Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 73,773
- 102,126
Au IST anaovateki semi mlimani
Hahah...sasa kwenye mlima semi si linakuwa halina nguvu?
Au IST ndio inakuwa haina nguvu zaidi? Maana sijawahi endesha hizo gari...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Au IST anaovateki semi mlimani
Semi ni refu hiko kikwazo namba moja,pili mlimani na IST haina nguvu.Hahah...sasa kwenye mlima semi si linakuwa halina nguvu?
Au IST ndio inakuwa haina nguvu zaidi? Maana sijawahi endesha hizo gari...
Sasa mkuu mlimani una IST alafu ukae nyuma ya reli....sijui kama umefikilia kwa makini??Au IST anaovateki semi mlimani
Fikiria zaidi utanielewa.Sasa mkuu mlimani una IST alafu ukae nyuma ya reli....sijui kama umefikilia kwa makini??
Huyo amefanya kosa kwa kuwa ameovertake eneo ambalo lina blindspot mbele na hakika hata maeneo hayo mistari haikumruhusu kufanya hivyo.Kwa kweli nchi ina madereva halisi wachache sana. Siku moja natoka Mbeya nakuja Dar. Nilivyomaliza Kitonga kuna kona. Kwa vile huwa najua kuna madereva wasojali maisha yao na wengine, kwenye kona huwa napunguza mwendo na mara nyingi napiga honi hata kama sioni kitu. Basi ile namaliza kona tu, nianza njia iliyonyooka, naona jamaa ana ki-IST chake ana-overtake roli semi-trailer. Tayari yuko katikati ya semi-trailer, hawezi kurudi upande wake kushoto. Kwa vile ana overtake mwendo wake ni spidi kali. Kwa busara zangu, nikaparamia nje ya barabara akapita. Yaani na mimi ningekuwa spidi kwa kujiamini eti niko upande wangu, ile ingekuwa ajali mbaya sana.
Huyo amefanya kosa kwa kuwa ameovertake eneo ambalo lina blindspot mbele na hakika hata maeneo hayo mistari haikumruhusu kufanya hivyo.
Heshimu vibao hasa hasa unapokuwa unakimbizana na gari ingine na wewe upo nyuma acha ile mistari ikuongoze kwa usahihi nakwambia utafika safari yako salama.Fwata kanuni za driving kwa kujihamami
Naskia na wewe mkuu huwa unakimbia sana 😀