Kelsea soma hiyooooUkiwa mkweli kwa mwanamke utaishia kupiga puli.
Yaani kiufupi bila uongo haumpati mwanamke yawe mahusiano ya hit and run au mahusiano serious. Kotekote lazima uongo utumike. πππ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kelsea soma hiyooooUkiwa mkweli kwa mwanamke utaishia kupiga puli.
Yaani kiufupi bila uongo haumpati mwanamke yawe mahusiano ya hit and run au mahusiano serious. Kotekote lazima uongo utumike. πππ
Bwana wee tena wao waongo kuliko sie. Utasikia mie siwezi date na mwanaume zaidi ya mmoja at once...nyoooo wanatupanga kinoma hawa shezy type!πππ
Wengine wanajifanya ni wasichana wa matawi ya juu kweli kweli wakati kwao shida tupu.
Wengine wanajifanya watu wa dini kwelikweli. Kumbe wanadanga kimyakimya kwa usiri wa hali ya juu.
Wengine wanajifanya mabikra wa mchongo halafu wana masharti " no sex, until marriage"
Ni uongo uongo tu. πππ
πππBwana wee tena wao waongo kuliko sie. Utasikia mie siwezi date na mwanaume zaidi ya mmoja at once...nyoooo wanatupanga kinoma hawa shezy type!
Kwa wanawake waki Bongo ataweza kuvumilia maneno kutoka kwa rafiki zake ? Akiwaona wana maisha mazuri kupitia wapenzi wao.Aah kama mtu akakupenda jinsi ulivyo hatojali ni jobless or not, so inawezekana kabisa ukamwambia ukweli na akakupenda kama ni pesa mtatafuta wote.
Hawa ni kuwadanganya tuu shetani mwenyewe alimwingia hawa kwa style ya uwongo.πππ
Yaani ni uongouongo tu.
Ogopa sana binti hana kazi yoyote ila ana vitu vya gharama. Una kuta ana original latest iPhone ya 3m+. Yaani huyo lazima awe mdangaji halafu muongomuongo πππ
πππHawa ni kuwadanganya tuu shetani mwenyewe alimwingia hawa kwa style ya uwongo.
Kweli kabisa...πππ
Kama mwanaume hautaki kuongea uongo, kajipigie zako puli.
Hana upendo huyo sasa alifata ivyo vitu wa weweUongo ndo umeweka ndoa yangu kwenye mapito mabaya
Kipindi bado na mtongoza mke wangu nilimdanganya mambo mengi ambayo nilikuwa sina nikadanganya ninayo tulivyo kuja kuoana mke wangu alijua ukweli
Kila siku ni vurugo dah [emoji24][emoji24][emoji24]
Nyookooo. Msilete ujinga wenu hapa eti mwanamke akakuoenda huna hela. Kila leo mnatufurumusha pm huko kwa vibomu vyenuπ€£π€£π€£π€£Aah kama mtu akakupenda jinsi ulivyo hatojali ni jobless or not, so inawezekana kabisa ukamwambia ukweli na akakupenda kama ni pesa mtatafuta wote.
Eti hawezi maliza chips yaiNa kuna kitu wanaume wengi hatujui
Wakati wa kutongoza wanawake ndio wanakuwa waongo zaidi,
Wanafake kila kitu,
Kula, kuongea everything ni fake,
Akipokea simu anakwambia sorry napokea simu ha ha ha fake fake
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Umenikumbusha stori ya dogo mmoja smart na anavaa vizuri sana. Alipataga kazi ya kuendesha gari la boss mmoja kama uber/bolt. Jamaa katika kazi zake za uber si akapata pisi moja kali sana nyeupeeee na bonge la tako. Jamaa akamdanganya pisi kuwa gari ni lake na binti akaamini. Sasa bosi mwenye gari huwa analitumiaga mara mojamoja hilo gari kuangalia hali ya gari na service. Sasa siku ambazo jamaa hana gari huwa anamdanganya demu kuwa gari lipo kwa fundi. Siku ya siku binti akamaindi akakuta mtu mwingine anaendesha gari huyo binti akamfokea sana kwamba "wewe fundi kwa nini unazurura na gari la mpenzi wangu?" [emoji23][emoji23] Demu alimfokea huyo tajiri mno. Kumbe anafokewa bosi original anayemiliki gari. Na mshkaji alikuwa palepale [emoji23]
Bosi mwenye gari alikasirika sana, dogo alifukuzwa kazi pale pale [emoji23][emoji23][emoji23]. Na mahusiano yaliishia hapo hapo. Dogo karudi kwao anachunga mbuzi [emoji23][emoji23]
Chai boss akifukuze kazi kisa demu[emoji23][emoji23][emoji23]
Umenikumbusha stori ya dogo mmoja smart na anavaa vizuri sana. Alipataga kazi ya kuendesha gari la boss mmoja kama uber/bolt. Jamaa katika kazi zake za uber si akapata pisi moja kali sana nyeupeeee na bonge la tako. Jamaa akamdanganya pisi kuwa gari ni lake na binti akaamini. Sasa bosi mwenye gari huwa analitumiaga mara mojamoja hilo gari kuangalia hali ya gari na service. Sasa siku ambazo jamaa hana gari huwa anamdanganya demu kuwa gari lipo kwa fundi. Siku ya siku binti akamaindi akakuta mtu mwingine anaendesha gari huyo binti akamfokea sana kwamba "wewe fundi kwa nini unazurura na gari la mpenzi wangu?" [emoji23][emoji23] Demu alimfokea huyo tajiri mno. Kumbe anafokewa bosi original anayemiliki gari. Na mshkaji alikuwa palepale [emoji23]
Bosi mwenye gari alikasirika sana, dogo alifukuzwa kazi pale pale [emoji23][emoji23][emoji23]. Na mahusiano yaliishia hapo hapo. Dogo karudi kwao anachunga mbuzi [emoji23][emoji23]
Vibomu vya nini? Pm kwa nani?Nyookooo. Msilete ujinga wenu hapa eti mwanamke akakuoenda huna hela. Kila leo mnatufurumusha pm huko kwa vibomu vyenuπ€£π€£π€£π€£
Dogo yupo anachunga mbuzi. Mengine siwezi kuelezea kwa kina. Unaweza kuta bosi mwenye gari yupo humu jf ikawa msala zaidi ππ. Maana bosi mwenye gari alifokewa mno na ile pisi πππππππππChai boss akifukuze kazi kisa demu
Eti hawezi maliza chips yai
Why not mkuu, mdada akipenda anapenda kweli, maisha yanatafutwa hata hao wenye maisha mazuri walitafuta so ni suala la muda tuKwa wanawake waki Bongo ataweza kuvumilia maneno kutoka kwa rafiki zake ? Akiwaona wana maisha mazuri kupitia wapenzi wao.
Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
Sii vibomu vya hel ya salon mara bundle limekata mara sijui gass imeisha.Vibomu vya nini? Pm kwa nani?
Japo mimi si mmoja waoπ ila naamini na nna rafiki zangu wamependana na kuanzia chini pamojaMpo wachache wa hivyo na kuwafahamu ili uwatongoze sio rahisi..... ila mpo
Ushawahi kwenda pm kwa mtu humu ukaombwa hela ya hivo vitu?Sii vibomu vya hel ya salon mara bundle limekata mara sijui gass imeisha.