Madhara ya kesi ya Mbowe na tofauti na kesi ya Sabaya

Lengo la marehemu magufuli na Sabaya ilikuwa ni kuua upinzani kwa kuanza kuidhoofisha chadema kwanza
Kweli kabisa,
Walijaribu kumdhoofisha Mbowe kiuchumi ili CDM ikose kiongozi makini lakini wakashindwa.
Wakaona njia iliyobaki ni kumpa makesi mengi tu yasiuo na kichwa wala miguu.
 
Watengeneza kesi ya mbowe wanajuuta kutengeneza vitendo haramu vya kishetani na hata Sabaya anajuuta kuwatuma akina mahita kwenda kuwakamata walinzi wa mbowe kuwapiga kuwatesa chini ya pingu saa 24 kila siku, hiyo laana kubwa ni mojawapo ya laana iliyomtafuna Sabaya sasa, mungu yupo atasimama na haki kutendeka mbowe ataachiwa huru
 
Kweli kabisa,
Walijaribu kumdhoofisha Mbowe kiuchumi ili CDM ikose kiongozi makini lakini wakashindwa.
Wakaona njia iliyobaki ni kumpa makesi mengi tu yasiuo na kichwa wala miguu.
Laana zimewandama magufuli yupo huko alipo na sasa laana imemdaka Sabaya yupo gerezani anajutia ushetani wake
 
Da Aisee!
Mbaya Sana hii.
Inauma Sana aisee.
 
Kesi ilianzia kwa magufuli wakati Sabaya kuwatumia akina mahita kwenda kuwabambikia kesi walinzi wa mbowe
Sasa hao hawana vyeo na utawala wa kidhalimu haupo vipi sasa mbona bado yupo lupango?
 
Mama sio dhalimu bali anaiga tembo kunya. Hata utembee uchi bado lile dhalimu hutaweza kulitakatisha fullstop.
Lile dhalimu wako halipo!

Mama siyo dhalimu, vipi sasa aliamuru gaidi kukamatwa na mwezi wa tatu huu unaenda gaidi bado yupo lupango?

Unasema anaiga? Anaiga na huku mtu yuko lupango?

Bavicha namna gani bhana?
 
Iachiwe Mahakama ndio itatoa uamuzi,kelele za JF haziwezi kubadili kitu chochote.
Ndugu sio kila maamuzi ya Mahakama ni halo,mengine hua ni uonevu tu.
Ipo ushahidi wa Kesi za uonevu.
Yaoi maamuzi hufanywa kwa maelekezo mwalimu,au rushwa Ili kumkomoa mtu.
Mazingira ya Kesi ya Mbowe yanaonesha uonevu mkubwa .

Mfano unakumbuka Kesi ya Akwilina.?
hukumu ilikuaje?
Aliefanya kosa la kumuua Akwilina ni nani na alieshitakiwa ni nani?
Kesi iliishaje?
 
Hujui chochote ndugu.
Nyerere aliwahi kuhumiwa na Wakoloni kwa makosa ya uonevu tu,akapewa adhabu ya kumdhalilisha viboko.

Mandela akifungwa kwa sababu ya kudai haki za mtu mweusi afrika kusini,

Mahatma Ghadi alishitakiwa na kupewa misukosuko na wakoloni.

Martin luther king alipewa misuko suko hivyo hivyo.

Lakini baadae walikuaja kuwa viongozi wakubwa tu hapa Duniani.

Sabaya hana nafasi hiyo na hatapata kwa sababu yeye hakupigania haki zozote zaidi ya kujinufaisha kisiasa na kiuchumi.
Atakumbukwa kama alifanya u jambazi akiwa Mkuu wa Wilaya.
 
Hii kesi naamini kabisa IGP anajuta mno kuizungumzia hadharani anatamani sana dunia ifutike. Akifikilia anadaiwa Moses yule Komando hata hajui atafanyaje. Akiwaza Kingai alisema kuwa alikuta na Cocaine na kwenye hati ya mashtaka haipo. IGP anatukana tu muda huu.
 
Naona umeamua kuimba taarabu sasa,haya subiri hapo hapo nikuletee na zawadi ya khanga ili ujifunge kiunoni upate kukatika zaidi.
 
Na zile nyama choma na Mo Eneji alizowapa🤣🤣🤣
 
Na zile nyama choma na Mo Eneji alizowapa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hii kesi IJIIPII anajuta sana anaenda kustaafu kwa aibu ama mama anamuacha aje amtimue kwa aibu.
 
Acha kuamuru kukamatwa Mbowe, hata angemchinja hapo kwa Mkapa, bado sio dhalimu, bali anafanya ili kuridhisha lile kundi la dhalimu kuwa hataki kuchezewa. Tunamjua mtu dhalimu na muigaji. Yule alikuwa dhalimu wa kuzaliwa fullstop.
e dhalimu wako halipo!

Mama siyo dhalimu, vipi sasa aliamuru gaidi kukamatwa na mwezi wa tatu huu unaenda gaidi bado yupo lupango?

Unasema anaiga? Anaiga na huku mtu yuko lupango?

Bavicha namna gani bhana?
 
Acha kuamuru kukamatwa Mbowe, hata angemchinja hapo kwa Mkapa, bado sio dhalimu, bali anafanya ili kuridhisha lile kundi la dhalimu kuwa hataki kuchezewa. Tunamjua mtu dhalimu na muigaji. Yule alikuwa dhalimu wa kuzaliwa fullstop.
Basi yuko vizuri..

Tuna utawala wa democrasia baada ya dhalimu wako kufa!

Mama siyo dhalimu kabisa! Ila anamkamata gaidi ili kuwaridhisha kundi la mwenda zake! Safi sana!


Mama yuko vizuri, democrasia ipo vizuri, sisi chadema tuna uhuru wote baada ya lile dhalimu kufariki, kiufupi sasa tunapumua
 
Mama wa kambo sio dhalimu kama lile dubwashwa lako fullstop.
 
Mama wa kambo sio dhalimu kama lile dubwashwa lako fullstop.
Kabisa mkuu! Kwani nmebisha?

Si unaona tunavyopumua? Magaidi aliyoyalea dhalimu lako yote yako ndani!

Sisi chadema tunapumua baada ya kubanwa sana kwa miaka 5!
Mama siyo dhalimu kabisa! Tuendelee na mikutano ya siasa, hata ile ya kudai katiba tuendeleee nayo.

Chaguzi zote tunashiriki hata zile ndogo tunashiriki na tunashindwa kihalali maana lile dhalimu halipo.

Tupo na mama, democrasia tele.
 

Hata mama wa kambo afanye nini na kuzuia nini, ukweli ni kuwa mama wa kambo sio dhalimu fullstop.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…