Sijui jina kuna stendi ndogo ya kizushi kosta nyingi za misiba zinaenda pale pia ndani kuna baa. Pamekaa kisela ila hizo mbuzi zinazochomwa hapo ni shida mkiingia tu mnagombaniwa maama wachomaji ni wengi....Korogwe sehemu gani mkuu, Au michungwani!
Ni michungwani mkuu, Pale nyama ni uhakika.Sijui jina kuna stendi ndogo ya kizushi kosta nyingi za misiba zinaenda pale pia ndani kuna baa. Pamekaa kisela ila hizo mbuzi zinazochomwa hapo ni shida mkiingia tu mnagombaniwa maama wachomaji ni wengi....
Nipe mwongozo ni wapi km umepajua kwa hayo maelezo
Sana huwa nazikubali sana nyama za pale kwanza unajichagulia sio mahoteli anayosemea mleta mada unapewa vinyango kubwa kubwa zishapoa chipsi mafuta ili mradi vuruguNi michungwani mkuu, Pale nyama ni uhakika.
• Yeah, nikiwa nasafiri kwenda Tanga, pale lazima nipitie, nipate Nyama Choma.Sana huwa nazikubali sana nyama za pale kwanza unajichagulia sio mahoteli anayosemea mleta mada unapewa vinyango kubwa kubwa zishapoa chipsi mafuta ili mradi vurugu
Njia nyingi huwa kuna machimbo hujutii pesa yako shida ni kupata huo uhuru wa kufika hapo• Yeah, nikiwa nasafiri kwenda Tanga, pale lazima nipitie, nipate Nyama Choma.
• Hotel Zingine za wenye mabasi ni changamoto sana.
Yeah zamani ilikuwa hivyo basi linapaki sehemu yoyote ile ili watu wale wanacho kitaka, ila Madereva kwa sasa hawezi kukupeleka sehem ya aina hiyo, kwa sababu wanaangalia maslai zaidi Kwao.Njia nyingi huwa kuna machimbo hujutii pesa yako shida ni kupata huo uhuru wa kufika hapo
😀😀 hapan nilitaka tu ufahamiane na Malaika wa misukosukoUnataka kunifanya nini malaika wa misukosuko wewe? 😀 hapana si mimi huyo mkuu
Hahaaa usiniletee misukosuko kwenye mwaka mpya mimi😀😀😀 hapan nilitaka tu ufahamiane na Malaika wa misukosuko
Same to Dar - songeaDar -Mbeya wanapaki kwenye hotel chafu na mbaya na chakula kibovu
Ruvuma - Dar ni uongo mtupuuu..mwanza--Dar
• mbeya--Dar
• kigoma--Dar
•Arusha-- Dar
• Ruvuma--Dar
Wana paki kwenye hotel nzuri na chakula cha bei nzuri
nashangaaa kuwa watu wanacheka, huyo maMa kama na muona hivi sio poa kabisaSerikali yetu - mamlaka husika tunaomba mtusaidie sisi wanyonge na hii tabia ya madereva inayozidi kushamiri kila kukicha, hasa kwa wale ndugu zetu wanaosafiri mikoa ya mbali wanapata tabu sana kuhusu masuala ya chakula.
• Dar - - Mwanza
• Dar - - Mbeya
• Dar - - Kigoma
• Dar -- Arusha
• Dar -- Ruvuma
Kuna tabia na utaratibu wa mabasi waliojiwekea bila kuhofia abiria wao, sio rafiki kabisa, wanapaki mabasi yao sehemu ya chakula bei zao ziko juu sana bila kujali abiria mifukoni mwao/kipato walichonacho. Karibia vituo vyote wanavyopaki hawa madereva unakuta Chakula cha bei ya chini ni kuazia elfu Tsh7000/- hadi elfu Tsh 8000/- na kuendelea, na ukiangalia hicho chakula hakina hadhi ya kuuzwa bei kwa hiyo, halafu chakula kinakuwa ni kidogo ikiwa mtakuwa watu wawili hamuwezi kushiba.
Jana nilikuwa natoka Dar kuja Mbeya tulipofika sehemu ya chakula, niliongozana na mama mmoja mwenye watoto wa 3 alivyoambiwa chakula bei ya mwisho ni elfu Tsh7000 alikuwa mnyonge sana, na kiasi alichokuwa nacho taslimu alikuwa na elfu Tsh5000 tu, ikambidi anunue soda na biscuit, roho iliniuma sana.
1. Madereva mnadhani kila mtu anapesa ya kununulia hicho chakula cha bei ya juu?
2. Au sehemu mnazopaki kwa ajili ya watu kula ni za viongozi wa ngazi za juu huko serikalini
Ombi langu kwa Serikali tunaomba mtoe tamko/sheria kwa mabasi yote, yawe yanasimama kwenye mji ulio na huduma kamilifu ili abiria wote wapate huduma stahiki
Wacha weeeee. Kwamba wale ndo wasafi? Kama dereva na makonda(wasaidizi/wahudumu kwenye basi) wanakula bure,watashindwa kusimama? Maana vituo wanavyosimama ukishuka tu imekula kwako. Kwenye elfu 7 au 8, kila buku ikiwa kufidia chakula cha dereva na watu wake,unadhani waizaji wana hasara? Sema mngeomba basi waruhusiwe na wapishi wa bei ndogo maeneo hayo. Nani atalishughulikia?! We nunua biskuti zako na soda kubwa na keki,jikaze. Kwa wenye watoto ndo mtihaniTafuta tuu hiyo afu nane, watu wameshalamika sana, ila ukumbuke cheap is expensive... Utauziwa afu tatu kilomita mbili nyingi tumbo linaanza kuvuruga
Mimi mtu wa baraka kabisa nipo karbu na Muumba 😀Hahaaa usiniletee misukosuko kwenye mwaka mpya mimi😀
Safari ya ndege hata haina raha,ni huo unyama wa madereva tu na tamaa zao.Siyo kila mtu anauwezo wa kupaanda ndege,