Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
- Thread starter
- #241
Yaani Mungu aseme tu ..tubadirishane majukumu....ya Mke apewe Mume ya Mume apewe Mke Kuna watu hawatoenda kazini.... Tuwaheshimu Hawa watu aseeee.... Wana ujinga wao lakini Sio kuwadharau kihivi..Hilo nakataa
Rahisisha maisha Mkuu