kibobori mahoro
JF-Expert Member
- Dec 12, 2022
- 7,452
- 10,785
Kuna mtu aliuza nyumba yake ya pekee kwa akili ya madeni. Demi ni zuri ukipiga mahesabu ya kina.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nilibaki kichwa, hadi nikapata na pressure ya macho 😅😅😅 madeni acha tuMi ndo nanenepa zaidi eti
Basi mi sugu 😀😀😀😀nilibaki kichwa, hadi nikapata na pressure ya macho 😅😅😅 madeni acha tu
kweli umekuwa sugu 😅😅 ila wengine ilifikia level unadaiwa na watu na unadaiwa na taasisi .. acha tuBasi mi sugu 😀😀😀😀
Nikikaa mwenyewe ndo nalia ila nikiwa na watu walaa niko fresh kabisa sikondii wala nini
😀😀😀😀kuna muda unatamani hata mtu akosee kutuma hela iingie kwenye simu yako utatue mambo yakokweli umekuwa sugu 😅😅 ila wengine ilifikia level unadaiwa na watu na unadaiwa na taasisi .. acha tu
lazima uwaze hilo 😅😅😅 acha tu madeni sio kitu cha mchezo aisee😀😀😀😀kuna muda unatamani hata mtu akosee kutuma hela iingie kwenye simu yako utatue mambo yako
Yaan daah 😀😀😀ila Mungu ni mwema tutatoboa tulazima uwaze hilo 😅😅😅 acha tu madeni sio kitu cha mchezo aisee
Tunatoboa huku tunatoboka 😅😅😅Yaan daah 😀😀😀ila Mungu ni mwema tutatoboa tu
HivyohivyoTunatoboa huku tunatoboka 😅😅😅
Ok.Sijajiunga leo, tokea nimejiunga nina wiki tatu sasa
Huu ni mkopo wa bank?Nadaiwa pesa kiasi cha Tsh milioni 37 halafu zote nilipiga hasara sina hata mia mbovu zaidi ya kijimshahara
Unalazwaje ndani kisa madeni? Halafu tena mwajiriwa, uliza sisi tuliojiajiri na maisha yalivyotupiga tangu Mwendazake ashike nchi, Mwendazake aliua sekta binafsi kabisa, wahandisi na wasanifu majengo tuliojiajiri mambo yakaanza kwenda kombo, sasa madeni yametukaba tunapumua kwa mashine, wewe mwajiriwa huna madeni usihofu.....Nawasalimu sana ndg zangu, ningependa kushea nanyi mawili matatu yanayohusiana na maisha na kwanini hupaswi kuukatisha uhai wako kisa madeni,
1. Mimi ni mwajiriwa niliyekata tamaa na maisha kutokana na changamoto za maisha nazopitia kwani hata kula yangu shida na kuvaa ndio usiseme, nina suruali tatu na shati tatu tu.
2. Mara kibao nimejitahidi kuwashirikisha ndg na jamaa zangu wa karibu kuhusiana na hali ya ugumu wa kimaisha naopitia lakini hakuna nachoambulia zaidi ya dharau kutoka kwao na kejeli.
3. Kuongeza deni juu ya deni sio dawa ya kujikomboa kutoka kwenye madeni bali ni kuongeza ugumu wa maisha
4. Nimelazwa ndani mara kibao kisa madeni ya watu na mtu asikudanganye huwezi jishughulisha vyema kwa lolote lile ukiwa na madeni.
5. Madeni ni mabaya sana yani tena sana, yanarudisha nyuma, yanadharirisha ila yote na yote usiutoe uhai wako wala usiuvue utu wako kisa madeni, maisha inabidi yaende tu mie madeni yangu nayamaliza 2027 .
6. Hata siku hii ya leo sijala kitu lakini Mungu ni mkubwa najua yeye ndio anayeijua kesho yangu .
Ukiona hayakuhusu kaa kimya Mungu asije akakupatia mtihani kama huu pia.
Ulizimbotea sio? Mademu wanamaliza hela sana pia. Pole lakini hilo si deni, achana nalo anza upya...Nadaiwa pesa kiasi cha Tsh milioni 37 halafu zote nilipiga hasara sina hata mia mbovu zaidi ya kijimshahara
Siku ikitokea umekata tamaa ya kuishi usiende kwenye majengo marefu kujirusha, mnatupa kazi sana yakusoma taarifa, wee ukichoka maisha nenda kwenye mto wenye mamba ukapotee huko tusijue yaliyokukuta...Hiyo hali isikie tu kwa mwingine ikikufika ni hatari sana, kuna muda unakata tamaa hata ya kuishi tena maana hauoni mbele wala nyuma. Pole sana Mungu akuvushe