Madereva mnaotokea njia ya Kaskazini msiendeshe magari kizembe

Madereva mnaotokea njia ya Kaskazini msiendeshe magari kizembe

Hata wewe makini brod darling. Daah ila upo vizuri sana kwenye saikolojia[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23]kwa nini umesema hivyo sis darling!
 
Hana kitu mbele ya crown, gari inayosumbua crown ni v8 tu
We jamaa acha kufananisha Sedan na SUV safarini.

ironmachine4x4vzla_1634212445987.jpg


sossy_magari_1627589549713.jpg
 
Kwenye carina nikibonyeza button ya PWR naweza ku-overtake hata kweye mlima, hii kitu ina nguvu hatari......
Yeah kikubwa makadirio ya anayekuja mbele yako awe mbali mzee maana anaye shuka anakuwa [emoji91][emoji91][emoji91]
 
unakuta mto post ndo safari yake ya kwanza kwenda hiyo njia ya kaskazini so akiona vyuma vinasaga lani anahisi ka vinamtumbukiza mtoni. Mtoa post bora uwe unapanda usafiri wa uma ka unaroho nyepesi watu wa hiyo njia miaka yote wanafanya hivyo na si wazembe ka unavyofikiria ila we ni mwoga ingekuwa ni wazembe ka usemavyo ajali zingekuwa zakutosha.

Pia usizungumzie makosa ya hao watatu kama ndo wote hufanya hivyo maana unaonekana unachuki bayana dhidi ya madereva wa kaskazini ama watu wa kaskazini.
 
Dah usinikumbushe mkuu, yaani kaovertake wa kwanza, wa pili, watatu then wa nne IST yupo mbele yangu uso kwa uso hamna nafasi. Gari ikaanza kuyumba kupoteza uelekeo ikabidi nipeleke gari yangu pembeni ili apite, aiseee.
ndo maana ukafundishwa udereva wa kujihami
 
Nije katika mada, jana nimeshuhudia uendeshaji wa magari wa kizembe mno mno kwa madereva watokao njia ya Moshi.

Madereva hao wazembe karibu wanisababishie ajali tatu. Yaani mtu ana overtake kizembe sehemu isiyo stahili huku wakiwa wanashindana kukimbiza magari, seriously? Na wengine yawezekana sio wazoefu kabisa wa high way driving.

Inasikitisha sana sana watu wasivyojali maisha yao.

Ninaomba jeshi la polisi liongeze udhibiti wa mwendo na uendeshaji mbaya kwa hawa madereva. Mbali na kuhatarisha maisha yao, pia wanahatarisha ya wengine wasio na makosa.
Waje huku route ya Mbeya, ndo watajua kweli wana magari au viberenge.
 
unakuta mto post ndo safari yake ya kwanza kwenda hiyo njia ya kaskazini so akiona vyuma vinasaga lani anahisi ka vinamtumbukiza mtoni. Mtoa post bora uwe unapanda usafiri wa uma ka unaroho nyepesi watu wa hiyo njia miaka yote wanafanya hivyo na si wazembe ka unavyofikiria ila we ni mwoga ingekuwa ni wazembe ka usemavyo ajali zingekuwa zakutosha.

Pia usizungumzie makosa ya hao watatu kama ndo wote hufanya hivyo maana unaonekana unachuki bayana dhidi ya madereva wa kaskazini ama watu wa kaskazini.
Mkuu, hii ni njia ninayopita mara nyingi kila mwaka. Bahati nzuri nimeoa huko na nina makazi huko pia. Ni kana kwamba watu walikuwa wamefungiwa na sasa wameachiwa...

Hapana, it's not acceptable aiseee...uzembe gani huu.

NB. Acheni na ulevi kwa madereva wakati wa safari.
 
Nije katika mada, jana nimeshuhudia uendeshaji wa magari wa kizembe mno mno kwa madereva watokao njia ya Moshi.

Madereva hao wazembe karibu wanisababishie ajali tatu. Yaani mtu ana overtake kizembe sehemu isiyo stahili huku wakiwa wanashindana kukimbiza magari, seriously? Na wengine yawezekana sio wazoefu kabisa wa high way driving.

Inasikitisha sana sana watu wasivyojali maisha yao.

Ninaomba jeshi la polisi liongeze udhibiti wa mwendo na uendeshaji mbaya kwa hawa madereva. Mbali na kuhatarisha maisha yao, pia wanahatarisha ya wengine wasio na makosa.
Ni wa Kaskazini tu wanaendesha hovyo au mimi ndo sijakuelewa?
 
Ni hatari sana , tunacheka kama mazu4i lakini ni mpaka pale utakapompoteza ndugu yako ndio utaelewa ...

Tarehe 24/12 nilipokea simu mdau wangu kapata ajali akitokea ofcn huko TNG na pikipiki yake ya ofcn

aligongwa na hao hao vijana wazembe walikuwa wakielekea arusha

Alipata majeraha na kushonwa lakini kaponea chupu chupu,

Lakini hilo gari baada ya kumgonga na kujaribu kumkwepa likaenda kuwagonga wamama waliokuwa maeneo ya biashara hapo pembezoni mwa barabara... mmoja alifariki pale pale mwingine Hospital..

Madervea kuweni makini!

Siku zote me naamnia katika Defensive Driving
 
Ni hatari sana , tunacheka kama mazu4i lakini ni mpaka pale utakapompoteza ndugu yako ndio utaelewa ...

Tarehe 24/12 nilipokea simu mdau wangu kapata ajali akitokea ofcn huko TNG na pikipiki yake ya ofcn

aligongwa na hao hao vijana wazembe walikuwa wakielekea arusha

Alipata majeraha na kushonwa lakini kaponea chupu chupu,

Lakini hilo gari baada ya kumgonga na kujaribu kumkwepa likaenda kuwagonga wamama waliokuwa maeneo ya biashara hapo pembezoni mwa barabara... mmoja alifariki pale pale mwingine Hospital..

Madervea kuweni makini!

Siku zote me naamnia katika Defensive Driving
So sad duh...
 
Mkuu hawa ndio niliowaona. Wa barabara nyingine sijawataja japo wadau wengine wamesema hata barabara nyingine pia. Tofauti ni kuwa nyie shemeji zangu kila mwaka mnaenda huko na mnaenda kwa wingi. Baadhi yenu mnaendesha magari kwa uzembe wa hali ya juu. Na hili ndio tunalikemea. Sio tu mnasababisha hatari kwa maisha yenu lakini hata kwa wasio husika.

Madereva wote wa namna hii mjirekebishe.
 
Dah usinikumbushe mkuu, yaani kaovertake wa kwanza, wa pili, watatu then wa nne IST yupo mbele yangu uso kwa uso hamna nafasi. Gari ikaanza kuyumba kupoteza uelekeo ikabidi nipeleke gari yangu pembeni ili apite, aiseee.

Kipindi cha kutoa sadaka kwa makafara yao...
 
Back
Top Bottom