Madhara ya kuoa Mwanamke ambaye hajasoma na Golikipa ni haya!

Madhara ya kuoa Mwanamke ambaye hajasoma na Golikipa ni haya!

Swali anafanya kazi wapi na kazi gani ?

Hakuna aliye pinga hilo la kufanya kazi shida mnaona kazi ni za maofisini na kutafuta hela. Hili sio umbile la mwanamke ndio maana kama akili yako inafanya kazi vizuri utaona Kuna faida chache na hasara kubwa mno.

Ishu sio anafanya kazi wapi au kwa nani.
Ishu ni yeye afanye kazi. Tena halali.

Hakuna sehemu nimesema kazi nizamaofisini(ukimaanisha White colour jobs).
Hata Mama ntilie NI kazi
 
Sawa, hawa wasomi na wenye kazi wanaburuzwa na mabosi au wafanyakazi wao niliambiwa nisishangae ni mambo ya kawaida maofisi vitendo vya mapenzi kuwepo. Hawa wa nyumbani walikuwa ni waaminifu wa ndoa zao ila siku hizi gharama za maisha zimepanda wanalambwa tu kirahisi kama ulivyodadavua. All in all wanawake wote wa kuoa wawe wasomi au mama wa nyumbani suala la uaminifu wa ndoa ni shughuli pevu kama hawana maadili ya dini wanaachia uroda na kufanya usaliti kwa tamaa ya kupata fedha/upendeleo. Mtu anaoa mwanamke kutokana na muono wake. Mwanamke msomi na mwenye kazi naye hutaka kuolewa na mwanaume mwenye msomi na mwenye kazi au mfanyabiashara anayemzidi kipato. Afadhali mwanaume anaweza kuoa mwanamke asiye na elimu na kazi lakini mwanamke msomi kuolewa na mwanaume asiye na elimu wala kipato. Kwa hiyo wanawake wasio na elimu wala kazi wana nafasi kubwa kuolewa, hawana nyodo, hawana manyanyaso kwa waume zao, watiifu na wanyenyekevu. Wana hofu kubwa kusaliti ndoa zao maana ikigundulika wanasaliti ndoa wataachwa
 
MADHARA YA KUOA MWANAMKE AMBAYE HAJASOMA NA GOLIKIPA NI HAYA!

Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli.

Nimeona kuna vijana hapa wanadanganyana na kuwa na mawazo ya kizamani.

Ati wao wataoa wanawake wenye elimu duni na wasiofanya kazi isipokuwa kazi za nyumbani (golikipa).

Sasa kwa ninyi mliofanya maamuzi ninyi sina neno na nyie kwa sababu huo ni uchaguzi wenu.

Wazo hili ni zao la kizamani ambalo msingi wake ulikuwa kwa jamii isiyoamini kama Mwanamke naye ni mtu.

Lakini ujumbe huu nimeandika ni kwa wale ambao bado hawajafanya maamuzi au hawajui wachague kipi kati ya kuoa Mke aliyesoma na anayefanya kazi za taaluma au Mke ambaye hajasoma na ambaye atakuwa mama wa nyumbani.

Yafuatayo ni madhara ya moja kwa moja ambayo utayapata kwa kuoa Mwanamke ambaye hajasoma na ambaye hana kazi yaani mama wa nyumbani;

1. Atakuwa Mwanamke Cheap na wagharama nafuu Kabisa.
Hakuna kazi rahisi kama kutongoza Mwanamke ambaye hajasoma na hana kazi. Ni rahisi kama kunywa uji wa mgonjwa. Yaani shwaaa!

Moja ya vitu vinavyompa mtu thamani kwa dunia ya leo ni Elimu.

Hata wanaume watakaomtongoza mkeo watakuwa Lundo kama siafu wekundu, hawamuogopi, wamuogope kwa kipi hasa! Lakini mdada shule ipo tena anawazidi mpaka wanaume Unafikiri hapo kuna nini.

Mpeleke mkeo ambaye hajasoma na hana kazi yoyote Kwenu siku ukitokea msiba uone jinsi atakavyotumikishwa kwa kusugua masufuria na makazi yasiyo na hadhi. Wakati huo Wake wa ndugu zao wamekaa mguu juu na hakuna kima yeyote atakayewasogelea isipokuwa wao wenyewe waamue.

Jipe hadhi kijana acha woga wa kijingajinga.

Unataka familia yako iwe cheap? Unataka watoto wako wajisikieje wakimuona mama yao(mkeo) akitumikishwa kwa kazi dhalili?

2. Mwanamke kuwa Mnafiki na kushindwa kusimama katika nafasi yake ya mke na Mama.
Mke wako hana elimu alafu hana kazi. Atawezaje kusimamia majukumu yake kama mke na kama Mama?

Mke lazima awe na elimu ya kiwango fulani angalau Diploma kwa zama hizi. Kisha awe na kijikazi au kazi ya kuingiza mapato.

Mke ni Mama wa watoto wako lakini pia ni Mama yako mlezi wakati mwingine.

Lazima uwe na Mwanamke ambaye ataweza kubeba jukumu la kukutunza na kukulea kimwili na kiroho na wakati mwingine kiakili pale ambapo utakengeuka.

Sasa unachukua Mwanamke shule hana, hana kazi, Mwanamke anakuogopa badala ya kukuheshimu kisa hana kipato.

Umekengeuka kidogo hakuna wakukurudisha kwenye mstari.

Nawajua wanaume wengi ambao wao ndio chanzo cha kuvunja nyumba zao kwa kukengeuka kwao. Aidha kutumia vibaya uanaume na ubaba wao vibaya.

3. Mkeo hataheshimiwa na Watu wa nje.

Raha ya mke aheshimiwe. Sio kila siku mke anakondeana kwa kudharaulika.

Binadamu ni kiumbe mwenye dharau Sana.

Kanisani atadharaulika. Mtaani hivyohivyo. Kisa hana elimu wala hana kazi. Yaani yupo yupo tuu.

4. Kugawa Uroda kirahisi.
Ni kweli wanawake wengi hugawa uroda lakini kuna kugawa Uroda kirahisi.

Fuatilia hata jamii yenye umalaya mwingi wanawake wao hawana elimu wala hawana kazi.

Yaani Mwanamke awe mwalimu au daktari au mwanasheria alafu awe Malaya, hiyo sio rahisi.

Ila mkeo akiwa hana elimu jua kabisa hata bodaboda hawamhofii. Yaani mwanaume yeyote anaweza kuruka naye kwa sababu mkeo ni level ya chini ambaye yeyote anaweza kutunda yake.

Lakini Mwanamke mwenye elimu na kipato ni kama Mnazi. Mpaka umpate lazima jasho likutoke na wapandaji huwa wachache.

Fikiria mkeo ni mkurugenzi Unafikiri ni wafanyakazi wake wangapi wana ujasiri wa kumtongoza? Lazima wawe na hofu.

Alafu fikiria mkeo hana elimu yoyote Unafikiri kuna mtu anamhofia kumfuata?
Hakuna!

Sasa mwanamke Watu wanatakiwa Wamheshimu yeye bila hata ya uwepo wako. Sio mkeo aheshimiwe kisa umemuoa yaani ni mke wa mtu. Hapo umepigwa.

Yaani Watu wanakuheshimu tuu wewe ndio maana hawamfuati mkeo lakini ukiwa haupo Watu wanajigaragaza. Lakini Mwanamke akiwa na kazi nzuri na elimu hata asipokuwa na mume anaheshimika na wanaume hujifikiri mara mbilimbili kumfuata.

Yote kwa yote Maisha ni ubatili. Lakini Watu wanachokazana ni kuepuka ubatili wenye maumivu, dharau, majonzi na taabu.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Hapa umejidanganya, ni mtazamo wako ambao watu wengi wala hawawezi kuukubali, swala la mwanamke kua cheap au kupitiwa na watu wengine hovyo, tunao pia maofisini, na wako wanawake hawakusoma kabisa lakini Wana heshimika sana, kwa nidhamu, heshima,upole na kubeba majukumu yao.

Wewe bandiko lako linaonyesha umewawaza tu wanaume ambao wanajitafuta, wenye maisha duni na ya kati, kua wawe na wanawake wasomi labda kwa namna moja ama nyingine watakua na ahueni ya maisha, la hasha!!!

Ziko familia tunazijua za hovyo kabisa ktk kila mahala na wanawake hao wana elimu kubwa, pia ziko familia zenye kila aina y uzuri na kujifunza kutoka kwao, lakini wanawake zao ni wale wenye kujua kusoma na kuandika tu.

Kumbuka maisha ni mtazamo tu wa kila mmoja kwenye mawazo yake na jinsi anavyo weza kuongoza mambo yake

Kila mwanadamu ni Bora hapa Duniani kwa namna yake.
 
Ishu sio anafanya kazi wapi au kwa nani.
Ishu ni yeye afanye kazi. Tena halali.

Hakuna sehemu nimesema kazi nizamaofisini(ukimaanisha White colour jobs).
Hata Mama ntilie NI kazi
Ndio maana nikasema kutafuta si umbile la mwanamke, ndio maana Kuna madhara mengi kuliko manufaa.

Wewe huoni madhara ya mwanamke kufanya kazi ? Msijidai hamnazo.
 
Haya ni mawazo ya mtu ambaye anaamini kwenye ufeminism.

1.Elimu ya mke itakusaidia nini?
Wangapi wamewatafuta vipanga na waliopanda vidato mpaka vyuo vikuu ila wakija kuishi nao, wanagundua nje ya Ile karatasi hawana lolote.

2.Kibarua Cha Mwanamke hakina msaada kwa Mume au kwa familia.
Naam wengi wa waliooa wanakiri wazi kabisa pesa na marupurupu ya mwanamke hayana msaada kwa familia yao, watoto wao hadi wao wenyewe kifupi matumizi yao hayatambuliki na hayahojiki kabisa.

3.Kutoa uroda bila kujali Ndoa zao?
Hapa ni hatari, hivi viumbe vinanyanduliwa kuliko maelezo huko makazini, vyuoni.
Kumbuka wako radhi kufanya chochote

4. Kipaumbele ni Taaluma zao
Sijui niseme nini? Ila tambua wanawake hawa familia ndio kitu Cha mwisho na Mume ni kama takataka.

5.Malaya kwenye Career zao na kupenda dezo.

Hili linafahamika na sitaki kulieleza sana.

6. Familia kukosa Uangalizi na Malezi ya mama.
Ndio fatilia familia za namna hii uone watoto wanavyolelewa na mahouse girl au kujilea wenyewe.

7.Mmong'onyoko wa Maadili

8.Baba ndevu, Mama Ndevu
Nadhani fatilieni mahakamani aina hii ya muungano na mwisho wake.

Nitaendelea..............
You nailed bro'
 
Wengi wanatoa povu lakini ndio ukweli, wanawake wasioenda shule wana mambo ya kijinga sana. Huwa wanatongozwa sana na wanaona wao bora kumbe ni cheap. Bodaboda hawezi kutongoza mwanamke anamuona anatoka anenda ofisini kama sio jasiri haswa. Juzi nimeachana na dada mmoja aliniambia katongozwa na kijamaa cha 20 years yeye ana 32 nikamwambia kuna namna unajiweka ndio maana hadi watoto wanaona wanakumudu, cha kufanya tuachane ila badilika. Nilishaimba sana kuhusu uvaaji wake, havai nusu uchi lakini anvaa mitumba sana yaani ana nguo zimemruka lakini yumo tu, nikimpeleka shopping hachangui nguo za maana zaidi ya tracks tu zile ambazo huwezi kuvaa hata kama una mtoko. nikaona isiwe taabu yahe.
 
Wengi wanatoa povu lakini ndio ukweli, wanawake wasioenda shule wana mambo ya kijinga sana. Huwa wanatongozwa sana na wanaona wao bora kumbe ni cheap. Bodaboda hawezi kutongoza mwanamke anamuona anatoka anenda ofisini kama sio jasiri haswa. Juzi nimeachana na dada mmoja aliniambia katongozwa na kijamaa cha 20 years yeye ana 32 nikamwambia kuna namna unajiweka ndio maana hadi watoto wanaona wanakumudu, cha kufanya tuachane ila badilika. Nilishaimba sana kuhusu uvaaji wake, havai nusu uchi lakini anvaa mitumba sana yaani ana nguo zimemruka lakini yumo tu, nikimpeleka shopping hachangui nguo za maana zaidi ya tracks tu zile ambazo huwezi kuvaa hata kama una mtoko. nikaona isiwe taabu yahe.

Hawawezi kukuelewa
 
Ukiwa na hela utaheshimika wewe mkeo atapata heshima kupitia wewe lakini yeye kama yeye bila wewe hana heshima yake mwenyewe.

Siku ukifa na pesa zako ndio utajua kama huyo mkeo asiye na elimu wala kazi ataheshimiwa au ndio ile kunyanyaswa na kuteseka.
Kila saa ukifa, ukifa. Haya ya kifo mbona unayatilia maanani sana, kwani lazima uanze wewe kufa. Binafsi naona ukitaka kuoa usitangulize kisomo au kazi kama kigezo bali sifa za muhimu za mke bila kujali hali ya kisomo chake au iwe ana kazi au hana. Natamani wote tungesimamia hapa. Tukisema tutangulize kazi kama kugezo hiyo ni dalili ya kutojiamini kwa mwanaume na kushindwa kutengeneza dira itakayosaidia familia hata baada ya kutokuepo kwake.
 
Haya ni mawazo ya mtu ambaye anaamini kwenye ufeminism.

1.Elimu ya mke itakusaidia nini?
Wangapi wamewatafuta vipanga na waliopanda vidato mpaka vyuo vikuu ila wakija kuishi nao, wanagundua nje ya Ile karatasi hawana lolote.

2.Kibarua Cha Mwanamke hakina msaada kwa Mume au kwa familia.
Naam wengi wa waliooa wanakiri wazi kabisa pesa na marupurupu ya mwanamke hayana msaada kwa familia yao, watoto wao hadi wao wenyewe kifupi matumizi yao hayatambuliki na hayahojiki kabisa.

3.Kutoa uroda bila kujali Ndoa zao?
Hapa ni hatari, hivi viumbe vinanyanduliwa kuliko maelezo huko makazini, vyuoni.
Kumbuka wako radhi kufanya chochote

4. Kipaumbele ni Taaluma zao
Sijui niseme nini? Ila tambua wanawake hawa familia ndio kitu Cha mwisho na Mume ni kama takataka.

5.Malaya kwenye Career zao na kupenda dezo.

Hili linafahamika na sitaki kulieleza sana.

6. Familia kukosa Uangalizi na Malezi ya mama.
Ndio fatilia familia za namna hii uone watoto wanavyolelewa na mahouse girl au kujilea wenyewe.

7.Mmong'onyoko wa Maadili

8.Baba ndevu, Mama Ndevu
Nadhani fatilieni mahakamani aina hii ya muungano na mwisho wake.

Nitaendelea..............
majibu bora kabisa
 
MADHARA YA KUOA MWANAMKE AMBAYE HAJASOMA NA GOLIKIPA NI HAYA!

Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli.

Nimeona kuna vijana hapa wanadanganyana na kuwa na mawazo ya kizamani.

Ati wao wataoa wanawake wenye elimu duni na wasiofanya kazi isipokuwa kazi za nyumbani (golikipa).

Sasa kwa ninyi mliofanya maamuzi ninyi sina neno na nyie kwa sababu huo ni uchaguzi wenu.

Wazo hili ni zao la kizamani ambalo msingi wake ulikuwa kwa jamii isiyoamini kama Mwanamke naye ni mtu.

Lakini ujumbe huu nimeandika ni kwa wale ambao bado hawajafanya maamuzi au hawajui wachague kipi kati ya kuoa Mke aliyesoma na anayefanya kazi za taaluma au Mke ambaye hajasoma na ambaye atakuwa mama wa nyumbani.

Yafuatayo ni madhara ya moja kwa moja ambayo utayapata kwa kuoa Mwanamke ambaye hajasoma na ambaye hana kazi yaani mama wa nyumbani;

1. Atakuwa Mwanamke Cheap na wagharama nafuu Kabisa.
Hakuna kazi rahisi kama kutongoza Mwanamke ambaye hajasoma na hana kazi. Ni rahisi kama kunywa uji wa mgonjwa. Yaani shwaaa!

Moja ya vitu vinavyompa mtu thamani kwa dunia ya leo ni Elimu.

Hata wanaume watakaomtongoza mkeo watakuwa Lundo kama siafu wekundu, hawamuogopi, wamuogope kwa kipi hasa! Lakini mdada shule ipo tena anawazidi mpaka wanaume Unafikiri hapo kuna nini.

Mpeleke mkeo ambaye hajasoma na hana kazi yoyote Kwenu siku ukitokea msiba uone jinsi atakavyotumikishwa kwa kusugua masufuria na makazi yasiyo na hadhi. Wakati huo Wake wa ndugu zao wamekaa mguu juu na hakuna kima yeyote atakayewasogelea isipokuwa wao wenyewe waamue.

Jipe hadhi kijana acha woga wa kijingajinga.

Unataka familia yako iwe cheap? Unataka watoto wako wajisikieje wakimuona mama yao(mkeo) akitumikishwa kwa kazi dhalili?

2. Mwanamke kuwa Mnafiki na kushindwa kusimama katika nafasi yake ya mke na Mama.
Mke wako hana elimu alafu hana kazi. Atawezaje kusimamia majukumu yake kama mke na kama Mama?

Mke lazima awe na elimu ya kiwango fulani angalau Diploma kwa zama hizi. Kisha awe na kijikazi au kazi ya kuingiza mapato.

Mke ni Mama wa watoto wako lakini pia ni Mama yako mlezi wakati mwingine.

Lazima uwe na Mwanamke ambaye ataweza kubeba jukumu la kukutunza na kukulea kimwili na kiroho na wakati mwingine kiakili pale ambapo utakengeuka.

Sasa unachukua Mwanamke shule hana, hana kazi, Mwanamke anakuogopa badala ya kukuheshimu kisa hana kipato.

Umekengeuka kidogo hakuna wakukurudisha kwenye mstari.

Nawajua wanaume wengi ambao wao ndio chanzo cha kuvunja nyumba zao kwa kukengeuka kwao. Aidha kutumia vibaya uanaume na ubaba wao vibaya.

3. Mkeo hataheshimiwa na Watu wa nje.

Raha ya mke aheshimiwe. Sio kila siku mke anakondeana kwa kudharaulika.

Binadamu ni kiumbe mwenye dharau Sana.

Kanisani atadharaulika. Mtaani hivyohivyo. Kisa hana elimu wala hana kazi. Yaani yupo yupo tuu.

4. Kugawa Uroda kirahisi.
Ni kweli wanawake wengi hugawa uroda lakini kuna kugawa Uroda kirahisi.

Fuatilia hata jamii yenye umalaya mwingi wanawake wao hawana elimu wala hawana kazi.

Yaani Mwanamke awe mwalimu au daktari au mwanasheria alafu awe Malaya, hiyo sio rahisi.

Ila mkeo akiwa hana elimu jua kabisa hata bodaboda hawamhofii. Yaani mwanaume yeyote anaweza kuruka naye kwa sababu mkeo ni level ya chini ambaye yeyote anaweza kutunda yake.

Lakini Mwanamke mwenye elimu na kipato ni kama Mnazi. Mpaka umpate lazima jasho likutoke na wapandaji huwa wachache.

Fikiria mkeo ni mkurugenzi Unafikiri ni wafanyakazi wake wangapi wana ujasiri wa kumtongoza? Lazima wawe na hofu.

Alafu fikiria mkeo hana elimu yoyote Unafikiri kuna mtu anamhofia kumfuata?
Hakuna!

Sasa mwanamke Watu wanatakiwa Wamheshimu yeye bila hata ya uwepo wako. Sio mkeo aheshimiwe kisa umemuoa yaani ni mke wa mtu. Hapo umepigwa.

Yaani Watu wanakuheshimu tuu wewe ndio maana hawamfuati mkeo lakini ukiwa haupo Watu wanajigaragaza. Lakini Mwanamke akiwa na kazi nzuri na elimu hata asipokuwa na mume anaheshimika na wanaume hujifikiri mara mbilimbili kumfuata.

Yote kwa yote Maisha ni ubatili. Lakini Watu wanachokazana ni kuepuka ubatili wenye maumivu, dharau, majonzi na taabu.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Unaoa mke au unaoa elimu? Vijana acheni kulelewa tafuteni hela, mwanamke ni pambo la ndani
 
Haya ni mawazo ya mtu ambaye anaamini kwenye ufeminism.

1.Elimu ya mke itakusaidia nini?
Wangapi wamewatafuta vipanga na waliopanda vidato mpaka vyuo vikuu ila wakija kuishi nao, wanagundua nje ya Ile karatasi hawana lolote.

2.Kibarua Cha Mwanamke hakina msaada kwa Mume au kwa familia.
Naam wengi wa waliooa wanakiri wazi kabisa pesa na marupurupu ya mwanamke hayana msaada kwa familia yao, watoto wao hadi wao wenyewe kifupi matumizi yao hayatambuliki na hayahojiki kabisa.

3.Kutoa uroda bila kujali Ndoa zao?
Hapa ni hatari, hivi viumbe vinanyanduliwa kuliko maelezo huko makazini, vyuoni.
Kumbuka wako radhi kufanya chochote

4. Kipaumbele ni Taaluma zao
Sijui niseme nini? Ila tambua wanawake hawa familia ndio kitu Cha mwisho na Mume ni kama takataka.

5.Malaya kwenye Career zao na kupenda dezo.

Hili linafahamika na sitaki kulieleza sana.

6. Familia kukosa Uangalizi na Malezi ya mama.
Ndio fatilia familia za namna hii uone watoto wanavyolelewa na mahouse girl au kujilea wenyewe.

7.Mmong'onyoko wa Maadili

8.Baba ndevu, Mama Ndevu
Nadhani fatilieni mahakamani aina hii ya muungano na mwisho wake.

Nitaendelea..............
Nakazia kwenye namba 3 na 4 hapo ndio hatari zaidi kwa hawa watu.
Kumbuka kila siku asubuhi mme anatoka kwenda kazini na yeye anatoka kwenda kazini akishafika kule anakuwa huru kufanya chochote anachojisikia na mme hana habari.
Na kingine kazini anakofanya kazi kutatokea semina na sherehe mbalimbali mbalimbali ambazo watasafiri na kulazimika kukesha au kulala hukohuko sasa kama kuna mfanyakazi mwenzake au Boss anamtaka kimapenzi huko ndio hutumika hiyo nafasi kumaliza kila kitu wakati mme ameachwa peke yake nyumbani alee watoto.
Kitu kingine mke asiye na kazi au asiyesoma anaiheshimu ndoa na kuihesabia kama ajira kwake so akianza tabia chafu ukimtishia talaka anajirudi na kuwa mwema kinyume na mwanamke mwenye elimu na kazi yake hana cha kutishika ukimtajia talaka anakujibu nipe hata leo ukitaka wewe kama nani kwenye maisha yangu.
Na kama mlichuma mali wote mkiachana hilo balaa lingine anajua haki zake zote na ana pesa ya kumlipa wakili ili akukandamize kabisa.
 
Back
Top Bottom