Madhara ya kuoa Mwanamke ambaye hajasoma na Golikipa ni haya!

Madhara ya kuoa Mwanamke ambaye hajasoma na Golikipa ni haya!

Nakazia kwenye namba 3 na 4 hapo ndio hatari zaidi kwa hawa watu.
Kumbuka kila siku asubuhi mme anatoka kwenda kazini na yeye anatoka kwenda kazini akishafika kule anakuwa huru kufanya chochote anachojisikia na mme hana habari.
Na kingine kazini anakofanya kazi kutatokea semina na sherehe mbalimbali mbalimbali ambazo watasafiri na kulazimika kukesha au kulala hukohuko sasa kama kuna mfanyakazi mwenzake au Boss anamtaka kimapenzi huko ndio hutumika hiyo nafasi kumaliza kila kitu wakati mme ameachwa peke yake nyumbani alee watoto.
Kitu kingine mke asiye na kazi au asiyesoma anaiheshimu ndoa na kuihesabia kama ajira kwake so akianza tabia chafu ukimtishia talaka anajirudi na kuwa mwema kinyume na mwanamke mwenye elimu na kazi yake hana cha kutishika ukimtajia talaka anakujibu nipe hata leo ukitaka wewe kama nani kwenye maisha yangu.
Na kama mlichuma mali wote mkiachana hilo balaa lingine anajua haki zake zote na ana pesa ya kumlipa wakili ili akukandamize kabisa.
Hii vipi
 
Nakazia kwenye namba 3 na 4 hapo ndio hatari zaidi kwa hawa watu.
Kumbuka kila siku asubuhi mme anatoka kwenda kazini na yeye anatoka kwenda kazini akishafika kule anakuwa huru kufanya chochote anachojisikia na mme hana habari.
Na kingine kazini anakofanya kazi kutatokea semina na sherehe mbalimbali mbalimbali ambazo watasafiri na kulazimika kukesha au kulala hukohuko sasa kama kuna mfanyakazi mwenzake au Boss anamtaka kimapenzi huko ndio hutumika hiyo nafasi kumaliza kila kitu wakati mme ameachwa peke yake nyumbani alee watoto.
Kitu kingine mke asiye na kazi au asiyesoma anaiheshimu ndoa na kuihesabia kama ajira kwake so akianza tabia chafu ukimtishia talaka anajirudi na kuwa mwema kinyume na mwanamke mwenye elimu na kazi yake hana cha kutishika ukimtajia talaka anakujibu nipe hata leo ukitaka wewe kama nani kwenye maisha yangu.
Na kama mlichuma mali wote mkiachana hilo balaa lingine anajua haki zake zote na ana pesa ya kumlipa wakili ili akukandamize kabisa.
Nakumbuka mwaka fulani , tulipata safari ya Mwanza kwa wiki tukitokea Dar ..Sasa Taasisi yetu ina watu wachache sana ila bajeti kubwa , inawezekana kulikuwa na kikao cha Finance ila wakaenda hata watu wa HR,Procurement ili mradi pawe na wajumbe wengi .

Kuna mdada alikuwa ndio karudi kutoka kweny likizo ya uzazi (maternity leave) basi alitakiwa kwenda kama unavyojua akishamaliza basi anakuwa anarudi mapema kwake kwa ajili ya mtoto , masaa mawili kabla ya mda wa kutoka yeye anatakiwa kuondoka kisheria ili kwenda kumnyonyesha mtoto .

Sasa alitaka kwenda Mwanza na nafasi ilikuwepo kabisa kweny bajeti tena ilifemea watu wawili wengine walihitajika .Alipomuaga mumewe palikuwa na mgogoro mkubwa demu anataka zile per diem mil na point , nilikuwa namuheshimu ila baadae aliandika maneno kweny status kumsema mumewe.

Kati ya maneno hayo alisema kazi ni bora kuliko ndoa kwa vile anajiweza kulelea wanae , alisema pia yeye alisomeshwa na wazazi wake ili kuja kuwasaidia wazazi wake sio kutumikia ndoa . Kma mtoto anaweza kumuacha maana wana housegirl halafu akirudi atamnyonyesha ni wiki nzima tulikaa Mwanza , naye alienda .
 
Kwa ufupi kabisa OA MWANAMKE MWENYE AKILI. Mengine hayana muongozo. Kikubwa kujitahidi kuchagua wa kuendana ambaye atakupa furaha ya maisha.
 
Nakumbuka mwaka fulani , tulipata safari ya Mwanza kwa wiki tukitokea Dar ..Sasa Taasisi yetu ina watu wachache sana ila bajeti kubwa , inawezekana kulikuwa na kikao cha Finance ila wakaenda hata watu wa HR,Procurement ili mradi pawe na wajumbe wengi .

Kuna mdada alikuwa ndio karudi kutoka kweny likizo ya uzazi (maternity leave) basi alitakiwa kwenda kama unavyojua akishamaliza basi anakuwa anarudi mapema kwake kwa ajili ya mtoto , masaa mawili kabla ya mda wa kutoka yeye anatakiwa kuondoka kisheria ili kwenda kumnyonyesha mtoto .

Sasa alitaka kwenda Mwanza na nafasi ilikuwepo kabisa kweny bajeti tena ilifemea watu wawili wengine walihitajika .Alipomuaga mumewe palikuwa na mgogoro mkubwa demu anataka zile per diem mil na point , nilikuwa namuheshimu ila baadae aliandika maneno kweny status kumsema mumewe.

Kati ya maneno hayo alisema kazi ni bora kuliko ndoa kwa vile anajiweza kulelea wanae , alisema pia yeye alisomeshwa na wazazi wake ili kuja kuwasaidia wazazi wake sio kutumikia ndoa . Kma mtoto anaweza kumuacha maana wana housegirl halafu akirudi atamnyonyesha ni wiki nzima tulikaa Mwanza , naye alienda .
Yeah hao watu ni hatari yaani ili uweze kuishi nao kwa amani ni hadi ukubali kuwa bwege,vinginevyo ukiwa mtu wa hasira hamuwezi kudumu na ndio maana asilimia kubwa wanakuja kuwa masingle mothers.
Halafu kitu ambacho mimi nachukia mke kufanya kazi kwa uzoefu wangu nimepita sehemu nyingi sana za kazi utakubaliana na mimi kwamba sehemu za kazi nyingi hakuna nidhamu.
Yaani unaweza mtaani ukamuona mama fulani wa heshima na watu wanamthamini na kumuogopa lakini ukienda kazini vijana wadogo tu wanamshikashika matiti akiwa kazini na wengine wanamuomba mchezo na wala hakatai.
Au utakuta kuna mababu ambao mtaani ni watu wa heshima sana ila wakifika kazini wanakengeuka wanatongoza hovyo hovyo kila mwanamke na hawa wazee ni hatari zaidi kuliko vijana maana wenyewe pesa ipo kwenye mfuko wa shati muda wote hawana njaa washamaliza kujenga,washamaliza kusomesha sasa wanakula maisha tu.
Nimeshuhudia mengi kwenye sehemu za kazi we acha tu.
 
Hao wenye PhD na Maprofessor ndio wataalamu wa kugawa Uroda Kama walvyo wataalamu ktk fani zao.. na Wananyanduliwa na hata wa darasa la saba - Kayumbq style
 
Leo upo mbali na ukweli zaidi ya 100k km, mwanamke kuwa cheap kwa ndugu au hata marafiki sina uhakika kama inasababishwa na elimu au kipato ila standands zake za kimaisha either alizojitengenezea yeye mwenyewe au mume wake.

Kuhusu kugawa uroda mhhhhh ngoja niishie hapa kwa ninayoyaona hapa kibaruani kwangu.
 
😄😄
Siku ukipata Stroke au umestaafu au kufukuzwa kazi au kufa alafu umeacha watoto wadogo ndio utajua jinsi ulivyokuwa na mawazo mgando.

Pesa ya Mwanamke inaweza isikusaidie wewe lakini ikasaidia wàtoto wako.
kwanini mnapenda kujipa majukumu na umuhim ulio nje ya uwezo wenu?
Ukishakufa mengine unaiachia dunia ifanye yake
Huna utakacho weza fanya.
Kumbuka kuna familia wanaweza kufa wote kwa ajali na watoto wakabaki na house girl darasa la saba
 
Matunda ya "Beijing Conference" yanaanza kuathiri kizazi,obviously mleta mada hawezi kuwa amezaliwa chini ya 1995.

Wewe mama yako hakusoma hata kama alisoma siyo elimu hiyo ya kutisha leo useme wenzake kama yeye wasiolewe wTf,unazungumzia mke kushughulishwa kwenye msiba hujui kwenye msiba ndipo binadamu anayejitambua bila kujali ni mume au mke anatakiwa ashiriki kwa kujitoa kwa hali na mali pasipo hata kuambiwa?
Eti hata mimi nimeshangaa ni msiba au sherehe za kabila gani ambapo watu wanatumikishwa!
Matunda ya "Beijing Conference" yanaanza kuathiri kizazi,obviously mleta mada hawezi kuwa amezaliwa chini ya 1995.

Wewe mama yako hakusoma hata kama alisoma siyo elimu hiyo ya kutisha leo useme wenzake kama yeye wasiolewe wTf,unazungumzia mke kushughulishwa kwenye msiba hujui kwenye msiba ndipo binadamu anayejitambua bila kujali ni mume au mke anatakiwa ashiriki kwa kujitoa kwa hali na mali pasipo hata kuambiwa?
Sisi kwenye shuhuli za kifamilia tunawajua wasiofanyakazi kama ni wavivu tu
Matunda ya "Beijing Conference" yanaanza kuathiri kizazi,obviously mleta mada hawezi kuwa amezaliwa chini ya 1995.

Wewe mama yako hakusoma hata kama alisoma siyo elimu hiyo ya kutisha leo useme wenzake kama yeye wasiolewe wTf,unazungumzia mke kushughulishwa kwenye msiba hujui kwenye msiba ndipo binadamu anayejitambua bila kujali ni mume au mke anatakiwa ashiriki kwa kujitoa kwa hali na mali pasipo hata kuambiwa?
Na mimi nimeshangaa! Ni familia gani hizo zinazotumikisha watu wakati wa msiba au sherehe!! Sisi kwetu ambae hafanyi kazi tunamuitaga mvivu. Haijalishi kasoma au hajasoma.
 
Nakubaliana na baadhi ya maandiko yako ya nyuma ila kwa hili la leo nakupinga asilimia mia.
Kusoma na kuwa na akili ni vitu viwili tofauti, oa mwanamke mwenye akili sio mwenye elimu. Wanawake kibao wenye elimu hasa huko maofisini ni wachafu na malaya kupitiliza tunawaona.

Na mwanamke kutongozwa sio kitu Cha ajabu labda ajabu ni kulala na kila anayemtongoza, kinachopelekea mwanamke kutongozwa ni muonekano na mazingira. Mwanamke mkurugenzi ni rahisi kutongozwa na wakurugenzi wenzake au watu wa Kariba yake.
Mwanamke anaweza akawa hajasoma ila akatongozwa hata na profesa na anaweza akawa amesoma ila akatongozwa hata na watu wa hovyo kutokana na muonekano au mazingira aliyokuwepo.

Kuosha masufuria,kupika na kushirikiana shughuli za kijamii hasa misiba na harusi sio utumwa ni utamaduni wetu tu.
Andiko zuri sana...unajua mtoa mada ana namna ya kudharau watu wasio soma,lakini ukweli ni kwamba tumeona na kukutana na wasomi Malaya na wasiosoma wasio Malaya na wenye hofu ya MUNGU, yeye huyu kwa sababu kichwa chake kinadharau wasio soma,amejiuliza maswali kichwani,akajijibu mwenyewe na kuwahukumu watu
 
Kuna dini nasikia mwanamke hatakiwi kusoma wala kufanya kazi ?!
Je hii ni kweli ?
 
Umeelezea vizuri sana lakini usishangae wengine kukupinga sababu wakati mwingine mtu huelewa jambo kutegemeana na kiwango chake cha mtazamo.
 
Watakupinga lakini huku wanakazana kusomesha mabinti zao Shule nzuri kwa kadiri ya uwezo wao 😆😆😆

Si muwaache waolegwe tu 😀😅
 
Kuwa na mke ambae hafanyi any reciprocation au sharing yoyote ya mchango wa Pesa kwenye familia ni mzigo mkubwa sana.
Yani Eti kila kitu 100% ugharamie Mwanaume ?
Ukikosa kazi itakuwaje ?

Kwanza kitendo cha kuombaa Hela kila wakati ni chanzo kimojawapo cha kuleta stress kwa Mwanaume .

Mwanamke anao wajibu wa kufanya kazi na kuzalisha mali kwa mujibu wa Biblia, Sijui kwenye vitabu vingine vitakatifu wenzetu nasikia mwanamke anatakiwa kutegemea mume tu kwa 100% 😆
 
Ndio maana idadi ya wanawake wa baadhi ya dini kwenye Ulimwengu wa wa wa somo na wafanyakazi wanawake ni wachache sana kumbe ni sababu ya dini yao.
 
Wanaume wanaojiamini wanapenda kuoa wanawake wenye akili kubwa na wanaona fahari kabisa kufanya hivyo kwa faida ya watotowake na familia kwa ujumla.
 
Back
Top Bottom