Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Inaumiza sana mkuu, hata hicho chakula cha 8000 bado ni hovyo tu, kula nyama ya punda, paja la kunguru ni kawaida.Tafuta tuu hiyo afu nane, watu wameshalamika sana, ila ukumbuke cheap is expensive... Utauziwa afu tatu kilomita mbili nyingi tumbo linaanza kuvuruga
Kumbe huwa unabeba ugali kutoka huko Buza ukiwa unasafiri? Ahsante kwa maelekezo ntaanza kubeba pia🤔Kwa nini hubebi Ugali toka huko kwenu Mbagala? Tafuta ma-hotpot ya kutosha.
Nenda kwa nje, sio ndani hoteliniVituo vingine huwa hamna mkuu, hivyo vitu.
Mkuu, we unahisi haiwezekani kubeba vitumbua kwenye Rambo?Mkuu ndio maana kuna mikate na soda/juice za kopo. Kama ukigundua madreva wanapaki basi sehemu za gharama ya juu dawa ni kusafiri na mikate, viazi au mabumunda uwe unakula njiani taratibu bila shuruti mkuu.
Sijui wanatuchukuliaje wasafiri sababu hatuna option nyingine🤔 ila kuna siku nilienda Moshi na Kilimajaro Express sijui ni hotel yao ile atleast wanajitahidi chips safii nikashangaa maana nishazoea Mbeya kwetu mwendo mdundo chips zimepoaa 😀(sijui ni ulafi ila lazima nile njiani)Kabisa mkuu, Hili suala liangaliwe upya,
Ukifanya uchunguzi utagundua pia kwamba Madereva wenyewe hawali kwenye hotel hizo huwa wanalipwa hela tu , wao wanakula sehemu maalum , wana wapishi maalum humo njiani huwaletea msosi kwenye maeneo wanayoahidianaNa bado Bei ipo juu, huu utaratibu siyo kabisa,
Wapande ndege dkk 45 to 60 wapo kwao hizo expenses za misosi wataziepukaSerikali yetu - mamlaka husika tunaomba mtusaidie sisi wanyonge na hii tabia ya madereva inayozidi kushamiri kila kukicha, hasa kwa wale ndugu zetu wanaosafiri mikoa ya mbali wanapata tabu sana kuhusu masuala ya chakula.
• Dar - - mwanza
• Dar - - mbeya
• Dar - - kigoma
• Dar -- Arusha
• Dar -- Ruvuma
Kuna tabia na utaratibu wa mabasi walio jiwekea bila kuhofia abiria wao, sio rafiki kabisa, wanapaki mabasi yao sehemu ya chakula bei zao ziko juu sana bila kujali abiria mifukoni mwao/kipato walicho nacho. Karibia vituo vyote wanavyo paki hawa madereva unakuta Chakula cha bei ya chini ni kuazia elfu Tsh7000/- hadi elfu Tsh8000/- na kuendelea, na ukiangalia hicho chakula hakina hadhi ya kuuzwa bei kwa hiyo, alafu chakula kinakuwa ni kidogo ikiwa mtakua watu wawili hamuwezi kushiba.
Jana nilikuwa natoka Dar kuja Mbeya tulipofika sehemu ya chakula, niliongozana na mama mmoja mwenye watoto wa 3 alivyo ambiwa chakula bei ya mwisho ni elfu Tsh7000 alikuwa mnyonge sana, na kiasi alichokuwa nacho taslimu alikuwa na elfu Tsh5000 tu, ikambidi anunue soda na biscuit, roho iliniuma sana.
1. Madereva mnadhani kila mtu anapesa ya kununulia hicho chakula cha bei ya juu?
2. Au sehemu mnazopaki kwa ajili ya watu kula ni za viongozi wa ngazi za juu huko serikalin?
Ombi langu kwa Serikali tunaomba mtoe tamko/sheria kwa mabasi yote, yawe yanasimama kwenye mji ulio na huduma kamilifu ili abiria wote wapate huduma stahiki
That is my plan in 2024Wapande ndege dkk 45 to 60 wapo kwao hizo expenses za misosi wataziepuka
Jali afya yako unapoondoka nyumbani una hakikisha una vyakula vya kukaanga kama kuku au nyama na chapati zako kabisa na chupa za maji
Hapo utaishinda njaa na safari
Kula hovyo tatizo hao wanauza mpaka vilivyolala na ukianza kulalamika tumbo unalaumu tena
Kiukweli hoteli za vyakula barabarani huwa bei kubwa sio Bongo tu ni kila mahali duniani
Ukienda hata Ulaya ni hivyo hivyo tena utashangaa wanavyopandisha bei mpaka unanunua kwa shingo upande
Kwa bongo huwa najipanga toka nyumbani, sio kwa sababu ya bei hapana bali naogopa kuanza kumsumbua konda
Jali afya yako unapoondoka nyumbani una hakikisha una vyakula vya kukaanga kama kuku au nyama na chapati zako kabisa na chupa za maji. Hapo utaishinda njaa na safari
Na mbwa waliogongwa na malori 😄 🤣Inaumiza sana mkuu, hata hicho chakula cha 8000 bado ni hovyo tu, kula nyama ya punda, paja la kunguru ni kawaida.
😄 Siyo ulafi mkuu, safari ya masaa kumi na mbili kwenye basi, njaa lazima uipate tu.Sijui wanatuchukuliaje wasafiri sababu hatuna option nyingine🤔 ila kuna siku nilienda Moshi na Kilimajaro Express sijui ni hotel yao ile atleast wanajitahidi chips safii nikashangaa maana nishazoea Mbeya kwetu mwendo mdundo chips zimepoaa 😀(sijui ni ulafi ila lazima nile njiani)