Yaani dahWatu walosafiri msimu wa sikukuu kwenda vijijini na mijini kula sikukuu wakikupigia simu kipindi hiki usipokeee
nakwambia usipokee utakuja nishukuru
Nami niliiona bado ya moto...Nilipita Wami darajani pale nimekuta ajali mbaya ya malori
Dah usinikumbushe mkuu, yaani kaovertake wa kwanza, wa pili, watatu then wa nne IST yupo mbele yangu uso kwa uso hamna nafasi. Gari ikaanza kuyumba kupoteza uelekeo ikabidi nipeleke gari yangu pembeni ili apite, aiseee.Na ushamba nao unachangia jamani Kwa madereva wengi kukimbizana bila sababu za msingi alafu vigari vyenyewe IST
Pole. Hapo wanakimbilia kufunguka maduka KimaraDah usinikumbushe mkuu, yaani kaovertake wa kwanza, wa pili, watatu then wa nne IST yupo mbele yangu uso kwa uso hamna nafasi. Gari ikaanza kuyumba kupoteza uelekeo ikabidi nipeleke gari yangu pembeni ili apite, aiseee.
Safari inaweza kuishia njiani hata maduka wasifungue.Pole. Hapo wanakimbilia kufunguka maduka Kimara
Wengi hawajielew. Akili imejaa tope na kitimotoSafari inaweza kuishia njiani hata maduka wasifungue.
Mungu saidia yale malori hayakuingia mtoni.Nilipita Wami darajani pale nimekuta ajali mbaya ya malori
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Pole. Hapo wanakimbilia kufunguka maduka Kimara
Tabia mbaya kuliko zote ni ile wa mbele akiovateki wa nyuma wanafuata kama nyumbu!Dah usinikumbushe mkuu, yaani kaovertake wa kwanza, wa pili, watatu then wa nne IST yupo mbele yangu uso kwa uso hamna nafasi. Gari ikaanza kuyumba kupoteza uelekeo ikabidi nipeleke gari yangu pembeni ili apite, aiseee.
Au IST anaovateki semi mlimaniMtu anafanya double overtake na carina T.I [emoji1787][emoji1787]
Ndicho kilichotokea mkuu. Yaani ni upumbavu wa hali ya juu.Tabia mbaya kuliko zote ni ile wa mbele akiovateki wa nyuma wanafuata kama nyumbu!
Nilikuta wanafaulisha mzigo. Sasa zile Lori mbili zimeangukaje pale?Mungu saidia yale malori hayakuingia mtoni.
Nilipita jana pia
Watu wamejizira hakyananiMtu anafanya double overtake na carina T.I [emoji1787][emoji1787]
Mambo ya Ajabu mzee. Unaangalia tuu hivi unawaombea Dua kwa Mungu [emoji2]Watu wamejizira hakyanani