Madereva wa mikoani, tabia na utaratibu wa kupaki mabasi sehemu ya chakula chenye bei juu mnaumiza abiria wenye kipato kidogo

Hiyo ndo ilikuwa safari mkuu, Siyo siku hizi, viongozi wana tamaa, kila kitu wamegeuza kuwa biashara, bado biashara yakuuzwa watu,
 
β€’ Jaribu kuwa seriously basi, hao waliowahi kufika akina nani sasa?
β€’ Kuna safari nyingine siyo lazima mwambie mtu baki, na je kama unaojuana nao hawajawahi enda hiyo trip! Utamuuliza Nani, au tuwe tunapiga ramli kabla ya safari?
Kama safari ni ya siri lazima uweke pesa ya akiba, alafu mkuu kuna mikate ya bukubuku na juice za jero unaweza nunua, hakuna ulazima wa kuhangaika na mavyakula ya gharama wakati mfuko auruhusu.
 
Kama safari ni ya siri lazima uweke pesa ya akiba, alafu mkuu kuna mikate ya bukubuku na juice za jero unaweza nunua, hakuna ulazima wa kuhangaika na mavyakula ya gharama wakati mfuko auruhusu.
alafu mkuu kuna mikate ya bukubuku na juice za jero unaweza nunua,
Kwa hiyo mkuu, unashauri tuishi kwa style hii,?

wakati mambo yakiwekwa sawa, Abiria watakula chakula kizuri kabisa na kwa bei rafiki kabisa.
 
Ahsante sana. Wewe kweli mkongwe unazijua vyema chocho na ulaji wa njiani. Nangurukulu mpaka kesho nikifika pale ni mwendo wa Samaki tu, sinunui vitu vingine.

King Cross amezingua sana kutonunua basi mpya, mpaka leo angekuwa king of road - Ira to Dom
 
Kwa hiyo mkuu, unashauri tuishi kwa style hii,?

wakati mambo yakiwekwa sawa, Abiria watakula chakula kizuri kabisa na kwa bei rafiki kabisa.
Jamaa anashauri twende na mode ya kuendana na kilichopo, hataki tuwe na mfumo rasmi wa mabasi kupaki stendi na watu kuruhusiwa kula popote wakupandapo. ABC yeye kajitengenezea mpaka Hotel, CATE Morogoro
 
Jamaa anashauri twende na mode ya kuendana na kilichopo, hataki tuwe na mfumo rasmi wa mabasi kupaki stendi na watu kuruhusiwa kula popote wakupandapo. ABC yeye kajitengenezea mpaka Hotel, CATE Morogoro
β€’ Mimi sijasema basi lisimame popote,

β€’ Basi lisimame sehemu yenye unafuu wa mahitaji muhimu,
 
Kwa hiyo mkuu, unashauri tuishi kwa style hii,?

wakati mambo yakiwekwa sawa, Abiria watakula chakula kizuri kabisa na kwa bei rafiki kabisa.
Mkuu mwenye hotel amewekeza pesa kutengeneza miundo mbinu ya hotel, amelipa kod, analipa wafanyakazi, amenunua vifaa vya kwa ajili ya biashara(jiko, sahani, friji, mfumo wa ges kwa ajili ya kupika na vyombo vingine. Kumbuka vitu vyote hivi huuzwa kwa bei ya juu) na amenunua malighafi kwa ajili ya kutengeneza chakula, dereva na konda wanataka kula bure, mwenye basi anataka nae alipwe, wafanyakazi wamemuibia, kuna misimu haina hela kipindi cha biashara kutokana na watu kutosafiri sana.
Nb: kumbuka mtaji wa biashara ni mkopo kutoka benk.
Hivi mkuu unazani atumie njia gani ili aweze kumudu gharama zote za uwendeshaji wa hotel na yeye pia apate faida.
FANYA UJARIBU KUFIKIRI WEWE NDIO MWENYE HOTEL
 
Jamaa anashauri twende na mode ya kuendana na kilichopo, hataki tuwe na mfumo rasmi wa mabasi kupaki stendi na watu kuruhusiwa kula popote wakupandapo. ABC yeye kajitengenezea mpaka Hotel, CATE Morogoro
Hii tabia ni mbovu sana siku hizi na watu wanakariri.
Mabus ya Mbeya mnashushwa hapo ilula aljazeera dk 10.
Kijipande cha kuku na viepe kisahani 8000 vimishkaki vya ajabu kimoja buku,bufee ndani mule mivyakula imeoza sahani 5000 na utakoma njiani tumbo.
Mi huwa nangoja Iringa pale chini,samaki wa mtera kachomwa nanunua sinia zima na mahindi ya kuchoma ya kutosha na maji kubwa natafuna njia nzima
 
πŸ˜„πŸ˜„, ukiaza kuumwa tumbo, kupona mpaka upelekwe muhimbili,
Unarudishwa kule ulikotoka mkuu ila unaenda kulazwaπŸ˜…πŸ˜…πŸ˜….
Tulikua tunaenda Chamwino Dom ndo huyo dere katupitisha pale.
 
Kimsingi maeneo ya Huduma za Chakula wanakopaki zile bei sio halali ni wizi mamlaka husika fanyieni kazi hili jambo.
 
Natumia matakro yako
Mkuu,matusi ya nini?hapa tunajadili mambo yakusafiri kikawaida tu.
Mjibu mwenzio kwa staha.
Ukianza matusi humu kuna watu wanatukana mpaka we utajiblock mwenyewe.
Hizi ni story tu za utamaduni huu kushusha watu mahali wakale na kwenda choo dk 10.
We unaona inawezekana?
Sasa hapo jadili hoja,mambo ya matako we unayo pia
 
Kimsingi maeneo ya Huduma za Chakula wanakopaki zile bei sio halali ni wizi mamlaka husika fanyieni kazi hili jambo.
Kabisa mkuu, njaa inauma unalazimika kununua, na huwa wanafanya makusudi, wanawatembeza route ndefu, ili akipaki bas sehemu anayotaka, anajua kabisa lazima mtanunua tu chakula.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…