lee Vladimir cleef
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 9,571
- 35,475
- Thread starter
-
- #81
Kweli kabisa,Lengo la marehemu magufuli na Sabaya ilikuwa ni kuua upinzani kwa kuanza kuidhoofisha chadema kwanza
Watengeneza kesi ya mbowe wanajuuta kutengeneza vitendo haramu vya kishetani na hata Sabaya anajuuta kuwatuma akina mahita kwenda kuwakamata walinzi wa mbowe kuwapiga kuwatesa chini ya pingu saa 24 kila siku, hiyo laana kubwa ni mojawapo ya laana iliyomtafuna Sabaya sasa, mungu yupo atasimama na haki kutendeka mbowe ataachiwa huruNi sahihi kabisa usemayo Mkuu Minyoo.
Naona watu imewauma Sana kuona Sabaya kafungwa sasa wanatamani Kuisikia Mbowe kafungwa.
Je kwa kosa lipi la Ugaidi wa Mbowe?
Mbowe peke yake alitaka kufanya Ugaidi hapo hapo hakuna Lissu,Mnyika, kigaila wala kiongozi yoyote wa CDM.
Aisee!
Laana zimewandama magufuli yupo huko alipo na sasa laana imemdaka Sabaya yupo gerezani anajutia ushetani wakeKweli kabisa,
Walijaribu kumdhoofisha Mbowe kiuchumi ili CDM ikose kiongozi makini lakini wakashindwa.
Wakaona njia iliyobaki ni kumpa makesi mengi tu yasiuo na kichwa wala miguu.
Da Aisee!ikumbukwe pia chanzo mojawapo ya kesi ya mbowe ni huyo huyo Sabaya kwani ndiye alipanga njama zote za kumhujumu mbowe jimboni kwake kwa maelekezo ya magufuli,
Ni Sabaya aliwatuma Polisiccm kwenda kuwakamata walinzi wa mbowe ambao walikuwa ni wageni moshi baada ya kuwa amedukua mawasiliano ya mbowe akajua mbowe anapata Ulinzi mzuri huenda ikawa vigumu kumvamia Usiku na mda wowote bora awavuruge mapema , ndipo Sabaya akawatuma mahita Polisiccm kwenda kuwakamata kuwapiga kuwafunga pingu saa 24 kila siku kuwalazimisha wakubali ugaidi hewa ugaidi feki ambao haukuwepo kabsa, wakaona haitoshi wakadukua mawasiliano ya mbowe kujua nani alimpa walinzi wasitaafu wa jwtz, wakabaini kuna ndugu yake mbowe yupo jeshini anaitwa LT Urio na Asikari mwingine Moses Lejenje ndiyo walimsaidia kumpa walinzi ambao ni Asikari wasitaafu, wakatuma maombi jwtz kuwaleta Lt Urio na Lijenje moses kwa tuhuma feki za ugaidi kumsaidia mbowe kupata watu wa kufanya ugaidi, wakawatesa sana kwa kushirikiana na baadhi wawakilishi wa jwtz waliotumwa kuwaleta kwenye mikono ya Polisiccm, ukafanyika unyama mateso kuwalazimisha weseme ugaidi hewa hadi kupelekea umauti wa Moses Lilenje huku Lt Urio akiwa hajulikani alipo mpaka sasa, wamewatesa watu kwa Tuhuma feki ya kutengeneza kienyeji kwa njia haramu za kishetani ni Aibu kwa utawala uliopita na sasa
Sasa hao hawana vyeo na utawala wa kidhalimu haupo vipi sasa mbona bado yupo lupango?Kesi ilianzia kwa magufuli wakati Sabaya kuwatumia akina mahita kwenda kuwabambikia kesi walinzi wa mbowe
Lile dhalimu wako halipo!Mama sio dhalimu bali anaiga tembo kunya. Hata utembee uchi bado lile dhalimu hutaweza kulitakatisha fullstop.
Ndugu sio kila maamuzi ya Mahakama ni halo,mengine hua ni uonevu tu.Iachiwe Mahakama ndio itatoa uamuzi,kelele za JF haziwezi kubadili kitu chochote.
Hujui chochote ndugu.Kupaa kimataifa ukiwa unamyea ndoo hakusaidii chochote kwa maslahi ya chadema.
Kutaka kutishia mbowe asihukumiwe kinyume na matarajio ya wana chadema kwa kutumia uhusiano wa kimataifa hakusaidii chochore kubadili ukweli.
Hii ni nchi huru na inapaswa kufuata sheria kulimgana na katiba yetu.
Kamwe kama taifa hatuwezi kuogopa kuchukua hatua kulinda usalama wa nchi, kwa kuogopa wale mabalozi wa EU waliojazwa ujinga na Lissu.
Sheria ni msumeno, kama unaweza kukata upande wa Sabaya iweje ishindwe kukataa kukata upande wa Mbowe?
Mnahangaika kuongelea mambo yaliyoko mahakamani kinyume na sheria na katiba.
Naona umeamua kuimba taarabu sasa,haya subiri hapo hapo nikuletee na zawadi ya khanga ili ujifunge kiunoni upate kukatika zaidi.Wewe ndiyo Kituko kioja kabsa kwa kujidai eti una Akili wakati kichwani mwako umejaza kamasi ndoo mbili na Moshi wa Bangi , aliyekuambia kuwa una Akili atakuwa mzima kweli ebu acha kushinda vijiweni kuwanunulia Bangi wenzako wakikusifia una Akili umejiona unajua kumbe hujui chochote
Wakimfunga itaonekana wanataka kubalance. Keai hii ngumu sanaWatengeneza kesi ya mbowe wanajutua sasa kwani imeleta Aibu kuwa kwa Nchi
Na zile nyama choma na Mo Eneji alizowapa🤣🤣🤣Hii kesi naamini kabisa IGP anajuta mno kuizungumzia hadharani anatamani sana dunia ifutike. Akifikilia anadaiwa Moses yule Komando hata hajui atafanyaje. Akiwaza Kingai alisema kuwa alikuta na Cocaine na kwenye hati ya mashtaka haipo. IGP anatukana tu muda huu.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hii kesi IJIIPII anajuta sana anaenda kustaafu kwa aibu ama mama anamuacha aje amtimue kwa aibu.Na zile nyama choma na Mo Eneji alizowapa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
e dhalimu wako halipo!
Mama siyo dhalimu, vipi sasa aliamuru gaidi kukamatwa na mwezi wa tatu huu unaenda gaidi bado yupo lupango?
Unasema anaiga? Anaiga na huku mtu yuko lupango?
Bavicha namna gani bhana?
Basi yuko vizuri..Acha kuamuru kukamatwa Mbowe, hata angemchinja hapo kwa Mkapa, bado sio dhalimu, bali anafanya ili kuridhisha lile kundi la dhalimu kuwa hataki kuchezewa. Tunamjua mtu dhalimu na muigaji. Yule alikuwa dhalimu wa kuzaliwa fullstop.
Acha hizo nenda kamsalimie Gaidi huko Gerezani usipoteze muda tu huku JFHii kesi watakuwa wanajuta kuifungua.
Mama wa kambo sio dhalimu kama lile dubwashwa lako fullstop.Basi yuko vizuri..
Tuna utawala wa democrasia baada ya dhalimu wako kufa!
Mama siyo dhalimu kabisa! Ila anamkamata gaidi ili kuwaridhisha kundi la mwenda zake! Safi sana!
Mama yuko vizuri, democrasia ipo vizuri, sisi chadema tuna uhuru wote baada ya lile dhalimu kufariki, kiufupi sasa tunapumua
Amebaki kukukamata na wewe ukaungane na Gaidi mwenzako.Mama wa kambo sio dhalimu kama lile dubwashwa lako fullstop.
Kabisa mkuu! Kwani nmebisha?Mama wa kambo sio dhalimu kama lile dubwashwa lako fullstop.
Kabisa mkuu! Kwani nmebisha?
Si unaona tunavyopumua? Magaidi aliyoyalea dhalimu lako yote yako ndani!
Sisi chadema tunapumua baada ya kubanwa sana kwa miaka 5!
Mama siyo dhalimu kabisa! Tuendelee na mikutano ya siasa, hata ile ya kudai katiba tuendeleee nayo.
Chaguzi zote tunashiriki hata zile ndogo tunashiriki na tunashindwa kihalali maana lile dhalimu halipo.
Tupo na mama, democrasia tele.