brenda18
JF-Expert Member
- Sep 17, 2013
- 5,687
- 5,287
Karibu tena dearAsnte Sana kwa ushauri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Karibu tena dearAsnte Sana kwa ushauri
Asante Sana Mr Mshana na wale wote walionipatia ushauri nitafanyia kazi.
Hahahhaa loh....!!!Lakini Mkuu kama utaitaji kampani,mimi nipo
Maana mimi mwenyewe nimekuwa addicted na hizo nanilii
Ha ha ha, atafute bwana afande, au mgamboTafuta "mandingo" mmoja akushughulikie utaacha hizo ni nyege mcharuko tu
Je unafanya mapenzi kila baada ya muda gani?Habarin wana jamvin. jamani naomba msaada wa ushauri ila mwenye matusi yake plse asicomment kitu.
Mimi ni binti mwenye umri mkubwa kias ( almost 30years), single. I used to love sex (enzi za mahusiano) but this time nimekua mpenda kuangalia porn mpaka najihis nimekua addicted kwani bila kuangalia usiku ni lazima asubuh kabla ya kujiandaa kwenda kazin niangalie ndo nijiandae au hata kama ni weekend lazima niangalie kwanza ndo nitoke room kuendelea na mambo mengineyo ya nyumbani.
Hali hii inanisumbua sana kiasi kwamba baada ya kuangalia ndo najiona sijitendei haki. nilijaribu kuwa nasoma novels naangalia movies na kufanya mazoezi just to keep myself busy kama sipo kazini lakini hata kama nikisoma au kufanya mazoezi mwisho wa siku ni lazima nichungulie kwanza 😱.
Asanteni
Wanaitwaje mkuu Kikulachochako?? just inquiringHakuna binti wa miaka 30+.....
Hivi kuna chaputa ya wanawake?teh...
Dada hakuna solution ya tatizo lako zaidi ya kusali..punguza kuangalia taratibu taratibu huku ukisali...
Funga na kusali hakuna linaloshindikana,all the best
Huo ni upweke dada!pole sana usipende kua peke yako,fanya vitu vya kukuchosha kuanzia mwili mpaka akili,mazoezi ya viungo kucheza mziki na n.k lakini kubwa zaidi muombe Mungu akuondoe kwenye masahibu hayo kwa kukupatia mimi hapa yes Mimi ndio kulitibu tatizo lako.kila LA kheri
Wanaitwa wamamaWanaitwaje mkuu Kikulachochako?? just inquiring
Very well said.Nafsi ya mwanadamu inakuwa controlled na vitu viwili (1) Evil spirit (2) Holy spirit. Sasa we ndugu upo upande gani? Hakuna namna utajinasua na huo mtego kama sio muhudhuriaji mzuri wa ibada ambako utafundishwa kumwogopa Mungu.
Utajitahidi weeeee uache but hutaaacha nakwambia kwasababu kuna roho chafu nyuma yake!! Chagua kusuka au kunyoa.
Kutokuhudhuria ibada ni kujiendekeza, na kama unahudhuria basi ni ile kufata mkumbo huna lolote kwenye kichwa chako.
Pole yako
Ila i'm curious need 2know more changa kwa maana ya muda wa kuanzishwa au how often zinakuwa updated,ubora wa content,search functionality, au pop up za kuudhi majibu tafadhali.
Jaribu kuwa unakaa karibu sana na kaka yako uwe nae vr crs. fasta tuu utaachaHabarini wana jamvi,
Jamani naomba msaada wa ushauri,
Mimi ni binti mwenye umri mkubwa kias ( almost 30years), single. I used to love sex (enzi za mahusiano) but this time nimekua mpenda kuangalia porn mpaka najihisi nimekua addicted kwani bila kuangalia usiku ni lazima asubuhi kabla ya kujiandaa kwenda kazini niangalie ndo nijiandae au hata kama ni weekend lazima niangalie kwanza ndo nitoke room kuendelea na mambo mengineyo ya nyumbani.
Hali hii inanisumbua sana kiasi kwamba baada ya kuangalia ndo najiona sijitendei haki. Nilijaribu kuwa nasoma novels naangalia movies na kufanya mazoezi just to keep myself busy kama sipo kazini lakini hata kama nikisoma au kufanya mazoezi mwisho wa siku ni lazima nichungulie kwanza 😱.
Asanteni..