Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Jali afya yako unapoondoka nyumbani una hakikisha una vyakula vya kukaanga kama kuku au nyama na chapati zako kabisa na chupa za maji
Hapo utaishinda njaa na safari
Kula hovyo tatizo hao wanauza mpaka vilivyolala na ukianza kulalamika tumbo unalaumu tena
Kiukweli hoteli za vyakula barabarani huwa bei kubwa sio Bongo tu ni kila mahali duniani
Ukienda hata Ulaya ni hivyo hivyo tena utashangaa wanavyopandisha bei mpaka unanunua kwa shingo upande
Kwa bongo huwa najipanga toka nyumbani, sio kwa sababu ya bei hapana bali naogopa kuanza kumsumbua konda
Hapo utaishinda njaa na safari
Kula hovyo tatizo hao wanauza mpaka vilivyolala na ukianza kulalamika tumbo unalaumu tena
Kiukweli hoteli za vyakula barabarani huwa bei kubwa sio Bongo tu ni kila mahali duniani
Ukienda hata Ulaya ni hivyo hivyo tena utashangaa wanavyopandisha bei mpaka unanunua kwa shingo upande
Kwa bongo huwa najipanga toka nyumbani, sio kwa sababu ya bei hapana bali naogopa kuanza kumsumbua konda