Makari hodari
JF-Expert Member
- May 17, 2022
- 3,339
- 6,666
Ungemuokoa mwanaKuna mshkaji wangu alkua anaazima gari yangu kila anavoenda kwa demu wake
Kumbe kule anasema gari ni yake na mimi ndio ninaazima kwake.
Basi siku moja yule dada alikua ana emergency anahitaji gari, akamuazima jamaa (hamaa hakumpa majibu ya kueleweka)
Mdada akaja kwangu straight akasema amekuja kuchkua gari yao
Ilibidi nianze kucheka kwanza[emoji23][emoji23]
Sio wote kijana. Kuwa mkweli! Ni dalili ya mwanaume mwenye kujitambua na akili timamuMnakubaligi nyie ukweli.yan niseme mimi ni jobless najua utanikataa nakupga sound mm nakitengo BOT..
Sio kwa kizazi hiki
Ahahahahaaaaa unacheka alafu unamwambia dem amwambie jamaa yake aje achukue wakutane hapoKuna mshkaji wangu alkua anaazima gari yangu kila anavoenda kwa demu wake
Kumbe kule anasema gari ni yake na mimi ndio ninaazima kwake.
Basi siku moja yule dada alikua ana emergency anahitaji gari, akamuazima jamaa (hamaa hakumpa majibu ya kueleweka)
Mdada akaja kwangu straight akasema amekuja kuchkua gari yao
Ilibidi nianze kucheka kwanza[emoji23][emoji23]
Mleta mada katika vitu hujajua ni kwamba wanawake hawampendi mwanaume mkweli, sijui hizo tafiti zako umefanyia wapi, wanawake wanapenda mwanaume asiwe mkweli asilimia 90Wakati unajifunza kutongoza unaweza danganya. Utadanganya kwa vile vitu vinavyokufanya uonekane una thamani. Nyumba, pesa, gari au unajuana na watu wakubwa.
Lakini haina maana ndo ukalie njia hiyo hiyo miaka yote. Ni muhimu ujifunze kumvutia na kumtunza mwanamke kwa mfumo unaosema ukweli na unaomfanya mwanamke akutake zaidi ye mwenyewe.
Hizi ni baadhi ya sababu kwanini usitegemee mfumo wa kudanganya kwenye kumvutia mwanamke.
Ni mfumo dhaifu.
Ni njia rahisi na ya haraka kumpata mwanamke. Lakini haina misingi mizuri.
Haina matokeo kwa muda mrefu. Hata maneno yako yanakua hayatoki moyoni.
Utapata urahisi kwa wanawake wasio na uzoefu wa wanaume, ila wale wenye uzoefu wataona uongo wako. Ni heri ujifunze kumvutia mwanamke bila kumdanganya kuliko kudanganya na kutumia muda mwingi kukumbuka uongo/ kukwepa uongo.
Utajisikia ushindi zaidi kwa kumpata mwanamke bila kumdanganya. Na utapa kujiamini zaidi.
Inaharibu mahusiano ya muda mrefu
Kwa mapenzi ya haraka haraka uongo utakusaidia. Lakini mahusiano ya muda mrefu atagundua tu ulipodanganya.
Ataona maisha yenu yote mliyoishi ni uongo. Na hatakua na haja ya kuendelea kuishi kwenye uongo. Na itakua ngumu kuweka mipango naye ya maisha. Hivyo, kama unataka mahusiano ya muda mrefu jiepushe na uongo.
Uongo unazaa uongo
Shida kubwa ya uongo ni kuutunza.
Ukisema uongo mmoja, inabidi uufiche na uongo mwingine mara mbili. Na uongo uongo marambili inabidi uufiche na uongo mara tatu. Mwisho wa siku unajikuta umejaa uongo.
Kitu kitakachozuia kujenga mahusiano imara kwa muda mrefu. Uongo pia unazaa na kuchochea tabia zingine zisizofaa.
Utavutia waongo wenzako
Ndege wafananao huruka pamoja.
Utajikuta kila mwanamke unayekua naye anakudanganya danganya tu. Kitu kitakachokufanya uamini zaidi kwenye uongo. Na kurudia mzunguko huo huo kwa kila mwanamke unayekua naye.
Cha msingi ni kujiepusha na uongo usio na maana. Na ili kuepuka uongo kirahisi, usijiweke kwenye mazingira yatakaokufanya useme uongo baadaye. Yaani jiepushe na vyanzo vya uongo.
Na hata ukitumia uongo, usiutumie sana kiasi kwamba ukashindwa kujitetea.
Share na Wengine Wapate Kujifunza.
Hapa ulikuosea mwanamke wa kuoa usimdanganye maana mnaenda kutengeza maisha yenu pamoja na ndiyo mtaishi maisha yenu yote, najua ameumia sana mkeo kwa hiloUongo ndo umeweka ndoa yangu kwenye mapito mabaya
Kipindi bado na mtongoza mke wangu nilimdanganya mambo mengi ambayo nilikuwa sina nikadanganya ninayo tulivyo kuja kuoana mke wangu alijua ukweli
Kila siku ni vurugo dah [emoji24][emoji24][emoji24]
Wanawake wanapenda maneno mazuri na story nzuri na drama za hapa na paleMleta mada katika vitu hujajua ni kwamba wanawake hawampendi mwanaume mkweli, sijui hizo tafiti zako umefanyia wapi, wanawake wanapenda mwanaume asiwe mkweli asilimia 90
Ukweli mtupu huo mkuu, na ndiyo maana wao wanatamani kusikia hata yasio na ukweliWanawake wanapenda maneno mazuri na story nzuri na drama za hapa na pale
Sababu mambo na vitu wanawake wanataka kwa wanaume vingi wanawaume hawana
Eva alimdanganya Adamu tule tunda tuliokatazwa na Mungu kwa maana lina uzima.Mna dhambi sana.
[emoji23][emoji23] Kwan Adam alikua hajui? Si walikatazwa wote? Adam alishawishiwa akaingia kingi kwa nn asikatae makosa ni ya wote.Eva alimdanganya Adamu tule tunda tuliokatazwa na Mungu kwa maana lina uzima.
Udanganyifu mlianza kutufundisha nyie lakini
Adamu aliijua kweli ndiyo lakini sasa Eva alitumia mbinu danganyi ili amuingize Adam katika chaka kwa kumuaminisha tunda lina siri nyingi Mungu hataki wazijue,[emoji23][emoji23] Kwan Adam alikua hajui? Si walikatazwa wote? Adam alishawishiwa akaingia kingi kwa nn asikatae makosa ni ya wote.
Hata kwenye ndoa inabidi utumie uongo ili udumu nayeUkweli mtupu huo mkuu, na ndiyo maana wao wanatamani kusikia hata yasio na ukweli
Ila wale tunaowaoa tusiwadanganye maana ndoa ni jambo lingine kabisa linalohitaji kibali cha mwenyezi Mungu na sio ulaghai wa wenza bali ni Mungu aingilie kati ajue mtaishi tu pamoja na madhaifu yenu
[emoji1787]Niliwahi kumdanganya demu mimi ni mwanasheria kumbe uyo mwanamke nae ni mwanasheria, aiseee aliniuliza swali nikashindwa kujibu nikazuga naenda uani nikatokomea mbele kwa mbele sijawahi kuonana nae tena
Wote wana makosa mana walikatazwa kwa pamoja wakajikuta wana akili kuliko aliewakataza.[emoji16][emoji16]Adamu aliijua kweli ndiyo lakini sasa Eva alitumia mbinu danganyi ili amuingize Adam katika chaka kwa kumuaminisha tunda lina siri nyingi Mungu hataki wazijue,