Madhara ya kumdanganya Mwanamke wakati Unamtongoza

Ungemuokoa mwana
 
Kuna dogo alimdanganya binti yeye ni Rubani... mbaya zaidi ni kwamba maisha aliyojivisha ni yenye standard kubwa kuliko! Wakitoka hata kwenda restaurant anayegharamia ni mwanamke. Dogo hata smartphone zile za TIGO za offa hana... ana simu ya tochi, anamwambia demu pesa ninayo ila kutoa sitaki... na alichomdatisha demu alikuwa anakaa Kariakoo kwa shangazi yake juu huko ghorofa ya nane "8" ..., yale maghorofa ya mtaa wa Livingstone na akadanganya pale kwake na anajenga hekalu jingine Kigamboni 😂😂😂🙌🏾.... uongo mwingine bana! Yaan ni mkubwa hata ukibebeshwa utaanguka na kupoteza maisha 😂

Yaliyomkuta alipogundulika mpaka leo hana raha, ingawa alimla mbususu binti mara moja kwa bahati... maana binti nae kwao mambo si mabaya.

Sasa tunamuulizaga dogo, "Hivi wewe Rubani unamjua au unamsikia?! Rubani unafkiri ni mtu wa mchezomchezo?! Unafkiri rubani anahangaika kutongoza mwanamke/wanawake?!

Ila sometimes wanawake mnatakaga kudanganywa wenyewe. Unadanganywa vipi na mtu ambaye hata kuandika vizuri sentesi ikaeleweka na kusomeka hawezi?!

JITAFAKARINI!
 
Ahahahahaaaaa unacheka alafu unamwambia dem amwambie jamaa yake aje achukue wakutane hapo
 
Mleta mada katika vitu hujajua ni kwamba wanawake hawampendi mwanaume mkweli, sijui hizo tafiti zako umefanyia wapi, wanawake wanapenda mwanaume asiwe mkweli asilimia 90
 
Uongo ndo umeweka ndoa yangu kwenye mapito mabaya
Kipindi bado na mtongoza mke wangu nilimdanganya mambo mengi ambayo nilikuwa sina nikadanganya ninayo tulivyo kuja kuoana mke wangu alijua ukweli
Kila siku ni vurugo dah [emoji24][emoji24][emoji24]
Hapa ulikuosea mwanamke wa kuoa usimdanganye maana mnaenda kutengeza maisha yenu pamoja na ndiyo mtaishi maisha yenu yote, najua ameumia sana mkeo kwa hilo
 
Wewe danganya hit chukua video nyingi kabisa unasimamia ukucha hafu mwambie ukweli wooote hafu sikilizia sasa

Akizingua unakuwa unamtumia video moja moja mkibanduana ficha simu hakika ukimtaka lzm aje
 
Wanawake wanapenda maneno mazuri na story nzuri na drama za hapa na pale
Sababu mambo na vitu wanawake wanataka kwa wanaume vingi wanawaume hawana
Ukweli mtupu huo mkuu, na ndiyo maana wao wanatamani kusikia hata yasio na ukweli

Ila wale tunaowaoa tusiwadanganye maana ndoa ni jambo lingine kabisa linalohitaji kibali cha mwenyezi Mungu na sio ulaghai wa wenza bali ni Mungu aingilie kati ajue mtaishi tu pamoja na madhaifu yenu
 
Na tulipofika ukweli na uongo basi ukweli hauna nafasi katika mapenzi, mapenzi ya kweli na udanganyifu mapenzi ya kweli hayapo tena, usaliti, kuchepuka vs to stay royal basi usaliti unapokea kura nyingi


Tuishi tu vivyo hivyo tu, cha msingi angalia upo na nani ana malengo gani
 
Eva alimdanganya Adamu tule tunda tuliokatazwa na Mungu kwa maana lina uzima.


Udanganyifu mlianza kutufundisha nyie lakini
[emoji23][emoji23] Kwan Adam alikua hajui? Si walikatazwa wote? Adam alishawishiwa akaingia kingi kwa nn asikatae makosa ni ya wote.
 
[emoji23][emoji23] Kwan Adam alikua hajui? Si walikatazwa wote? Adam alishawishiwa akaingia kingi kwa nn asikatae makosa ni ya wote.
Adamu aliijua kweli ndiyo lakini sasa Eva alitumia mbinu danganyi ili amuingize Adam katika chaka kwa kumuaminisha tunda lina siri nyingi Mungu hataki wazijue,
 
Hata kwenye ndoa inabidi utumie uongo ili udumu naye
 
Niliwahi kumdanganya demu mimi ni mwanasheria kumbe uyo mwanamke nae ni mwanasheria, aiseee aliniuliza swali nikashindwa kujibu nikazuga naenda uani nikatokomea mbele kwa mbele sijawahi kuonana nae tena
 
Niliwahi kumdanganya demu mimi ni mwanasheria kumbe uyo mwanamke nae ni mwanasheria, aiseee aliniuliza swali nikashindwa kujibu nikazuga naenda uani nikatokomea mbele kwa mbele sijawahi kuonana nae tena
[emoji1787]
 
Adamu aliijua kweli ndiyo lakini sasa Eva alitumia mbinu danganyi ili amuingize Adam katika chaka kwa kumuaminisha tunda lina siri nyingi Mungu hataki wazijue,
Wote wana makosa mana walikatazwa kwa pamoja wakajikuta wana akili kuliko aliewakataza.[emoji16][emoji16]
 
Danganya ila uongo ukaribiane na ukweli.

Ukijitia kuongea ukweli wote hupati mtu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…