Madhara ya kuangalia Picha/Video za Ngono kwa Wanaume na Wanawake

Pole sana. Mimi nilipokuwa chuo nilikuwa addicted kiasi ambacho hata kula nilikuwa sili (hasa chai) nilikuwa nikiangalia kichwa kinauma na kulala usingizi kutwa nzima baadae nikaona madhara yake ni kuchafua boxer, mb.. kuuma baada ya punyeto na kuwavua jinsia ya kike. Nilijitahidi kufanya mazoezi ya viungo na kuhudhuria ibada kanisani nikawa napunguza. Siku hizi labda mara 1 kwa miezi 3 (au hakuna kabisa). Fanya commitment uache
 
Ni PM, mim nlikua muhanga wa hayo nikupe maujanja
 
Pole sana,ila jitahidi sana kukifanya kifaa chako kisikuendeshe kinavyotaka chenyewe,kama unatumia sim kuangalia hizo basi jitahidi simu yako isikuendeshe kiasi hicho.
 
Je unafanya mapenzi kila baada ya muda gani?
Je mara baada ya kufanya bado unatamani kuendelea kuangalia porn movies?
Tuanzie hapo.
 
Huo ni upweke dada!pole sana usipende kua peke yako,fanya vitu vya kukuchosha kuanzia mwili mpaka akili,mazoezi ya viungo kucheza mziki na n.k lakini kubwa zaidi muombe Mungu akuondoe kwenye masahibu hayo kwa kukupatia mimi hapa yes Mimi ndio kulitibu tatizo lako.kila LA kheri
 
Hivi kuna chaputa ya wanawake?teh...
Dada hakuna solution ya tatizo lako zaidi ya kusali..punguza kuangalia taratibu taratibu huku ukisali...
Funga na kusali hakuna linaloshindikana,all the best

Dawa ni kuwa na boyfriend tu. Upweke pia unachangia.
 

Upweke upweke upweke. That is it. Wanasema an idle mind is the workshop of the devil.
 
Mbona tupo wengi tu humu tunaopitia huko. Cha msingi unaangalia ili iweje!!?
 
Very well said.
 
Ila i'm curious need 2know more changa kwa maana ya muda wa kuanzishwa au how often zinakuwa updated,ubora wa content,search functionality, au pop up za kuudhi majibu tafadhali.


Ndio hayo ila vikubwa zaidi ni ratings,viewers pamoja na updated

Site nlizokutajia hapo juu zinapata viewers wengi kuliko hata mashirika makubwa ya utangazaji Duniani
 
Jaribu kuwa unakaa karibu sana na kaka yako uwe nae vr crs. fasta tuu utaacha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…