Wewe wa certificate utaungana na pisi kali zisizo na elimu kama wewe ni pisi kali na unajielewa, kama hujielewi hiyi certificate kafungie hata mihogo inatosha[emoji56][emoji56][emoji56]Changa vizuri karata zako utalamba garasa, nilipofika hapo kiwango cha elim ukasema angalau diploma kwa zama hizi ina mana hii certificate yangu nikafungie chapat hainaaana?
Eeeh kama wapemba, unaenda kazini pisi kali inakupikia nyumbani ukirudi ni mizagamuo tu[emoji16][emoji16][emoji16]Kwenye taasisi ambazo kazi ni za mikataba miaka mitatu au mikataba ya muda mfupi,ma hr wanatumia sana hiyo kama njia ya kumpa mwanamke wako apate mkataba mpya hata kama ni mgumu vipi akaambiwe toa k nikuongezee contract Wala haruki,Kuna washikaji flani hivi walikuwa wanasimuliana namna wanagegeda wake za watu Kwa mfumo huo.kwa kifupi kama mke wako anabosi mwanamume kazi unayo,usijiwekee bima ndugu yangu.wewe endelea kujisifu mke wangu anafanya kazi benki,au ofisi fulani.wengi wa wanawake wanaofanya kazi ni wachepukaji wakubwa sana.mwanamke anapaswa kulea watoto tuu ,Kwa kifupi tunatakiwa kuwa Kama wapemba.ndoa ndoano
100% agreed [emoji120][emoji120][emoji120]Mi naamini mwanamke akiwa na elimu ya msingi nzuri au sekondari inatosha kabisa
Elimu nzuri kuliko zote kwa mwanamke ni malezi ya familia aliyotoka na mfano WA wazazi kwenye ndoa yao mahusinao yao.
Elimu kubwa ni ziada tu na sometime inaweza kuwa chanzo cha jeuri.
Kwangu mwanamke bora anayeweza kuwa mama kwa watoto, anayeanglia mambo ya nyumban kwa ukaribu, anayeunganisha familia.
Kupata hiyo kazi tu alivuliwa chupi unaongea nn mr niceLabda wenye vyeti Fake na elimu ya kubumba
Kunya kichakani si unyama bro, unyama ni kumiliki pisi kali tu kila mtu atakuona mjanja trust meBila elimu mwanadamu anakuwaje anautu?
Kabla ya elimu kuja Watu walikuwa wanakunya vichakani na mambo mengine ya kinyama yalitamalki.
Bro usiufananishe utu na elimu unakosea Sana, hakuna uhusiano wowote Kati ya utu na elimu, laiti ingelikuwa elimu ni utu Leo hii tusingeona manyuklia na masilaha mazito mazito yanatengenezwa kwa ajili ya kuulia watu, hiyo elimu imetusaidia nini kama tunaona mauwaji ndio suluhisho, bro nikuambie kitu, kama umechoka bora kapumzike na upate usingizi wa kutosha ukiamka utanishkuru baadae, kama huelewi basi kuanzia Leo jua tu elimu kwa kiasi kikubwa imetunyanganya utu Wetu, tumekuwa wabinafsi kishenzi kwa sababu ya elimu, kitendo cha kuwaona wasiosoma hawafai kuwa wake wazuri tayari ni ubaguzi huelewi tuElimu ya darasani ni moja ya indicator ya Maendeleo sijui kama unajua hilo?
Nimeakuambia nenda jamii zilioelimika alafu njoo ambazo hazijaelimika uone zipo zenye Utu.
Ni ngumu kama huna elimu ukawa na utu.
Tunaweza kujadili kwa hoja alafu mwisho utaelewa kuwa elimu ndio inaibua na kuchochea thamani na utu wa mwanadamu.
Biblia yenyewe inasema, itafute elimu kwa maana ndio uzima wako, yaani zaidi ya utu
Unawazungumzia wanawake wapi, wenye elimu au wasio na elimu?Mnaonaga wanawake ni viumbe dhaifu sana eti !?? .... Kwa kuishi kwangu Local Government miaka 15... Wanawake ni viumbe strong... Wana mapungufu lakini Sio kama yetu wanaume .....
Mwanamke mwenye kufanya kazi za kuajiriwa ni strong female kwako wewe anaekuletea pesa nyumbani
Kwetu sisi strong female ni yule mwenye mabavu ya kuacha kazi za kuajiriwa na kuhakikisha analea watoto wake kwa mkono wake mwenyewe
Wewe ni very weak,huna pesa
Yaani unadharau mwanamke aliejinyima mpaka anabaki kulea watoto,unamwita goalkeeper?
Wewe ni weak
Male yeyote asie na pesa ni weak
Ndio maana upo hapa kulalamika eti mwanamke hafanyi kazi za kuajiriwa
Bure kabisa yaani
Mnaonaga wanawake ni viumbe dhaifu sana eti !?? .... Kwa kuishi kwangu Local Government miaka 15... Wanawake ni viumbe strong... Wana mapungufu lakini Sio kama yetu wanaume .....
Bro usiufananishe utu na elimu unakosea Sana, hakuna uhusiano wowote Kati ya utu na elimu, laiti ingelikuwa elimu ni utu Leo hii tusingeona manyuklia na masilaha mazito mazito yanatengenezwa kwa ajili ya kuulia watu, hiyo elimu imetusaidia nini kama tunaona mauwaji ndio suluhisho, bro nikuambie kitu, kama umechoka bora kapumzike na upate usingizi wa kutosha ukiamka utanishkuru baadae, kama huelewi basi kuanzia Leo jua tu elimu kwa kiasi kikubwa imetunyanganya utu Wetu, tumekuwa wabinafsi kishenzi kwa sababu ya elimu, kitendo cha kuwaona wasiosoma hawafai kuwa wake wazuri tayari ni ubaguzi huelewi tu
Kuna msanii aliimba, "i can make a broke b*tch rich but i don f*ck broke bitches" Halafu mwenzie anakazia, " When a rich nigga wants you and your nigga can't do nothing for ya". Umeongea point sana, acha wa mbagala waoane wao kwa wao ukitoka masaki ukaoe mbagala utaachwa umelala mwezio anaenda baikoko. Yaani mwanamke ambae hana shule ni ukidumu nae basi una kiwanja mbinguni moja kwa moja wanakuwaga na akili za akili za kukua wao tu.
ah mshaambiwa msituoe tusiosoma afu jobless mtagongewana ma bodaboda.. Usijtose mahi diha!nataka nikuoe princess ariana. sema su!
Tuanzie hapa , mama yako mzazi ana elimu gani? Shangazi zako Wana elimu gani?Mama zako wadogo /wakubwa Wana elimu gani?MADHARA YA KUOA MWANAMKE AMBAYE HAJASOMA NA GOLIKIPA NI HAYA!
Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli.
Nimeona kuna vijana hapa wanadanganyana na kuwa na mawazo ya kizamani.
Ati wao wataoa wanawake wenye elimu duni na wasiofanya kazi isipokuwa kazi za nyumbani (golikipa).
Sasa kwa ninyi mliofanya maamuzi ninyi sina neno na nyie kwa sababu huo ni uchaguzi wenu.
Wazo hili ni zao la kizamani ambalo msingi wake ulikuwa kwa jamii isiyoamini kama Mwanamke naye ni mtu.
Lakini ujumbe huu nimeandika ni kwa wale ambao bado hawajafanya maamuzi au hawajui wachague kipi kati ya kuoa Mke aliyesoma na anayefanya kazi za taaluma au Mke ambaye hajasoma na ambaye atakuwa mama wa nyumbani.
Yafuatayo ni madhara ya moja kwa moja ambayo utayapata kwa kuoa Mwanamke ambaye hajasoma na ambaye hana kazi yaani mama wa nyumbani;
1. Atakuwa Mwanamke Cheap na wagharama nafuu Kabisa.
Hakuna kazi rahisi kama kutongoza Mwanamke ambaye hajasoma na hana kazi. Ni rahisi kama kunywa uji wa mgonjwa. Yaani shwaaa!
Moja ya vitu vinavyompa mtu thamani kwa dunia ya leo ni Elimu.
Hata wanaume watakaomtongoza mkeo watakuwa Lundo kama siafu wekundu, hawamuogopi, wamuogope kwa kipi hasa! Lakini mdada shule ipo tena anawazidi mpaka wanaume Unafikiri hapo kuna nini.
Mpeleke mkeo ambaye hajasoma na hana kazi yoyote Kwenu siku ukitokea msiba uone jinsi atakavyotumikishwa kwa kusugua masufuria na makazi yasiyo na hadhi. Wakati huo Wake wa ndugu zao wamekaa mguu juu na hakuna kima yeyote atakayewasogelea isipokuwa wao wenyewe waamue.
Jipe hadhi kijana acha woga wa kijingajinga.
Unataka familia yako iwe cheap? Unataka watoto wako wajisikieje wakimuona mama yao(mkeo) akitumikishwa kwa kazi dhalili?
2. Mwanamke kuwa Mnafiki na kushindwa kusimama katika nafasi yake ya mke na Mama.
Mke wako hana elimu alafu hana kazi. Atawezaje kusimamia majukumu yake kama mke na kama Mama?
Mke lazima awe na elimu ya kiwango fulani angalau Diploma kwa zama hizi. Kisha awe na kijikazi au kazi ya kuingiza mapato.
Mke ni Mama wa watoto wako lakini pia ni Mama yako mlezi wakati mwingine.
Lazima uwe na Mwanamke ambaye ataweza kubeba jukumu la kukutunza na kukulea kimwili na kiroho na wakati mwingine kiakili pale ambapo utakengeuka.
Sasa unachukua Mwanamke shule hana, hana kazi, Mwanamke anakuogopa badala ya kukuheshimu kisa hana kipato.
Umekengeuka kidogo hakuna wakukurudisha kwenye mstari.
Nawajua wanaume wengi ambao wao ndio chanzo cha kuvunja nyumba zao kwa kukengeuka kwao. Aidha kutumia vibaya uanaume na ubaba wao vibaya.
3. Mkeo hataheshimiwa na Watu wa nje.
Raha ya mke aheshimiwe. Sio kila siku mke anakondeana kwa kudharaulika.
Binadamu ni kiumbe mwenye dharau Sana.
Kanisani atadharaulika. Mtaani hivyohivyo. Kisa hana elimu wala hana kazi. Yaani yupo yupo tuu.
4. Kugawa Uroda kirahisi.
Ni kweli wanawake wengi hugawa uroda lakini kuna kugawa Uroda kirahisi.
Fuatilia hata jamii yenye umalaya mwingi wanawake wao hawana elimu wala hawana kazi.
Yaani Mwanamke awe mwalimu au daktari au mwanasheria alafu awe Malaya, hiyo sio rahisi.
Ila mkeo akiwa hana elimu jua kabisa hata bodaboda hawamhofii. Yaani mwanaume yeyote anaweza kuruka naye kwa sababu mkeo ni level ya chini ambaye yeyote anaweza kutunda yake.
Lakini Mwanamke mwenye elimu na kipato ni kama Mnazi. Mpaka umpate lazima jasho likutoke na wapandaji huwa wachache.
Fikiria mkeo ni mkurugenzi Unafikiri ni wafanyakazi wake wangapi wana ujasiri wa kumtongoza? Lazima wawe na hofu.
Alafu fikiria mkeo hana elimu yoyote Unafikiri kuna mtu anamhofia kumfuata?
Hakuna!
Sasa mwanamke Watu wanatakiwa Wamheshimu yeye bila hata ya uwepo wako. Sio mkeo aheshimiwe kisa umemuoa yaani ni mke wa mtu. Hapo umepigwa.
Yaani Watu wanakuheshimu tuu wewe ndio maana hawamfuati mkeo lakini ukiwa haupo Watu wanajigaragaza. Lakini Mwanamke akiwa na kazi nzuri na elimu hata asipokuwa na mume anaheshimika na wanaume hujifikiri mara mbilimbili kumfuata.
Yote kwa yote Maisha ni ubatili. Lakini Watu wanachokazana ni kuepuka ubatili wenye maumivu, dharau, majonzi na taabu.
Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Zingatia Local Government.... Nipo vijijini na hao viumbe miaka 15 madhira na malalamiko wanayopitia na tatuzi tulizo chukua nyie .... Acheni mfumo dume...mi mtu wa Mara najua tunavyowachulia wanawake awe msomi ama laa .... Ukiachiwa maisha Yale waliyopitia niliowaona aaah weee.... Sio poa wapeni Maua yao...Unawazungumzia wanawake wapi, wenye elimu au wasio na elimu?
Yaani Mungu aseme tu ..tubadirishane majukumu....ya Mke apewe Mume ya Mume apewe Mke Kuna watu hawatoenda kazini.... Tuwaheshimu Hawa watu aseeee.... Wana ujinga wao lakini Sio kuwadharau kihivi..Hilo nakataaSi wanaokota Wanawake wajinga na Mafukara ambao wanawafuga na kuwapa amri kama watumwa wao.