Skillionare
JF-Expert Member
- Nov 6, 2011
- 1,190
- 526
Barabara zote waendeshaji hovyo tu nimetoka mbeya kuja dar kuna ajali nyingi baranarani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaha 🤣😆🤣😂Pole. Hapo wanakimbilia kufunguka maduka Kimara
Hahahaha 🤣😆😆 hii gari inachelewa kuchanganya Acha kabisaa kama umezoea kuendesha crown usithubutu ukafananisha na hii utakufa hata morogoro hautafikaaaMtu anafanya double overtake na carina T.I [emoji1787][emoji1787]
Dah usinikumbushe mkuu, yaani kaovertake wa kwanza, wa pili, watatu then wa nne IST yupo mbele yangu uso kwa uso hamna nafasi. Gari ikaanza kuyumba kupoteza uelekeo ikabidi nipeleke gari yangu pembeni ili apite, aiseee.
Mkuu naona unaisagia carina kunguni....🤣, tuweke wapi sura zetu sisi weye carina.Mtu anafanya double overtake na carina T.I [emoji1787][emoji1787]
Naona kama alikuwa amesimama mwingine akamgeuza kigingi ndio wakatoka wote nje ya Barabara.Nilikuta wanafaulisha mzigo. Sasa zile Lori mbili zimeangukaje pale?
Sioni shida if gari haina miss...na amefanya timing vizuriMtu anafanya double overtake na carina T.I [emoji1787][emoji1787]
Vipi RAV 4....Hahahaha 🤣😆😆 hii gari inachelewa kuchanganya Acha kabisaa kama umezoea kuendesha crown usithubutu ukafananisha na hii utakufa hata morogoro hautafikaaa
Kipande chote kile toka Mikumi, Iyovi, Kitonga mpaka juu ya mlima pale ni sehemu hatarishi sana. Huwa nakuwa na adabu sana nikipita hilo eneo, kuna siku nilitaka kugongwa na bus la Majinja hapo kwenye zile kona za Iyovi. Me niko kibati bus ghafla likataka kuforce kuovertake semi mbili nilipiga brake na mahoni ya hatari ikabidi lirudi ndiyo tukapishana.Kwa kweli nchi ina madereva halisi wachache sana. Siku moja natoka Mbeya nakuja Dar. Nilivyomaliza Kitonga kuna kona. Kwa vile huwa najua kuna madereva wasojali maisha yao na wengine, kwenye kona huwa napunguza mwendo na mara nyingi napiga honi hata kama sioni kitu. Basi ile namaliza kona tu, nianza njia iliyonyooka, naona jamaa ana ki-IST chake ana-overtake roli semi-trailer. Tayari yuko katikati ya semi-trailer, hawezi kurudi upande wake kushoto. Kwa vile ana overtake mwendo wake ni spidi kali. Kwa busara zangu, nikaparamia nje ya barabara akapita. Yaani na mimi ningekuwa spidi kwa kujiamini eti niko upande wangu, ile ingekuwa ajali mbaya sana.
Duh pole sana mkuuKwa kweli nchi ina madereva halisi wachache sana. Siku moja natoka Mbeya nakuja Dar. Nilivyomaliza Kitonga kuna kona. Kwa vile huwa najua kuna madereva wasojali maisha yao na wengine, kwenye kona huwa napunguza mwendo na mara nyingi napiga honi hata kama sioni kitu. Basi ile namaliza kona tu, nianza njia iliyonyooka, naona jamaa ana ki-IST chake ana-overtake roli semi-trailer. Tayari yuko katikati ya semi-trailer, hawezi kurudi upande wake kushoto. Kwa vile ana overtake mwendo wake ni spidi kali. Kwa busara zangu, nikaparamia nje ya barabara akapita. Yaani na mimi ningekuwa spidi kwa kujiamini eti niko upande wangu, ile ingekuwa ajali mbaya sana.
Sasa mtu anaendesha hiyo kitu alafu unaona ana overtake VanGuard na Harrier at a go.! [emoji1787][emoji1787][emoji1787].Hahahaha [emoji1787][emoji38][emoji38] hii gari inachelewa kuchanganya Acha kabisaa kama umezoea kuendesha crown usithubutu ukafananisha na hii utakufa hata morogoro hautafikaaa
Aisee wanatafutiaje mademu na speed kali, kwani sisi tunawaona huko wanvokimbia? Shauri yaoWachaga hao mkuu, nasikia ni swaga za kutafutia mademu....
Tar 23 Desemba nilikuwa njiani, Dsm -Arsh.Mkuu naona unaisagia carina kunguni....[emoji1787], tuweke wapi sura zetu sisi weye carina.
Wewe ulikua na mnyama ganiTar 23 Desemba nilikuwa njiani, Dsm -Arsh.
Kuna vijamaa vilikuwa na carina & impreza!
Mtu anaovertake, anaanzia mbaali.. hadi mwisho anashindwa kuovertake. [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kesho kaa standby, napita hiyo mitaa yenu na mnyama subaru kwa speed ya kimbunga.......lazima nikupate tu mbebez....Aisee wanatafutiaje mademu na speed kali, kwani sisi tunawaona huko wanvokimbia? Shauri yao
Yaani nnachofikiria nini nini mkuu, uko na speed ya kimbunga na umepita , yes si ushapita huyo mbebe utampataje na upo speed? Afu waendesha Subaru siwaaminigi kabisa😂😂Kesho kaa standby, napita hiyo mitaa yenu na mnyama subaru kwa speed ya kimbunga.......lazima nikupate tu mbebez....
madereva wa mjini hapa wakienda mikoani wanadhani bado wako hapa mjini walipozea kutanua kizembe zembe..nimeshuhudia pia njia ya dodoma arusha, morogoro iringa/mbeya na hii ya moshi dsm..Tabia mbaya kuliko zote ni ile wa mbele akiovateki wa nyuma wanafuata kama nyumbu!
Tukishapita na swaga ya spidi kali, baadaye tunarudi with all the confidence.....tunajua tunang'oa mbebez kiulaini.Yaani nnachofikiria nini nini mkuu, uko na speed ya kimbunga na umepita , yes si ushapita huyo mbebe utampataje na upo speed? Afu waendesha Subaru siwaaminigi kabisa😂😂