Madhara ya kesi ya Mbowe na tofauti na kesi ya Sabaya

Madhara ya kesi ya Mbowe na tofauti na kesi ya Sabaya

Wewe mwenyewe mbumbumbu hujui chochote unawezaje kujua Kiswahili fasaha wakati una upungufu wa Akili ni kigezo gani umekutumia kujua kama unajua Kiswahili? Acha ujinga wako jikite kwenye mada acha kuvuta Bangi kisha kuja kusumbua watu mitandaoni
Naona umekariri unarudia rudia maneno yale yale tu,inaonekana umeolewa na mvuta bangi ndio maana umekariri,

Huna la maana unalochangia hapa zaidi ya pumba kiazi wewe.
 
Kama huiamini Mahakama mbona umekubali hukumu ya Sabaya? Kichwa chako kimejaa minyoo hujui hata unachokiandika,

Piga kimya ili usiendelee kuonekana kituko hapa boya wewe.
Nilikuwa nakutegea kupima uwezo wako wa kufikiri sasa nimebaini uwezo wako wa kufikiri umefika mwisho wewe ni kilaza mkubwa, kipimo cha ufala umbumbumbu zuzu hapa JF huwa ni kuitusi kuisengenya ID ya JF ambayo haitokani na ubatizo msikitini wala kanisani ndiyo maana ID yako ni ya kishamba kidwanzi lakini hakuna wa kuhangaika nayo watu wapo busy na mada husika, kwa taarifa yako mahakama ipo huru lakini Polisiccm huwazuia watu kwenda kusikiliza kesi za mbowe lakini Polisiccm hao hao hawaruhusu watu kwenda kwenye kesi ya sabaya, ushahidi kesi ya mbowe ni wa kutengeneza ushahidi wa kweli ni vigumu kupenya huko kwani mliowatesa walinzi wa mbowe hamtaki wajue siri zenu, acha kuvuta Bangi kisha kuja kusumbua watu mitandaoni jenga hoja
 
Naona umekariri unarudia rudia maneno yale yale tu,inaonekana umeolewa na mvuta bangi ndio maana umekariri,

Huna la maana unalochangia hapa zaidi ya pumba kiazi wewe.
Wewe ni mbumbumbu juha unawezaje kujua pumba? si mpaka uwe na Akili kwanza? Akili zenyewe huna acha usumbufu wa kishamba jenga hoja
 
Hao uliowataja wote hawana cheo chochote!

Vipi sasa mamako mbona kamkamata Mbowe?

Si utawala wa kidhalimu haupo?
Kesi ilianzia kwa magufuli wakati Sabaya kuwatumia akina mahita kwenda kuwabambikia kesi walinzi wa mbowe
 
Ukweli kesi ya Mbowe Kila anaeifuatilia anajua kabisa kuwa kesi hii ni ya kutunga,na ukweli pia kesi ya Sabaya kila anaeifuatilia anajua kabisa kuwa kesi yake ni ya ukweli.

CCM wote wanajua kabisa kesi ya Mbowe ni ya kumkomoa,na CCM wote wanajua kabisa Kesi ya Sabaya ni kweli alfanya makosa yale.
Lakini Wana CCM hawawezi kufurahia Sabaya Kufungwa na hawawezi kufurahia Mbowe kushinda Kesi.

Kesi ya Mbowe ikifanyiwa masihara inaenda kuiaibisha serikali na kumpaisha Mbowe kimataifa.

Kesi ya Mbowe kama akifungwa itaenda kumfanya Mbowe kuwa mmoja ya wafungwa maarufu duniani kama Nelson Mandela,Mahatma Ghadi,Martin Luther King,Ken Saro Wiwa na Kenneth Kaunda.

Ifahamike kwamba makosa ya Mbowe sio halisia.

Kesi hii imeanza kivuta hisia za watu wengi ndani na nje ya nchi.

Watu hawafurahi Sabaya Kufungwa kwa sababu hawampendi,hapana,bali ni kwa sababu kafanya uhalifu kweli na watu wanajua.
Kama angekua hajafanya makosa kweli wangesikitika tu

Watu hawasikitiki Mbowe kuwekwa mahabusu au kushitakiwa kwa sababu wanampenda,hapana,kama angekua amefanya makosa kweli wangefurahi tu kushitakiwa na wangefurahi akihukumiwa kifungo.

Hao Mabalozi kuja mahakamani Kesi ya Mbowe sio wajinga,wala sio kwamba wanampenda sana Mbowe,hapana,bali wanakuja kushuhudia jinsi Mbowe anavyoonewa au jinsi gani maamuzi yatakavyofanyika.

Jamani ee!
Maamuzi ya Kesi ya Mbowe yatakua na athari kwa nchi yetu,
Sisi Tanzania Kila siku tunasemo wetu kuwa tunajenga nchi,au tunajenga Uchumi.

Tunaweza kuona ni masihara lakini kimasihara tu tunaweza kuona nchi yetu inatengwa kidogokidogo.

Kama tunabisha tukumbuke Zimbabwe iko wapi?

Kuwapoteza wadau wa maendeleo kama Denmark sio jambo Dogo.
kutengwa hakuji mara moja,kunakuaja kidogokidogo na kukufanyia kitendo cha Kujenga Uchumi kuwe kigumu.

Ushahidi wa ujambazi wa Sabaya hauna mashaka,
Lakini ushahidi wa Kesi ya Mbowe ina mashaka Sana.

Na kama Mahakama itafuata haki kwenye Kesi ya Mbowe Basi wale mashahidi na serikali wanastahili kufunguliwa mashitaka kwa kutoa ushahidi wa uongo na wale askari waliowatesha makomandoo wetu wanastahili kushitakiwa.

Tukisema Dunia mzima inafuatilia Kesi ya Mbowe tunamaanisha hivi.

Hapa Tanzania tuna mabalozi wa nchi nyingi Sana,mabalozi ni wawakilishi wa nchi zao,wapo mabalozi wanakuja mahakamani kufuatila Kesi hii na wale wasiokuja wanaifuatilia kwa vianzio vyoa wanavyovijua.

Kuna vyombo vya habari vya kidunia kama CMN, BBC,DW,VOA,Aljazeera ntc,Hawa wote hawana habari na Sabaya,bali Wana habari na Mbowe.
Sababu juu ni Sabaya kafanya makosa kweli na Mbowe hajafanya makosa kweli.

Samia anahujumiwa.
Mbowe sio Gaidi.
Huku Chato imekataliwa kinamna kuwa mkoa, huku Moshi nayo ikikataliwa kuwa jiji.

Huku kijana Sabaya ni mojawapo ya alama za mzee wa Chato na CCM akiwa DC kule Hai, huku Mboye akiwa alama ya CDM kule Hai na hata Moshi pia.

Huku kada wa CCM akikabiliwa na kesi ya kweli na hatimaye kupatikana na hatia na kuanza kifungo chake kolikoloni, huku Mwenyekiti Taifa wq CDM akikabiliwa na kesi iliyogubikwa na utata mkubwa ya ugaidi wa TZS 600,000/-

Serikali na mahakama zisiingie kwenye fungate la uchafu na hata kutaka kupora haki ya Mbowe ili wapate kujifurahisha. Bado tuna kumbukumbu chanya juu ya ujasiri wa kada muaminifu kwa chama chake Hamza aliyeamua kujichukulia hatua mkononi mwake mwenyewe ili kupinga dhuluma na uonevu.

Sikio lilisikialo haliwezi kukatwa katika kichwa cha mtu.
 
Kupaa kimataifa ukiwa unamyea ndoo hakusaidii chochote kwa maslahi ya chadema.
Kutaka kutishia mbowe asihukumiwe kinyume na matarajio ya wana chadema kwa kutumia uhusiano wa kimataifa hakusaidii chochore kubadili ukweli.

Hii ni nchi huru na inapaswa kufuata sheria kulimgana na katiba yetu.
Kamwe kama taifa hatuwezi kuogopa kuchukua hatua kulinda usalama wa nchi, kwa kuogopa wale mabalozi wa EU waliojazwa ujinga na Lissu.

Sheria ni msumeno, kama unaweza kukata upande wa Sabaya iweje ishindwe kukataa kukata upande wa Mbowe?

Mnahangaika kuongelea mambo yaliyoko mahakamani kinyume na sheria na katiba.
Sheria ipi msumeno kwa mbowe? Kesi ipi? Kesi za kuwabambikia watu Sheria haiwezi kuwa msumeno, kuongelea mambo ya mahakama ni kinyume na Sheria namba ngapi kwenye katiba, Mbona vyombo vya habari huongelea kesi mbalimbali ? Kuwa Nchi huru siyo kigezo cha kuminya haki za binadamu na siyo kigezo cha kukandamiza demokrasia kuidhoofisha chadema, mabalozi utawaogopa kwa kuwa hakuna usalama imevunjwa Nchi ipo salama hakuna ugaidi wowote zaidi ya huo ugaidi wako hewa, ukweli utaujua siku ya hukumu endapo Hakimu atamuogopa mungu akatenda haki hakika mbowe ataachiwa huru
 
Nakumbuka wakati Sabaya anakamatwa ule upande ulifurahia sana na kupongeza polisi na serikali kwa kusema polisi wanafanya kazi nzuri. Aikupita muda akakamatwa Yule na polisi wale wale na serikali hile hile tukasikia polisi wanaonea Yule na serikali haifai.

Leo Mahakama imemchapa mvua aliyekuwa mkuu wa wilaya ya Hai miaka 30 tayari tumesikia wakisema mahakama imetenda haki na wakiongeza kusema kunawengine, na mimi nasema mahakama imetenda haki sasa ngoja tusubili kwa Yule mahakama itakapotenda haki itakuwaje. Watalalamika kuanzia Ulaya, Marekani kanisani na misikitini wakidai haki haijatendeka. Yaani mkuki kwa nguruwe ila kwao uchungu. Nimelipenda sana hili SILIzii nalifwatilia kwa ukaribu.
Ukweli umeandika ujinga mitupu,
Kwa hiyo ilibidi Mbowe akamatwe I'll kubalance maamuzi ya Mahakama?

Kama Mbowe angetenda kosa kweli nani angelalamika?
Kuna Ugaidi gani hapo wewe kilaza?

Kwa wenye Akili huko CCM hawatamani Mbowe afungwe kwa huu ujinga wen mnaoita Ugaidi.

Samia aliwahi kukiri kuwa ni kweli watu wanabambikiwa Kesi,na hii ya Mbowe ni mfano tu.
Nakuhakikishia Samia kaingizwa Mkenge,hakuna Ugaidi hapo.

Nakuambia hivi kama mnataka kuisikia maamuzi ya Mahakama yanapingwa na Dunia mzima Mfungeni Mbowe.
 
Wabambikiaji wa kesi huko CCM na Polisiccm inabidi wakubali kuwa kesi ya mbowe wamechemsha sana na endapo kutakuwa na maamuzi batili yataliaibisha Taifa
 
Wewe ni mbumbumbu juha unawezaje kujua pumba? si mpaka uwe na Akili kwanza? Akili zenyewe huna acha usumbufu wa kishamba jenga hoja
Kuelewa jambo kunahitaji uimara wa akili yako,sasa wewe huna akili ya uelewa,kaa pembeni huna ujualo,huna hoja uliyoijenga hapa zaidi za vicomment vya kishabiki tu.
 
Wabambikiaji wa kesi huko CCM na Polisiccm inabidi wakubali kuwa kesi ya mbowe wamechemsha sana na endapo kutakuwa na maamuzi batili yataliaibisha Taifa
Hizi ndio unazoziita hoja unazozijenga hapa? Wewe ni kituko tu.
 
Nilikuwa nakutegea kupima uwezo wako wa kufikiri sasa nimebaini uwezo wako wa kufikiri umefika mwisho wewe ni kilaza mkubwa, kipimo cha ufala umbumbumbu zuzu hapa JF huwa ni kuitusi kuisengenya ID ya JF ambayo haitokani na ubatizo msikitini wala kanisani ndiyo maana ID yako ni ya kishamba kidwanzi lakini hakuna wa kuhangaika nayo watu wapo busy na mada husika, kwa taarifa yako mahakama ipo huru lakini Polisiccm huwazuia watu kwenda kusikiliza kesi za mbowe lakini Polisiccm hao hao hawaruhusu watu kwenda kwenye kesi ya sabaya, ushahidi kesi ya mbowe ni wa kutengeneza ushahidi wa kweli ni vigumu kupenya huko kwani mliowatesa walinzi wa mbowe hamtaki wajue siri zenu, acha kuvuta Bangi kisha kuja kusumbua watu mitandaoni jenga hoja
Comment ndefu ila hakuna la maana uliloandika,piga kimya ili kuficha upumbavu wako minyoo wewe.
 
Usimfananishe sabaya na YULE...
Ngoja nikae kimya maana umeandika pumba nyingi
Huyu jamaa ni kilaza kwelikweli.
Mawazo kama yake huyo jamaa uliemquote ndio Mawazo ya Wana CCM vilaza wengi,
Kwamba kama Sabaya akafungwa Basi na Mbowe afungwe maana kama Mahakama imetenda haki kumfunga Sabaya Basi Wasilalamike Mahakama ikimfunga Mbowe.
Mijitu ya CCM hovyo Sana.
Unaweza kukuta ilimshika Mbowe ili kubalance tu.

Mimi sitetei uhalifu,kama Mbowe kafanya uhalifu anastahili adhabu,lakini je Mbowe kafanya uhalifu wa Ugaidi?
Hivi tunajua kweli Ugaidi?

Mbowe aanze kulipua nchi mzima kwa kutumia shilingi laki 6
Peke yake bila hata kuwashirikisha viongozi wengine wa chadema,kweli?
Yeye na Makomandoo wanna walioachishwa kazi kweli?
Wale Makomandoo walioko bado kazini wangekua wanamtazama tu mbowe na kikundi chake wakiwa na mapanga ya kukata miti iliyoinamia Barabarani na viberiti kwenda kulipua vituo vya mafuta kweli?
Aisee.!
Kweli Mbowe hajui Nguvu ya JWTZ,hajui performance yake Congo,Mkiru,Sudani,Liberia,Mozambique,etc.
Jokes.
 
Ndugu kesi hii siyo mpango wa samia huyu kuingizwa mkenge bili kujua,kesi hii muasisi wake ni magu ndiyo washtakiwa wa awali ambao samia anadai walishahukumiwa walikamatwa yangu uongozi wa magu mwaka jana
Nakubaliana na wewe mia kwa mia.

Ni genge la Mwendazake ndio limeitengeneza Kesi hii,hapa namtetea Samia .
Sijua malengo ya genge hilo ni nini.
 
Hizi ndio unazoziita hoja unazozijenga hapa? Wewe ni kituko tu.
Wewe ndiyo Kituko kioja kabsa kwa kujidai eti una Akili wakati kichwani mwako umejaza kamasi ndoo mbili na Moshi wa Bangi , aliyekuambia kuwa una Akili atakuwa mzima kweli ebu acha kushinda vijiweni kuwanunulia Bangi wenzako wakikusifia una Akili umejiona unajua kumbe hujui chochote
 
Huku Chato imekataliwa kinamna kuwa mkoa, huku Moshi nayo ikikataliwa kuwa jiji.

Huku kijana Sabaya ni mojawapo ya alama za mzee wa Chato na CCM akiwa DC kule Hai, huku Mboye akiwa alama ya CDM kule Hai na hata Moshi pia.

Huku kada wa CCM akikabiliwa na kesi ya kweli na hatimaye kupatikana na hatia na kuanza kifungo chake kolikoloni, huku Mwenyekiti Taifa wq CDM akikabiliwa na kesi iliyogubikwa na utata mkubwa ya ugaidi wa TZS 600,000/-

Serikali na mahakama zisiingie kwenye fungate la uchafu na hata kutaka kupora haki ya Mbowe ili wapate kujifurahisha. Bado tuna kumbukumbu chanya juu ya ujasiri wa kada muaminifu kwa chama chake Hamza aliyeamua kujichukulia hatua mkononi mwake mwenyewe ili kupinga dhuluma na uonevu.

Sikio lilisikialo haliwezi kukatwa katika kichwa cha mtu.
Kweli kabisa Mkuu,tukifikia hatua za kumfunga mtu tu kwa sababu Mbona mwenzetu kafungwa Basi na wa kwao lazima afungwe tujiandae kwa Hasira za Mwenyezi Mungu.
 
Sheria ipi msumeno kwa mbowe? Kesi ipi? Kesi za kuwabambikia watu Sheria haiwezi kuwa msumeno, kuongelea mambo ya mahakama ni kinyume na Sheria namba ngapi kwenye katiba, Mbona vyombo vya habari huongelea kesi mbalimbali ? Kuwa Nchi huru siyo kigezo cha kuminya haki za binadamu na siyo kigezo cha kukandamiza demokrasia kuidhoofisha chadema, mabalozi utawaogopa kwa kuwa hakuna usalama imevunjwa Nchi ipo salama hakuna ugaidi wowote zaidi ya huo ugaidi wako hewa, ukweli utaujua siku ya hukumu endapo Hakimu atamuogopa mungu akatenda haki hakika mbowe ataachiwa huru
Ni sahihi kabisa usemayo Mkuu Minyoo.
Naona watu imewauma Sana kuona Sabaya kafungwa sasa wanatamani Kuisikia Mbowe kafungwa.
Je kwa kosa lipi la Ugaidi wa Mbowe?
Mbowe peke yake alitaka kufanya Ugaidi hapo hapo hakuna Lissu,Mnyika, kigaila wala kiongozi yoyote wa CDM.
Aisee!
 
Kweli kabisa Mkuu,tukifikia hatua za kumfunga mtu tu kwa sababu Mbona mwenzetu kafungwa Basi na wa kwao lazima afungwe tujiandae kwa Hasira za Mwenyezi Mungu.
Mbowe hatafungwa kwani ushahidi kwa mbowe ni wa uongo mkubwa ni ushahidi feki wa kutengeneza, mungu atamlinda na damu za akina Moses Lilenje lt Urio zitawalaani wote walioshiriki vitendo haramu vya uonevu mkubwa dhidi ya mbowe na chadema kwa ujumla
 
Back
Top Bottom