Madhara ya kuangalia Picha/Video za Ngono kwa Wanaume na Wanawake

Madhara ya kuangalia Picha/Video za Ngono kwa Wanaume na Wanawake

Habarin wana jamvin. jamani naomba msaada wa ushauri ila mwenye matusi yake plse asicomment kitu.

Mimi ni binti mwenye umri mkubwa kias ( almost 30years), single. I used to love sex (enzi za mahusiano) but this time nimekua mpenda kuangalia porn mpaka najihis nimekua addicted kwani bila kuangalia usiku ni lazima asubuh kabla ya kujiandaa kwenda kazin niangalie ndo nijiandae au hata kama ni weekend lazima niangalie kwanza ndo nitoke room kuendelea na mambo mengineyo ya nyumbani.

Hali hii inanisumbua sana kiasi kwamba baada ya kuangalia ndo najiona sijitendei haki. nilijaribu kuwa nasoma novels naangalia movies na kufanya mazoezi just to keep myself busy kama sipo kazini lakini hata kama nikisoma au kufanya mazoezi mwisho wa siku ni lazima nichungulie kwanza 😱.

Asanteni
Acha kutumia smartphone na tumia nokia ya tochi kwa muda wa miezi mitatu hv. Na ukiweza huu mthn utakuwa umefaulu
 
Habarin wana jamvin. jamani naomba msaada wa ushauri ila mwenye matusi yake plse asicomment kitu.

Mimi ni binti mwenye umri mkubwa kias ( almost 30years), single. I used to love sex (enzi za mahusiano) but this time nimekua mpenda kuangalia porn mpaka najihis nimekua addicted kwani bila kuangalia usiku ni lazima asubuh kabla ya kujiandaa kwenda kazin niangalie ndo nijiandae au hata kama ni weekend lazima niangalie kwanza ndo nitoke room kuendelea na mambo mengineyo ya nyumbani.

Hali hii inanisumbua sana kiasi kwamba baada ya kuangalia ndo najiona sijitendei haki. nilijaribu kuwa nasoma novels naangalia movies na kufanya mazoezi just to keep myself busy kama sipo kazini lakini hata kama nikisoma au kufanya mazoezi mwisho wa siku ni lazima nichungulie kwanza 😱.

Asanteni
Very simple, kama una TV uza, kama una smartphone nunua kitochi.
 
We ni km dada kwangu, khs ushauri aliokupa Hunyu na Mshana Jr nadhani ni muhimu sana sana sana. Ibada ndyo kla ktu
 
huyu nahisi hata dildo anajigongelea
 
Hakuna kitu kizuri kama dyudyu ya mwanaume,jaribu uone hautajuta maishani mwako
 
Habarin wana jamvin. jamani naomba msaada wa ushauri ila mwenye matusi yake plse asicomment kitu.

Mimi ni binti mwenye umri mkubwa kias ( almost 30years), single. I used to love sex (enzi za mahusiano) but this time nimekua mpenda kuangalia porn mpaka najihis nimekua addicted kwani bila kuangalia usiku ni lazima asubuh kabla ya kujiandaa kwenda kazin niangalie ndo nijiandae au hata kama ni weekend lazima niangalie kwanza ndo nitoke room kuendelea na mambo mengineyo ya nyumbani.

Hali hii inanisumbua sana kiasi kwamba baada ya kuangalia ndo najiona sijitendei haki. nilijaribu kuwa nasoma novels naangalia movies na kufanya mazoezi just to keep myself busy kama sipo kazini lakini hata kama nikisoma au kufanya mazoezi mwisho wa siku ni lazima nichungulie kwanza 😱.

Asanteni
Ukishaangalia hizo porn movies unajisikiaje?
 
Vish tatzo umekosa kampan, namaanisha umekosa mtu wa kukufanya uwe busy. Light kama ungekuwa na mme au bf usingekuwa na mda wa kuangalia hayo mazimwi
 
Una tatizo la kisaikolojia, Upweke pia unachangia... Inabidi upate mtu akupe dozi ya kutosha...
 
Mkuu hizo site zako mbona changa bado
Ila i'm curious need 2know more changa kwa maana ya muda wa kuanzishwa au how often zinakuwa updated,ubora wa content,search functionality, au pop up za kuudhi majibu tafadhali.
 
My friend aliwahi kunishirikisha tena yeye alianza mdogo na hakutaka kuwa na boyfriend zaidi ni porn na baadae nyeto na kila akijitahidi kuacha anajikuta baada ya mda karudia lkn aliponishirikisha nikamwambia ajitahidi kuwa busy na kusali sana kila anapoona hilo liroho linamuijia asali na asipende kukaa peke yake ilimsaidia akaacha mpaka leo anashukuru!
 
kama wew ni christian/muslim au dni nyingineyo, nakupa shauri:- ule muda unaotumia kuangalia utumie kusoma vitabu vya din uwe unaomba toba na kujivua roho zilizokuvaa na pia utapata hofu ya Mungu kulingana na maonyo utakayoyakuta humo
 
Down in the human heart.... Touched by a loving arm.... Chords that are broken... Will vibrate once again...!!!
Hii hali huwatokea wengi wa jinsia zote, baada ya kubaki single kwa sababu zozote zile na kukosa mbadala anayefanana na penzi la awali
Jitahidi kuepuka hiyo hali japo ni ngumu sana bado maisha yanakuhitaji... Mwombe Mungu akupe mwenza haraka hiyo hali itaisha
Uko katika msongo wa mawazo unahitaji sexual satisfaction lakini hupati mtu sahihi kwahiyo unajiliwaza na porns... Wengine ni pombe wengine usagaji wengine punyeto wengine madawa nknk
Asante Sana Mr Mshana na wale wote walionipatia ushauri nitafanyia kazi.
 
Hivi kuna chaputa ya wanawake?teh...
Dada hakuna solution ya tatizo lako zaidi ya kusali..punguza kuangalia taratibu taratibu huku ukisali...
Funga na kusali hakuna linaloshindikana,all the best
Asnte Sana kwa ushauri
 
Unaangalia tu, au unaangalia na kujichua? Aina gani unazoangalia?
 
Back
Top Bottom