Aisee nyamaza hii issue mpak ikufike ndo waweza elewa but [emoji24][emoji24]ni huzuniKujiua kwasababu ya madeni si kweli ,kutakuwa na kitu kingine kime trigger ,ukiona mtu anakopa maana yake ni hustler anapenda life zuri so haiwezekani hustler mpenda vizuri ajiue never.