Aisee nyamaza hii issue mpak ikufike ndo waweza elewa but [emoji24][emoji24]ni huzuniKujiua kwasababu ya madeni si kweli ,kutakuwa na kitu kingine kime trigger ,ukiona mtu anakopa maana yake ni hustler anapenda life zuri so haiwezekani hustler mpenda vizuri ajiue never.
Aisee nyamaza hii issue mpak ikufike ndo waweza elewa but [emoji24][emoji24]ni huzuni
Kuna wakati akili inagoma inafulumia tu huon hat wapi ukapambanie ili utoboeMadeni siyo ya kuyaogopa, kwanza ukiwa na deni ndo utapata akili ya kutafuta pesa kila kitu kinachangamoto yake lakin wakati huohuo kinatengeneza nafasi nyingine ndani yako
Issue unakuta hata sehemu ya kupambana upate chochote kitu inabana aisee skia tuuUsijali mwaya wala usiogope
Kwanza mdaiwa hafungwi pambana ukipata hela walipe
Mungu akusaidie mkuu japo pia hizi huruma zinaweza zisikusaidie kitu zaidi ya kukupa emotional comfort. Ila deep down najua mkuu kuna maamuzi magumu unatakiwa kuchukua, usiishie tu kwenye kuhuzunikaNdio ni mwajiriwa kabisa ila ajuae ni Mungu kama ulivyosema
Wewe huna shida hadi unaandika kizuchuzuchu ""najutraaa""" tuachie masikhara yako binti,,,Lakini nje ya hayo na kama hutojali pia,,kaa ukijua ya kuwa Nakupenda Binti Mwaghe,,,using'ate mbao kabla ya kuzagamuana mimi na wewe,,Sawaa Mamii!!Nilijua ni mimi tu aisee najutraaaaa na sitokaa nikarudia nimedharirika nimepoteza direction ya maisha hakuna kinachoenda kwe maisha nna sket mbli tshert mbil na sijui yatapita yaend wap ni kam yapo kuninyoosha aman naiskia kwenye redio nimechoka yule alojirusha ghorofan nataman ngekuwa mimi nipumzike kwa kwel but all in all Mungu mwema[emoji24][emoji24]ila hii hali sikia tu
Hiyo hatari na 2027 sio hapa..haya mambo kama hayajawahi kukuta unaweza kumuona anayedaiwa ni mzembe au tapeli kumbe mambo ni kinyume kabisa.Nadaiwa pesa kiasi cha Tsh milioni 37 halafu zote nilipiga hasara sina hata mia mbovu zaidi ya kijimshahara
Mungu afungue njia tulipe aisee unaeza fia usingiziniMimi nadaiwa 7000000 na bnk crdb
Nimecheka kwa maumivu so nimeandika kizuchuzuchu aya bwana asanteWewe huna shida hadi unaandika kizuchuzuchu ""najutraaa""" tuachie masikhara yako binti,,,Lakini nje ya hayo na kama hutojali pia,,kaa ukijua ya kuwa Nakupenda Binti Mwaghe,,,using'ate mbao kabla ya kuzagamuana mimi na wewe,,Sawaa Mamii!!
Sio ishu hata serikali inadaiwa sembuse yeye
Tena anadunda tu mitaani bila ya wasiwasiMkuu usiogope madeni, Cyprian Msuiba anadaiwa billions of shillings na familia ya Membe lakini bado yupo tu mtaani