mgunga pori
JF-Expert Member
- Jul 23, 2016
- 4,092
- 4,896
Fwata kanuni za driving kwa kujihamami
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vanguard mwamba wa highway!Sasa mtu anaendesha hiyo kitu alafu unaona ana overtake VanGuard na Harrier at a go.! [emoji1787][emoji1787][emoji1787].
Au anatanua mbele ya VanGuard.[emoji1787]
😂😂Utakuja kung'oa meno bila sababu za msingi na Msubaru wako, kwahiyo ukipita sisi tunabaki hapo tunakusubiri urudi? Jamani😂Tukishapita na swaga ya spidi kali, baadaye tunarudi with all the confidence.....tunajua tunang'oa mbebez kiulaini.
Dodoma-Arusha Ile njia tamu na haina magari mengi. Eg. Dom-Kondoa imenyooka.madereva wa mjini hapa wakienda mikoani wanadhani bado wako hapa mjini walipozea kutanua kizembe zembe..nimeshuhudia pia njia ya dodoma arusha, morogoro iringa/mbeya na hii ya moshi dsm..
Ndo itabidi ukae kwa kutulia sasa, hata jogoo huwa anafanya mizunguko mingi lakini jike huwa anaelewa.😂😂Utakuja kung'oa meno bila sababu za msingi na Msubaru wako, kwahiyo ukipita sisi tunabaki hapo tunakusubiri urudi? Jamani😂
Hili la kujihami naona lilishawashinda madereva wengi wa hapa bongolala.......ni kukamua mafuta tu.Fwata kanuni za driving kwa kujihamami
Mkuu nilikuwa na option ya kuvuta vanguard au honda CR-V, nipe maujanja nikamate mnyama gani hapo.Vanguard mwamba wa highway!
Kama ndiyo mbinu mnayotumia hii not so sure if it works yaani inachekesha ujue😂 mtu anakimbiza gari ili baadaye arudi kupiga saundi🙌 mtafika mbinguni mkiwa hoi kwa uchovuNdo itabidi ukae kwa kutulia sasa, hata jogoo huwa anafanya mizunguko mingi lakini jike huwa anaelewa.
Kama una 35+m kamata Vanguard vinginevyo tafuta Non-Toyota SUV za kusukuma sikuMkuu nilikuwa na option ya kuvuta vanguard au honda CR-V, nipe maujanja nikamate mnyama gani hapo.
Potelea mbali tufike tumechoka, nyie wenyewe ndo mnatutengenezea mazingira magumu.....Kama ndiyo mbinu mnayotumia hii not so sure if it works yaani inachekesha ujue😂 mtu anakimbiza gari ili baadaye arudi kupiga saundi🙌 mtafika mbinguni mkiwa hoi kwa uchovu
Kwani kama umemuelewa mdada unashindwa kumfata tu kiustaarabu ukamwambia, hadi uanze na mikwara ya kukimbiza gari😂😂 kweli mmeumbwa mateso kuhangaikaPotelea mbali tufike tumechoka, nyie wenyewe ndo mnatutengenezea mazingira magumu.....
Poa sitakuja na sound za subaru, ila usije kuniangushia kitu kizito kichwani....😂😂Kwani kama umemuelewa mdada unashindwa kumfata tu kiustaarabu ukamwambia, hadi uanze na mikwara ya kukimbiza gari😂😂 kweli mmeumbwa mateso kuhangaika
Eeh jamani. Kumbe uliona eh? Yaan sielewi kwann hawa watu wanachelewesha hivi kukamilisha hilo daraja. Ile kichanja sidhan kaama alitoboa mtu paleNilipita Wami darajani pale nimekuta ajali mbaya ya malori
Walipona kweli? Maana nilipata mawazo mno.. halaf umerudi mwenyewe[emoji4]Nilikuta wanafaulisha mzigo. Sasa zile Lori mbili zimeangukaje pale?
hahahahaPole. Hapo wanakimbilia kufunguka maduka Kimara
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Aisee wanatafutiaje mademu na speed kali, kwani sisi tunawaona huko wanvokimbia? Shauri yao
mara 100 ISTMtu anafanya double overtake na carina T.I [emoji1787][emoji1787]
semi (mlimani) una overtake tu kikubwa cha kuzingatia hapo ni kuoiga chabo kama mbele ni kweupe au la? ukisha ona ni kweupe una piga OD yako una sepa... sababu kufuatana na malori milimani ni hatari mkuu kama wewe sio mtaalamu wa high way huwezi kuelewa hili malori some times huwa yana feli mzee ni bora ulifuate muda wa kushuka mlima na sio kupanda, lakini pia ukilifuata lori linalo panda mlima litakuboa tu, ndio maana ukiona hivyo una jiridhisha tu hakuna anaye shuka..? then una overtake lori na kupeta na safari yako.Au IST anaovateki semi mlimani