Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
""Mungu akufanyie wepesi mkuu""
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hsbl wanakudai ngapi mkuu?? Mbona kama hela ndgo kabisa hiyiMimi nadaiwa na voda 600/=,halotel 2200/= na hesleb 5,000,000/= na pia ni jobless najitahidi sana kuepuka madeni lakn haya madg madg kuyakwepa ngumu
Mimi nadaiwa na voda 600/=,halotel 2200/= na hesleb 5,000,000/= na pia ni jobless najitahidi sana kuepuka madeni lakn haya madg madg kuyakwepa ngumu
Usiache job, kwani una fani gani mkuu?ukiacha kazi then what wakat sijajiandaa na sina plan B zaidi ya vyeti vyangu
Nilijua ni mimi tu aisee najutraaaaa na sitokaa nikarudia nimedharirika nimepoteza direction ya maisha hakuna kinachoenda kwe maisha nna sket mbli tshert mbil na sijui yatapita yaend wap ni kam yapo kuninyoosha aman naiskia kwenye redio nimechoka yule alojirusha ghorofan nataman ngekuwa mimi nipumzike kwa kwel but all in all Mungu mwema[emoji24][emoji24]ila hii hali sikia tuNawasalimu sana ndg zangu, ningependa kushea nanyi mawili matatu yanayohusiana na maisha na kwanini hupaswi kuukatisha uhai wako kisa madeni,
1. Mimi ni mwajiriwa niliyekata tamaa na maisha kutokana na changamoto za maisha nazopitia kwani hata kula yangu shida na kuvaa ndio usiseme, nina suruali tatu na shati tatu tu.
2. Mara kibao nimejitahidi kuwashirikisha ndg na jamaa zangu wa karibu kuhusiana na hali ya ugumu wa kimaisha naopitia lakini hakuna nachoambulia zaidi ya dharau kutoka kwao na kejeli.
3. Kuongeza deni juu ya deni sio dawa ya kujikomboa kutoka kwenye madeni bali ni kuongeza ugumu wa maisha
4. Nimelazwa ndani mara kibao kisa madeni ya watu na mtu asikudanganye huwezi jishughulisha vyema kwa lolote lile ukiwa na madeni.
5. Madeni ni mabaya sana yani tena sana, yanarudisha nyuma, yanadharirisha ila yote na yote usiutoe uhai wako wala usiuvue utu wako kisa madeni, maisha inabidi yaende tu mie madeni yangu nayamaliza 2027 .
6. Hata siku hii ya leo sijala kitu lakini Mungu ni mkubwa najua yeye ndio anayeijua kesho yangu .
Ukiona hayakuhusu kaa kimya Mungu asije akakupatia mtihani kama huu pia.
You never know how strong you are, until being STRONG is the only optionukiacha kazi then what wakat sijajiandaa na sina plan B zaidi ya vyeti vyangu
Mi nadawaiwa na tigo24000voda 7000voda ingine 8000 na deni lingine ml8 aisee ni jobless aisee hayakwepekii so sad najutra mambo not easy Mungu atusaidieMimi nadaiwa na voda 600/=,halotel 2200/= na hesleb 5,000,000/= na pia ni jobless najitahidi sana kuepuka madeni lakn haya madg madg kuyakwepa ngumu
Ni kwel mtu hawez elewa mpaka yakufike mi najutraaaaaaaa[emoji24][emoji24][emoji24]Hyo hali isikie tu kwa mwingine ikikufika ni hatari sana, kuna muda unakata tamaa hata yakuishi tena maana hauoni mbele wala nyuma.pole sana mungu akuvushe
So powaMi nadawaiwa na tigo24000voda 7000voda ingine 8000 na deni lingine ml8 aisee ni jobless aisee hayakwepekii so sad najutra mambo not easy Mungu atusaidie
Den haliui aisee linakosesha aman asikwambie mtu mwenye connectio na kaz yoyote ya ya usafi tu anipe nilipe madeni ya watu niishi kwa aman plzDeni haliuwi mtu. Musiba anadaiwa Bil 7 na aliyeanzisha Deni kafa. Mdaiwa anadunda tu mtaani. Ni kujifunza kuwa positive.
Najutraa mwenye connection yoyote hata niwe mlinzi kwenye nyumba yake anisaidie nilipe maden ya watu nahitaji aman tu ya moyo wangu nimechokaSo powa