Madhara ya kuoa Mwanamke ambaye hajasoma na Golikipa ni haya!

Madhara ya kuoa Mwanamke ambaye hajasoma na Golikipa ni haya!

Bila elimu mwanadamu anakuwaje anautu?
Kabla ya elimu kuja Watu walikuwa wanakunya vichakani na mambo mengine ya kinyama yalitamalki.
Nashauri Waziri wa kilimo na Afya na wataalamu wao wakutane wakubaliane Utaratibu wa kunya vichakani urudishwe kurudisha rutuba ya Ardhi kupunguza gharama za kuagiza mbolea nje ya nchi Kwa pesa za kigeni na kuwa si sahihi kunya ndani ya nyumba Kwa kisingizio Cha self contained

Ulaya na Marekani Wana shida ya Ardhi ndio maana wanakunya ndani ya nyumba sisi ardhi tunayo kibao hasa vijijini watu wanye vichakani kurutubisha ardhi tuachane na kuagiza mbolea nje nchi
 
Kwa karne hii kuoa mke asiye na elimu nako ni kupitwa na wakati.
Yaani shule zilivvyozagaa, vyuo vilivyotapakaa alafu binti ninayemuoa asiwe na elimu hata ya kadiploma. Big noo!
Mbona hata kidato cha nne ni elimu kubwa tu na wanamudu mazingira yao vyedi na wengine ni wafanyabiashara wazuri na sio magolikipa.

Ujue kua na elimu kubwa sio guarantee ya kua na akili ya maisha.

Watu wanawakimbia hao wanavyo kwasababu ya ujinga wao mwingi, bibi yetu faiza hupenda kusema "walienda shule kusomea ujinga"

Wengi wanapenda maisha ya show off, ana kipato kizuri lakini hakina impacy yoyote kwenye familia yenu badala yake atakitumia kuleta majanga tu.

Mbaya zaidi ni wanakua na msururu wa maex na hiyo ndo mbaya zaidi.

Wanazagamuliw kishenzi
 
Huyu hajafanya itafiti wa kutosha wanamle akisoma sana hawezi kuolewa na akiolewa haeezi kaa kwenye ndoa Wamamakivuno sana ndo maama form for na lasaba ndo wanaolewa sana siku hizi
 
Silaha ni kwaajili ya kujilinda.

Bila elimu Mwanadamu anautu gani?
Bila elimu Watu wangekuwa wanatembea uchi hapa, wangekuwa wanakunya nje, wangekuwa wanakula vitu vichafu, bila elimu utu wa mtu uko wapi?
Labda ingelikuwa busara tuanze kujadiliana kuhusu utu ni nini ndio tungeelewana vizuri maana unayoyasema wewe kwangu mimi naona hayahusiani kabisa, kama kutembea uchi au kuvaa nguo ina uhusiano na utu basi ustaarabu usingekuwepo ndugu.
 
Alafu wanawake wasio na elimu na wasio nakazi kuwadharau na kuwanyanyasa ndio wanaona kuwa ni mke Bora.
Yaani mwanaume hata afanye mabaya wao kwa vile ni magendaeka hawajui nini chakufanya wanavumilia mateso tuu
Mkuu kuna wanawake wanaelimu kubwa kukushinda wewe na hata iweje huwezi kuwafikia lakini wapo kwenye mahusiano mabovu na wanapelekeshwa kuliko hao wajinga uwasemao wewe, dunia ni pana hii tusijifungie kwenye boksi
 
Zingatia Local Government.... Nipo vijijini na hao viumbe miaka 15 madhira na malalamiko wanayopitia na tatuzi tulizo chukua nyie .... Acheni mfumo dume...mi mtu wa Mara najua tunavyowachulia wanawake awe msomi ama laa .... Ukiachiwa maisha Yale waliyopitia niliowaona aaah weee.... Sio poa wapeni Maua yao...
Mimi local government najua local government tax administration tu ndio niliyosomea hayo mengine mimi siyajui
 
Elimu ni nini?
Embu tuanzie hapo kujadili ili tukubaliane,

Kujistili na maswala ya choo ni ustaharabu,
Je, kipi lilianza kati ya elimu na ustaharabu?

Utu ni nini?

Nini tofauti ya utu na ustaharabu?

Bila elimu, utu na ustaharabu hakuna?

Tukubaliane elimu hii ni ya kiwango kipi?
Maana elimu ni Pana sana.

Mwanamke Msomi ni nani?
Na usomi wake unatakiwa uanzie hatua gani?
Mkuu umeuliza kama mimi huyu mtu sijui wa wapi aisee yuko nyuma sana kuwaelewa wanawake, labda ujana wake hakuwa karibu nao kuweza kuwasoma,
 
MADHARA YA KUOA MWANAMKE AMBAYE HAJASOMA NA GOLIKIPA NI HAYA!

Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli.

Nimeona kuna vijana hapa wanadanganyana na kuwa na mawazo ya kizamani.

Ati wao wataoa wanawake wenye elimu duni na wasiofanya kazi isipokuwa kazi za nyumbani (golikipa).

Sasa kwa ninyi mliofanya maamuzi ninyi sina neno na nyie kwa sababu huo ni uchaguzi wenu.

Wazo hili ni zao la kizamani ambalo msingi wake ulikuwa kwa jamii isiyoamini kama Mwanamke naye ni mtu.

Lakini ujumbe huu nimeandika ni kwa wale ambao bado hawajafanya maamuzi au hawajui wachague kipi kati ya kuoa Mke aliyesoma na anayefanya kazi za taaluma au Mke ambaye hajasoma na ambaye atakuwa mama wa nyumbani.

Yafuatayo ni madhara ya moja kwa moja ambayo utayapata kwa kuoa Mwanamke ambaye hajasoma na ambaye hana kazi yaani mama wa nyumbani;

1. Atakuwa Mwanamke Cheap na wagharama nafuu Kabisa.
Hakuna kazi rahisi kama kutongoza Mwanamke ambaye hajasoma na hana kazi. Ni rahisi kama kunywa uji wa mgonjwa. Yaani shwaaa!

Moja ya vitu vinavyompa mtu thamani kwa dunia ya leo ni Elimu.

Hata wanaume watakaomtongoza mkeo watakuwa Lundo kama siafu wekundu, hawamuogopi, wamuogope kwa kipi hasa! Lakini mdada shule ipo tena anawazidi mpaka wanaume Unafikiri hapo kuna nini.

Mpeleke mkeo ambaye hajasoma na hana kazi yoyote Kwenu siku ukitokea msiba uone jinsi atakavyotumikishwa kwa kusugua masufuria na makazi yasiyo na hadhi. Wakati huo Wake wa ndugu zao wamekaa mguu juu na hakuna kima yeyote atakayewasogelea isipokuwa wao wenyewe waamue.

Jipe hadhi kijana acha woga wa kijingajinga.

Unataka familia yako iwe cheap? Unataka watoto wako wajisikieje wakimuona mama yao(mkeo) akitumikishwa kwa kazi dhalili?

2. Mwanamke kuwa Mnafiki na kushindwa kusimama katika nafasi yake ya mke na Mama.
Mke wako hana elimu alafu hana kazi. Atawezaje kusimamia majukumu yake kama mke na kama Mama?

Mke lazima awe na elimu ya kiwango fulani angalau Diploma kwa zama hizi. Kisha awe na kijikazi au kazi ya kuingiza mapato.

Mke ni Mama wa watoto wako lakini pia ni Mama yako mlezi wakati mwingine.

Lazima uwe na Mwanamke ambaye ataweza kubeba jukumu la kukutunza na kukulea kimwili na kiroho na wakati mwingine kiakili pale ambapo utakengeuka.

Sasa unachukua Mwanamke shule hana, hana kazi, Mwanamke anakuogopa badala ya kukuheshimu kisa hana kipato.

Umekengeuka kidogo hakuna wakukurudisha kwenye mstari.

Nawajua wanaume wengi ambao wao ndio chanzo cha kuvunja nyumba zao kwa kukengeuka kwao. Aidha kutumia vibaya uanaume na ubaba wao vibaya.

3. Mkeo hataheshimiwa na Watu wa nje.

Raha ya mke aheshimiwe. Sio kila siku mke anakondeana kwa kudharaulika.

Binadamu ni kiumbe mwenye dharau Sana.

Kanisani atadharaulika. Mtaani hivyohivyo. Kisa hana elimu wala hana kazi. Yaani yupo yupo tuu.

4. Kugawa Uroda kirahisi.
Ni kweli wanawake wengi hugawa uroda lakini kuna kugawa Uroda kirahisi.

Fuatilia hata jamii yenye umalaya mwingi wanawake wao hawana elimu wala hawana kazi.

Yaani Mwanamke awe mwalimu au daktari au mwanasheria alafu awe Malaya, hiyo sio rahisi.

Ila mkeo akiwa hana elimu jua kabisa hata bodaboda hawamhofii. Yaani mwanaume yeyote anaweza kuruka naye kwa sababu mkeo ni level ya chini ambaye yeyote anaweza kutunda yake.

Lakini Mwanamke mwenye elimu na kipato ni kama Mnazi. Mpaka umpate lazima jasho likutoke na wapandaji huwa wachache.

Fikiria mkeo ni mkurugenzi Unafikiri ni wafanyakazi wake wangapi wana ujasiri wa kumtongoza? Lazima wawe na hofu.

Alafu fikiria mkeo hana elimu yoyote Unafikiri kuna mtu anamhofia kumfuata?
Hakuna!

Sasa mwanamke Watu wanatakiwa Wamheshimu yeye bila hata ya uwepo wako. Sio mkeo aheshimiwe kisa umemuoa yaani ni mke wa mtu. Hapo umepigwa.

Yaani Watu wanakuheshimu tuu wewe ndio maana hawamfuati mkeo lakini ukiwa haupo Watu wanajigaragaza. Lakini Mwanamke akiwa na kazi nzuri na elimu hata asipokuwa na mume anaheshimika na wanaume hujifikiri mara mbilimbili kumfuata.

Yote kwa yote Maisha ni ubatili. Lakini Watu wanachokazana ni kuepuka ubatili wenye maumivu, dharau, majonzi na taabu.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Mada yako na ngeleta maana kama ingejikita kwenye maadili hasa.

Lakini asikwambie mtu bora uoe mwanamke mwenye asiye na elimu ila akawa mchamungu, kwani akiwa mchamungu anakusanya vyote.

Ila hakuna Wanawake wajinga katika mgongo huu wa ardhi kushinda Hawa Wanawake walio soma secular wenye kazi zao tena wakiwa si wachamungu (Kwa maana ya dini na tabia njema).
 
Zama za mama zetu na leo ni mbili tofauti.

Huwezi fananisha Mwanamke wa miaka ya 70 kurudi nyuma na hawa wa tisini kuja tulipo
Zama zinabadilika tubakubali, ila Kuna vitu havipitwi na wakati, kama asili na majukumu ya mwanadamu yanayotokana na maumbile yao.

Umbile la mwanamke ni kukaa nyumbani hii ndio asili. Ona kinachotokea baada ya mwanamke kutolewa nyumbani ? Leo wote sisi mashahidi.
 
Mada yako na ngeleta maana kama ingejikita kwenye maadili hasa.

Lakini asikwambie mtu bora uoe mwanamke mwenye asiye na elimu ila akawa mchamungu, kwani akiwa mchamungu anakusanya vyote.

Ila hakuna Wanawake wajinga katika mgongo huu wa ardhi kushinda Hawa Wanawake walio soma secular wenye kazi zao tena wakiwa si wachamungu (Kwa maana ya dini na tabia njema).
UUpo sahihi kabisa
Lakini maadili ya kimungu bila elimu dunia nayo ndio huzalisha mambo ya kina Wafuasi wa Mwamposa na Watu wenye itikadi kali
 
Zama zinabadilika tubakubali, ila Kuna vitu havipitwi na wakati, kama asili na majukumu ya mwanadamu yanayotokana na maumbile yao.

Umbile la mwanamke ni kukaa nyumbani hii ndio asili. Ona kinachotokea baada ya mwanamke kutolewa nyumbani ? Leo wote sisi mashahidi.

Mwanamke hajaumbwa kukaa nyumbani mkuu.
Sema maumbile yake ameumbiwa kazi zisizohitaji nguvu wala shurba. Na hizo kazi siku hizi ni nyingi.

Bi. Khadija alikuwa mfanyabiashara.
Katika uislamu kuna vigezo vitatu vikuu vya kuchagua Mke bora.
Kufanya kazi ni sehemu ya vigezo hivyo ili amiliki Mali
 
MADHARA YA KUOA MWANAMKE AMBAYE HAJASOMA NA GOLIKIPA NI HAYA!

Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli.

Nimeona kuna vijana hapa wanadanganyana na kuwa na mawazo ya kizamani.

Ati wao wataoa wanawake wenye elimu duni na wasiofanya kazi isipokuwa kazi za nyumbani (golikipa).

Sasa kwa ninyi mliofanya maamuzi ninyi sina neno na nyie kwa sababu huo ni uchaguzi wenu.

Wazo hili ni zao la kizamani ambalo msingi wake ulikuwa kwa jamii isiyoamini kama Mwanamke naye ni mtu.

Lakini ujumbe huu nimeandika ni kwa wale ambao bado hawajafanya maamuzi au hawajui wachague kipi kati ya kuoa Mke aliyesoma na anayefanya kazi za taaluma au Mke ambaye hajasoma na ambaye atakuwa mama wa nyumbani.

Yafuatayo ni madhara ya moja kwa moja ambayo utayapata kwa kuoa Mwanamke ambaye hajasoma na ambaye hana kazi yaani mama wa nyumbani;

1. Atakuwa Mwanamke Cheap na wagharama nafuu Kabisa.
Hakuna kazi rahisi kama kutongoza Mwanamke ambaye hajasoma na hana kazi. Ni rahisi kama kunywa uji wa mgonjwa. Yaani shwaaa!

Moja ya vitu vinavyompa mtu thamani kwa dunia ya leo ni Elimu.

Hata wanaume watakaomtongoza mkeo watakuwa Lundo kama siafu wekundu, hawamuogopi, wamuogope kwa kipi hasa! Lakini mdada shule ipo tena anawazidi mpaka wanaume Unafikiri hapo kuna nini.

Mpeleke mkeo ambaye hajasoma na hana kazi yoyote Kwenu siku ukitokea msiba uone jinsi atakavyotumikishwa kwa kusugua masufuria na makazi yasiyo na hadhi. Wakati huo Wake wa ndugu zao wamekaa mguu juu na hakuna kima yeyote atakayewasogelea isipokuwa wao wenyewe waamue.

Jipe hadhi kijana acha woga wa kijingajinga.

Unataka familia yako iwe cheap? Unataka watoto wako wajisikieje wakimuona mama yao(mkeo) akitumikishwa kwa kazi dhalili?

2. Mwanamke kuwa Mnafiki na kushindwa kusimama katika nafasi yake ya mke na Mama.
Mke wako hana elimu alafu hana kazi. Atawezaje kusimamia majukumu yake kama mke na kama Mama?

Mke lazima awe na elimu ya kiwango fulani angalau Diploma kwa zama hizi. Kisha awe na kijikazi au kazi ya kuingiza mapato.

Mke ni Mama wa watoto wako lakini pia ni Mama yako mlezi wakati mwingine.

Lazima uwe na Mwanamke ambaye ataweza kubeba jukumu la kukutunza na kukulea kimwili na kiroho na wakati mwingine kiakili pale ambapo utakengeuka.

Sasa unachukua Mwanamke shule hana, hana kazi, Mwanamke anakuogopa badala ya kukuheshimu kisa hana kipato.

Umekengeuka kidogo hakuna wakukurudisha kwenye mstari.

Nawajua wanaume wengi ambao wao ndio chanzo cha kuvunja nyumba zao kwa kukengeuka kwao. Aidha kutumia vibaya uanaume na ubaba wao vibaya.

3. Mkeo hataheshimiwa na Watu wa nje.

Raha ya mke aheshimiwe. Sio kila siku mke anakondeana kwa kudharaulika.

Binadamu ni kiumbe mwenye dharau Sana.

Kanisani atadharaulika. Mtaani hivyohivyo. Kisa hana elimu wala hana kazi. Yaani yupo yupo tuu.

4. Kugawa Uroda kirahisi.
Ni kweli wanawake wengi hugawa uroda lakini kuna kugawa Uroda kirahisi.

Fuatilia hata jamii yenye umalaya mwingi wanawake wao hawana elimu wala hawana kazi.

Yaani Mwanamke awe mwalimu au daktari au mwanasheria alafu awe Malaya, hiyo sio rahisi.

Ila mkeo akiwa hana elimu jua kabisa hata bodaboda hawamhofii. Yaani mwanaume yeyote anaweza kuruka naye kwa sababu mkeo ni level ya chini ambaye yeyote anaweza kutunda yake.

Lakini Mwanamke mwenye elimu na kipato ni kama Mnazi. Mpaka umpate lazima jasho likutoke na wapandaji huwa wachache.

Fikiria mkeo ni mkurugenzi Unafikiri ni wafanyakazi wake wangapi wana ujasiri wa kumtongoza? Lazima wawe na hofu.

Alafu fikiria mkeo hana elimu yoyote Unafikiri kuna mtu anamhofia kumfuata?
Hakuna!

Sasa mwanamke Watu wanatakiwa Wamheshimu yeye bila hata ya uwepo wako. Sio mkeo aheshimiwe kisa umemuoa yaani ni mke wa mtu. Hapo umepigwa.

Yaani Watu wanakuheshimu tuu wewe ndio maana hawamfuati mkeo lakini ukiwa haupo Watu wanajigaragaza. Lakini Mwanamke akiwa na kazi nzuri na elimu hata asipokuwa na mume anaheshimika na wanaume hujifikiri mara mbilimbili kumfuata.

Yote kwa yote Maisha ni ubatili. Lakini Watu wanachokazana ni kuepuka ubatili wenye maumivu, dharau, majonzi na taabu.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Ni mfuasi mzuri wa makala zako, ila hii napingana nayo.
1.Atakuwa Mwanamke Cheap na wagharama nafuu Kabisa.
2.Mwanamke kuwa Mnafiki na kushindwa kusimama katika nafasi yake ya mke na Mama.
3. Mkeo hataheshimiwa na Watu wa nje.


KUWA CHEAP, MNAFIKI, HIZI NI TABIA ZA MTU YEYE KAMA YEYE.SIO KWA SBB HAJASOMA

HII YA HESHIMA TOKA KWA WATU WA NJE, kwani viwango vya elimu viko kwenye paji la uso?.
Heshima ni suala la mtazamo wa mtu, na huwezi kuishi kwa kutazamia ya watu, wanakuonaje.
Ukiniambia unaishi mbagala (nitakuchukulia poa)
na ukiniambia unaishi masaki (nitakuona una la kuongea)
Lakini huko mbagala unaweza kuwa unaishi nyumba kali zaidi kuliko za masaki!

Nafasi ya mke kuwa mama wa nyumbani ni njema na nzuri, hao ndio walezi wa watoto. ndio chimbuko la watoto marijali.Hao kina mama wa nyumbani waheshimike aiseee.
huu uzao wa 'mapapai' ni kutokana na kukosekana kwa malezi ya wazazi, mama yuko biza, baba yuko bize. Housegirl ndio mlezi wa wana

Bro hakuna watu wanaotombeka kama wanawake wanaofanya kazi, nina hakika hili unalijua.
vikao, semina, warsha, semina elekezi,safari zote hizi zinatoa uwanja mpana wa waokutombeka
Kuna wale wengine hawana hizo safari wala semina, ila ule muda wa lunch time ndio muda wa kupiga matukio.
 
Back
Top Bottom