Madereva mnaotokea njia ya Kaskazini msiendeshe magari kizembe

Madereva mnaotokea njia ya Kaskazini msiendeshe magari kizembe

bizplan

JF-Expert Member
Joined
Jun 28, 2013
Posts
592
Reaction score
574
Nije katika mada, jana nimeshuhudia uendeshaji wa magari wa kizembe mno mno kwa madereva watokao njia ya Moshi.

Madereva hao wazembe karibu wanisababishie ajali tatu. Yaani mtu ana overtake kizembe sehemu isiyo stahili huku wakiwa wanashindana kukimbiza magari, seriously? Na wengine yawezekana sio wazoefu kabisa wa high way driving.

Inasikitisha sana sana watu wasivyojali maisha yao.

Ninaomba jeshi la polisi liongeze udhibiti wa mwendo na uendeshaji mbaya kwa hawa madereva. Mbali na kuhatarisha maisha yao, pia wanahatarisha ya wengine wasio na makosa.
 
Na ushamba nao unachangia jamani Kwa madereva wengi kukimbizana bila sababu za msingi alafu vigari vyenyewe IST
Dah usinikumbushe mkuu, yaani kaovertake wa kwanza, wa pili, watatu then wa nne IST yupo mbele yangu uso kwa uso hamna nafasi. Gari ikaanza kuyumba kupoteza uelekeo ikabidi nipeleke gari yangu pembeni ili apite, aiseee.
 
Dah usinikumbushe mkuu, yaani kaovertake wa kwanza, wa pili, watatu then wa nne IST yupo mbele yangu uso kwa uso hamna nafasi. Gari ikaanza kuyumba kupoteza uelekeo ikabidi nipeleke gari yangu pembeni ili apite, aiseee.
Pole. Hapo wanakimbilia kufunguka maduka Kimara
 
Back
Top Bottom