Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Down in the human heart.... Touched by a loving arm.... Chords that are broken... Will vibrate once again...!!!Habarin wana jamvin. jamani naomba msaada wa ushauri ila mwenye matusi yake plse asicomment kitu.
Mimi ni binti mwenye umri mkubwa kias ( almost 30years), single. I used to love sex (enzi za mahusiano) but this time nimekua mpenda kuangalia porn mpaka najihis nimekua addicted kwani bila kuangalia usiku ni lazima asubuh kabla ya kujiandaa kwenda kazin niangalie ndo nijiandae au hata kama ni weekend lazima niangalie kwanza ndo nitoke room kuendelea na mambo mengineyo ya nyumbani. Hali hii inanisumbua sana kiasi kwamba baada ya kuangalia ndo najiona sijitendei haki. nilijaribu kua nasoma novels naangalia movies na kufanya mazoezi just to keep myself busy kama sipo kazin lakini hata kama nikisoma au kufanya mazoez mwisho wa siku ni lazima nichungulie kwanza 😱.
Asanteni
Utapigwa.Hakuna binti wa miaka 30+.....
Wewe mkuu umewahi kuuoa wapi binti wa miaka 30+ ...?Utapigwa.
Habarin wana jamvin. jamani naomba msaada wa ushauri ila mwenye matusi yake plse asicomment kitu.
Mimi ni binti mwenye umri mkubwa kias ( almost 30years), single. I used to love sex (enzi za mahusiano) but this time nimekua mpenda kuangalia porn mpaka najihis nimekua addicted kwani bila kuangalia usiku ni lazima asubuh kabla ya kujiandaa kwenda kazin niangalie ndo nijiandae au hata kama ni weekend lazima niangalie kwanza ndo nitoke room kuendelea na mambo mengineyo ya nyumbani. Hali hii inanisumbua sana kiasi kwamba baada ya kuangalia ndo najiona sijitendei haki. nilijaribu kua nasoma novels naangalia movies na kufanya mazoezi just to keep myself busy kama sipo kazin lakini hata kama nikisoma au kufanya mazoez mwisho wa siku ni lazima nichungulie kwanza 😱.
Asanteni
Suluhisho lake liko hapaWakikutukana usishangae maana huko ni kujiendekeza.
Nafsi ya mwanadamu inakuwa controlled na vitu viwili (1) Evil spirit (2) Holy spirit. Sasa we ndugu upo upande gani? Hakuna namna utajinasua na huo mtego kama sio muhudhuriaji mzuri wa ibada ambako utafundishwa kumwogopa Mungu.
Utajitahidi weeeee uache but hutaaacha nakwambia kwasababu kuna roho chafu nyuma yake!! Chagua kusuka au kunyoa.
Kutokuhudhuria ibada ni kujiendekeza, na kama unahudhuria basi ni ile kufata mkumbo huna lolote kwenye kichwa chako.
Pole yako
Siku ukiacha kuangalia, utajikuta unatafuta anayefanana na wa kwenye movie. Sasa hapo utazalisha tabia nyingine tata sana. Sababu utajivisha ualisia kama kwenye porn movies na utasahau kwamba zile ni action scene moja yaweza rekodiwa wiki na wanaunganisha vipande tuu ili wapate good quality with stamina.
Kwa huo umri wewe sio binti ni mmama, sasa kamata mtu akuliwaze maisha yasonge, punguza kuchagua saaaaaaaana na sasa unajiongezea kigezo kingine bila kujijua cha awe na uwezo wa kufanya ngono kama kwenye movie, hiyo kitu haifutuki kirahisi, utaacha kuangalia but yale matukio yataendelea kuwepo na utataka mtu wako naye awe vile, akiwa tofauti hatakuridhisha utaanza dharau na list itaongezeka zaidi na zaidi. Vish