Ni mfuasi mzuri wa makala zako, ila hii napingana nayo.
1.Atakuwa Mwanamke Cheap na wagharama nafuu Kabisa.
2.Mwanamke kuwa Mnafiki na kushindwa kusimama katika nafasi yake ya mke na Mama.
3. Mkeo hataheshimiwa na Watu wa nje.
KUWA CHEAP, MNAFIKI, HIZI NI TABIA ZA MTU YEYE KAMA YEYE.SIO KWA SBB HAJASOMA
HII YA HESHIMA TOKA KWA WATU WA NJE, kwani viwango vya elimu viko kwenye paji la uso?.
Heshima ni suala la mtazamo wa mtu, na huwezi kuishi kwa kutazamia ya watu, wanakuonaje.
Ukiniambia unaishi mbagala (nitakuchukulia poa)
na ukiniambia unaishi masaki (nitakuona una la kuongea)
Lakini huko mbagala unaweza kuwa unaishi nyumba kali zaidi kuliko za masaki!
Nafasi ya mke kuwa mama wa nyumbani ni njema na nzuri, hao ndio walezi wa watoto. ndio chimbuko la watoto marijali.Hao kina mama wa nyumbani waheshimike aiseee.
huu uzao wa 'mapapai' ni kutokana na kukosekana kwa malezi ya wazazi, mama yuko biza, baba yuko bize. Housegirl ndio mlezi wa wana
Bro hakuna watu wanaotombeka kama wanawake wanaofanya kazi, nina hakika hili unalijua.
vikao, semina, warsha, semina elekezi,safari zote hizi zinatoa uwanja mpana wa waokutombeka
Kuna wale wengine hawana hizo safari wala semina, ila ule muda wa lunch time ndio muda wa kupiga matukio.