye michuano ya mabingwa, hakuna kitu hapo!!​
 
Kati ya Wydad na Medeama ni ipi iliyo bora kwa ushahidi wa rekodi yake Afrika? Medeama haipo hata kwenye timu 30 bora hapa Afrika!! Walipokuwa wanapanga makundi, kati ya Wydad na Medeama ipi ilikuwa kwenye Pot 1? Samahani sina uhakika kama unajua nini maana ya kuwekwa kwenye Pot 1!! Medeama ina tajki lipi hapa Afrika? Inabidi mtu awe na kichwa kama cha mwendawazimu kuweza kuibeza Wydad!!!
Hapo unatumia mzani wa miaka 5 badala ya kutumia current form ya Medeama na Wydad. Wydad wameporomoka kiwango na ubora ndio maana wametimua kocha
 
Timu ya Madeama haina chochote kiufundi, lakini hamasa yao ni kujaribu kuzidindia timu kubwa!! Nawalinganisha na Mashujaa wa Kigoma!! Yanga kesho washindwe wenyewe tu!! Kiufundi hamna timu pale zaidi ya jihad!!

Sitarajii mtu ajisifu kufunga kitimu hicho ambacho hata kwenye 30 bora ya Afrika hakimo!! Ila ukikilegezea kinakuadhibu!! Mkishinda hamna cha kujisifia!! Huwezi kujisifu kwa kumwangusha mlevi!! Mkitaka sifa mfungeni Al Ahly ya Misri!!

Nitakuwa wa kwanza kuwasifu, japo nyie mmetubania baada ya kukiangusha kigogo cha Afrika!! Ni nani asiyejua Wydad ni mmoja wa vigogo watatu wa Afrika? Al Ahly, Wydad, na Mamelod!!​
Huu uzi uliuandika usiku wa kuamkia leo! Yaani saa sita na dakika hamsini na tisa! Kwa hiyo urekebishe hapo ulipoandika kesho. Mechi ni leo bhana saa 10 jioni.
 
Kati ya Wydad na Medeama ni ipi iliyo bora kwa ushahidi wa rekodi yake Afrika? Medeama haipo hata kwenye timu 30 bora hapa Afrika!! Walipokuwa wanapanga makundi, kati ya Wydad na Medeama ipi ilikuwa kwenye Pot 1? Samahani sina uhakika kama unajua nini maana ya kuwekwa kwenye Pot 1!! Medeama ina tajki lipi hapa Afrika? Inabidi mtu awe na kichwa kama cha mwendawazimu kuweza kuibeza Wydad!!!
Unaangalia rank ama unaangalia current performance ya timu husika? Performance ya wydad kwa sasa ikoje? Rank inacheza mpira? Ingekuwa rank inacheza mpira wydad angekuwa na kiwango Bora sana but sio ivyo, uwezi kupima kiwango Cha timu kwa kuangalia rank ambayo inachukuliwa ya miaka mitano mfululizo nyuma!
 
Back
Top Bottom