lee Vladimir cleef
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 9,571
- 35,475
- Thread starter
-
- #21
Na tunasubiri tuone kama Mahakama Bado itaendelea kupokea maagizo toka kwa wanasiasa hata baada ya kuondoka kwa Jiwe.Ni wazi kuwa mahakama imeletwa "the benefit of doubt."
Kwamba harakati zote zimekuwa "scaled down" kiasi hiki, kuwa ni bure tu?
Kimya kingi kina mshindo mkuu!
Usimfananishe sabaya na YULE...Nakumbuka wakati Sabaya anakamatwa ule upande ulifurahia sana na kupongeza polisi na serikali kwa kusema polisi wanafanya kazi nzuri. Aikupita muda akakamatwa Yule na polisi wale wale na serikali hile hile tukasikia polisi wanaonea Yule na serikali haifai.
Leo Mahakama imemchapa mvua aliyekuwa mkuu wa wilaya ya Hai miaka 30 tayari tumesikia wakisema mahakama imetenda haki na wakiongeza kusema kunawengine, na mimi nasema mahakama imetenda haki sasa ngoja tusubili kwa Yule mahakama itakapotenda haki itakuwaje. Watalalamika kuanzia Ulaya, Marekani kanisani na misikitini wakidai haki haijatendeka. Yaani mkuki kwa nguruwe ila kwao uchungu. Nimelipenda sana hili SILIzii nalifwatilia kwa ukaribu.
Do na nyie magufuli anahusikaje hapo mkuu .kesi imefunguliwa kipindi cha mama yetu mpendwa lakini kila saa magufuli khaa..
Kuna baadhi ya watu ni wajinga na wapumbavu sana, mtu anatesa,anakata viungo watu qnabaka na anafilisi watu mali zao,. Mwisho wa yote anapata adhabu anayostahili bado limtu linamtetea na linataka mtu mwingine afungwe bila hatia kwa kua jambazi kafungwa
Kuonyesha kuwa unashida na ni wale wale angalia jina la mwnyekiti wako umeliandika kwa herufi kubwa lakini jina la muhukumiwa herufi ndogo, sasa kama unaonyesha ulivyo mbaguzi sijui Ufipa mlilishwa nini na sisi tuonjeMwenendo wa kesi unaonesha wazi Mbowe kabambikwa kesi,mwenendo wa kesi ya sabaya uliashiria hiki kilichotokea!
Hakimu/Jaji hutumia ushahidi huo huo ambao sisi pia tunasikia!So relax,hakuna jipya!
Haki ikitndeka lazma ionekane, nchi nzima, be it CCM or CHADEMA , mabalozi ambao wanaogopa UGAIDI kuliko UKOMA wanapinga kuwa MBOWE SI GAIDI wewe ni nani uko huko NAMANYERE vijiji useme MBOWE GAIDI?Nakumbuka wakati Sabaya anakamatwa ule upande ulifurahia sana na kupongeza polisi na serikali kwa kusema polisi wanafanya kazi nzuri. Aikupita muda akakamatwa Yule na polisi wale wale na serikali hile hile tukasikia polisi wanaonea Yule na serikali haifai.
Leo Mahakama imemchapa mvua aliyekuwa mkuu wa wilaya ya Hai miaka 30 tayari tumesikia wakisema mahakama imetenda haki na wakiongeza kusema kunawengine, na mimi nasema mahakama imetenda haki sasa ngoja tusubili kwa Yule mahakama itakapotenda haki itakuwaje. Watalalamika kuanzia Ulaya, Marekani kanisani na misikitini wakidai haki haijatendeka. Yaani mkuki kwa nguruwe ila kwao uchungu. Nimelipenda sana hili SILIzii nalifwatilia kwa ukaribu.
Tofautisha kesi za kubambikia na kesi halisi.Nakumbuka wakati Sabaya anakamatwa ule upande ulifurahia sana na kupongeza polisi na serikali kwa kusema polisi wanafanya kazi nzuri. Aikupita muda akakamatwa Yule na polisi wale wale na serikali hile hile tukasikia polisi wanaonea Yule na serikali haifai.
Leo Mahakama imemchapa mvua aliyekuwa mkuu wa wilaya ya Hai miaka 30 tayari tumesikia wakisema mahakama imetenda haki na wakiongeza kusema kunawengine, na mimi nasema mahakama imetenda haki sasa ngoja tusubili kwa Yule mahakama itakapotenda haki itakuwaje. Watalalamika kuanzia Ulaya, Marekani kanisani na misikitini wakidai haki haijatendeka. Yaani mkuki kwa nguruwe ila kwao uchungu. Nimelipenda sana hili SILIzii nalifwatilia kwa ukaribu.
Hao uliowataja wote hawana cheo chochote!Naona manazi wanaleta ushabiki maandazi na kutishia nyau wakidhani hatujui makosa ya Sabaya, na mashitaka ya Mbowe. Kesi ya Mbowe ni matokeo ya siasa chafu za Magufuli na genge lake la kina Sabaya, Makonda, vyombo vya dola nk. Yaani hiyo mahakama itoe hukumu kwa Mbowe kwa kutaka kubalance au vinginevyo, tunajua kabisa Sabaya alikuwa ni kiongozi muovu aliyepewa kiburi cha madaraka na Magufuli, na Mbowe ni muhanga wa hizo siasa chafu. Ni juu ya mahakama kutoa hukumu kwa haki. Tena mahakama inatakiwa iwaonye viongozi walevi wa madaraka wa kubambikia watu wema kesi.
Kuna baadhi ya watu ni wajinga na wapumbavu sana, mtu anatesa,anakata viungo watu qnabaka na anafilisi watu mali zao,. Mwisho wa yote anapata adhabu anayostahili bado limtu linamtetea na linataka mtu mwingine afungwe bila hatia kwa kua jambazi kafungwa
Umemaliza Mheshimiwa Jaji.Haki ikitndeka lazma ionekane, nchi nzima, be it CCM or CHADEMA , mabalozi ambao wanaogopa UGAIDI kuliko UKOMA wanapinga kuwa MBOWE SI GAIDI wewe ni nani uko huko NAMANYERE vijiji useme MBOWE GAIDI?
unawashwa
Muda unakuja,atajibu tu.Mbona makonda naye alitumia madaraka yake hovyo na ameshiriki kuteka na kuua,kuvamia vituo vya redio na television,mbona kaachwa tu?